Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Recurrence expenditure Budget imewashinda ndo iwe fedha za SGR? Ndoto za alinacha! Au route ya US italipa? 😅👍Kwa akili yako ndogo unadhani tutashindwa kulipa kama nyie? Kenya hajawahi samehewa deni lolote
Yangu si ya kupatia shoga kama wewe. Yule ngozi nyeupe hukulipa hela ngapi kila raundi? 😂😂😂Wewe naona unatafuta mchumba😂😂😂Muda sio mrefu nitakuomba K huko DM.
Tupia picha moja ya bullet treni yenu ya mizigo basi. [emoji1] Aisee mambumbumbu mnaendelea kuhadaiwa kila uchao. Umeona linavobeba double stack hapo juu? Dah! Nilisahau kwamba wewe ni mrundi. Nkurunzinza anasemaje jombaa? [emoji23]Ndio hiyo ileee Ya UHURUTO 2013 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 917853
Thika Highway ni habari ya jana. Kuna nyingine mpya inaitwa Outering Road ina interchange tano. Mkijenga interchange yenu ya pili nitag tafadhali.Huna aibu kuonyesha huu uchafu Ni bora ungeonyesha Thika highway
DuTupia picha moja ya bullet treni yenu ya mizigo basi. [emoji1] Aisee mambumbumbu mnaendelea kuhadaiwa kila uchao. Umeona linavobeba double stack hapo juu? Dah! Nilisahau kwamba wewe ni mrundi. Nkurunzinza anasemaje jombaa? [emoji23]
Usiwe na presha madam. Sina chuki bana huyo ni ndugu yangu, tunaelewana. Alisepa kutoka Bunjumbura baada ya kampeni zake dhidi ya Nkurunzinza kuangukia pua. Muulize atakueleza. [emoji1]Du
Umehamia Personal Sio mada husika
Mrundi tena!!
😂🤣😂😂Naona umeshindwa ku support shoga mwenzako Kennedy unanigeuzia mimi😂😂Kweli hili povu la mwaka. Lakini nasikia pia huna malinda😂😂😂Yangu si ya kupatia shoga kama wewe. Yule ngozi nyeupe hukulipa hela ngapi kila raundi? 😂😂😂
Bora hata iyo😂😂Ule ni uchafu.Thika Highway ni habari ya jana. Kuna nyingine mpya inaitwa Outering Road ina interchange tano. Mkijenga interchange yenu ya pili nitag tafadhali.
Swali nije tupo hata top 10?? Mganda mwenyewe anatuzidi. Hiyo pesa niyakununua Dreamliner moja😂😂😂China haiji kichwa kichwa kwa serikali ya Tanzania. Niserikali makini. Pia tuna historia ya kiundugu. No way China ataifanya Tanzania kuwa damping area. Jiulize kwa nini kampuni zinazomilikiwa na serikali ya China zinataka kuwekeza Tanzania nasio Ethiopia au Angola??
Janerose unajua kiasi ambacho China alikua tayari kukopesha Tz kwenye SGR ila Magufuli alikataa deal lao baada ya kuona limekaa kinyonyaji. Tena siyo kwa phases kama mnavyo pewa na kuambiwa mpokee samaki lasivyo mtanyimwa mkopo.The famous rezi erodisii is not there. Hawawezi kopa zaidi.wanaogopa maana wanajua China hawasamehei madeni
Nyinyi watu fukara mchina anajua hamna pesa ya kununua samaki yake. Mnaweza tu nunua dagaaChina hawezi fanya upuhuzi kama huwo ndani ya Tanzania. They know we are serious people. Kenya ndo nchi wanaweza kuendesha wanavyotaka.
Wacha upuzi. Nyinyi mna double stack? Yenu ndio uchafuHuna aibu kuonyesha huu uchafu🤣🤣🤣 Ni bora ungeonyesha Thika highway😂😂😂
World bank watawasemehe ndo manake...china mnaeaogopa kisa hawana mchezo na deni lao..mtakwishaSisi hatukopi hovyo. Mikopo tunachukua ya world bank cause ina mashariti nafuu.
China imewekeza Ethiopia kushinda nchi yoyote hapa Africa. Baki kwa mambo ya kuuza dhahabu, sio kwa mambo usioelewaSwali nije tupo hata top 10?? Mganda mwenyewe anatuzidi. Hiyo pesa niyakununua Dreamliner moja😂😂😂China haiji kichwa kichwa kwa serikali ya Tanzania. Niserikali makini. Pia tuna historia ya kiundugu. No way China ataifanya Tanzania kuwa damping area. Jiulize kwa nini kampuni zinazomilikiwa na serikali ya China zinataka kuwekeza Tanzania nasio Ethiopia au Angola??
Just when you're about to cum ....badnews[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]leo propaganda ya ccm imegonga mawe- The Chinese government threatened to impose economic and trade sanctions on Kenya over alleged hostile involvement
- China has currently not committed to the construction of second phase of Standard Gauge Railway from Naivasha to Kisumu
- President Uhuru Kenyatta is struggling to strike balance between the foreign lender and local businessmen
- Department of Fisheries cancelled applications for imports of Chinese fish and banned the same commencing January 2019
- China referred to move by Kenya as waging trade war threatening to retaliate with cutting funding
The chances of funding next phase of Standard Gauge Railway line from Nairobi Naivasha have drastically reduced after China the main financier of project threatened to impose trade sanctions on Kenya.
China is angry with Kenya's move to cancel all applications for importation of fish from their market terming the move as a trade war which they would retaliate to by cutting economic ties.
Send 'NEWS' to 40227 to receive all the important breaking news as it happens
READ ALSO: I am not worried about Kenya's debt to China - Uhuru Kenyatta
China threatens to stop SGR funding after Kenya bans Chinese fish imports
Kenyan leaders and traders had raised concern over the influx of Chinese fish in the local market. They said the imports were killing local sector. Photo: UGC
READ ALSO: Jacque Maribe could spend another night in remand despite court granting her bail
Speaking to a section of Kenyan politicians on Tuesday, October 30, China's Acting Ambassador Li Xuhang confirmed Kenya's department of fisheries had served their consulate with letter imposing ban of importation of fish from their market.
"We have received letter from the department of fisheries canceling all fish importation applications from China. The move is shocking and we could respond to it the was we did with the US after it imposed tariffs on goods from our markets," Xuhang said.
The department of fisheries was prompted to make the notice by President Uhuru Kenyatta's proposal to government officials to devise creative means to ensure Chinese fish which had flooded local market does not get into the country.
Lipeni sasa, kwanini mnaendelea kwenda kudhalilishwa hadi mnaanza kuwekewa masharti?, kumbuka hakuna kitu kinachodhalilisha utu wa MTU, au nchi kama kumkopa MTU ambaye tayari anakudai.Kwa akili yako ndogo unadhani tutashindwa kulipa kama nyie? Kenya hajawahi samehewa deni lolote
Hahahaha, unajua maana ya interchange?,hamtokaa mjenge interchange, kama ambavyo hamtokaa mjenge BRT, mtaendelea kuzipa majina barabara za kawaida kwamba ni BRT, na Flyovers kwamba ni interchange.Thika Highway ni habari ya jana. Kuna nyingine mpya inaitwa Outering Road ina interchange tano. Mkijenga interchange yenu ya pili nitag tafadhali.
😂😂😂Sio kwa donation ya chakula😂😂😂Nyinyi watu fukara mchina anajua hamna pesa ya kununua samaki yake. Mnaweza tu nunua dagaa
Frankly speaking, I don't like their goods.Uhuru kafanya vizuri Kuban hizo samaki .these idiotic chinese can't be trusted. Vitu vyao vingi ni feki.I heard they even produce carcinogenic goods which they export for human consumption. Wakae na visamaki vyao hukoJanerose unajua kiasi ambacho China alikua tayari kukopesha Tz kwenye SGR ila Magufuli alikataa deal lao baada ya kuona limekaa kinyonyaji. Tena siyo kwa phases kama mnavyo pewa na kuambiwa mpokee samaki lasivyo mtanyimwa mkopo.