China Threatens to Cut SGR funding If Kenya Bans Imported Chinese Fish

Nyie kuleni samaki hao muweze kuwa mashoga zaidi.
Kenya imeathiriwa sana sana kwa ushoga.
Bado mnataka fish wa plastic
Wewe ni kajinga kutoka akhera. Niko na uhakika wewe ni mmojawapo wa mashoga wa dar wanaosakwa. Mnajiuza mitandaoni nyie
 
Hahahahaha, hiki ni kichekesho kweli, yale yale ya kuchora barabara na kuziita BRT ndio haya.

Interchange in term of infrastructure inapaswa ikidhi mambo yafuatayo,
1)Kuwe na barabara za juu at least two levels
2)Gari ziweze kubadili direction katika levels za juu(interchange). Kama gari haziwezi kubadili directions katika levels za juu, inabaki kuwa flyover
3) Gari zikiwa zinabadili directions katika levels za chini, hiyo inakua ni "U-turn", round about, au corner, kutegemeana na kiwango cha mizunguko.
 
Endelea kujitungia vitu vyako. Kama hujui cloverleaf interchange inamaanisha nini, ndio hizo hapo. Nimekuacha na utaalamu wako maandas. Bure kabisa.
 
Endelea kujitungia vitu vyako. Kama hujui cloverleaf interchange inamaanisha nini, ndio hizo hapo. Nimekuacha na utaalamu wako maandas. Bure kabisa.
Sindanooooo, muache kubadilisha majina ili kujipa moyo kwamba mumeafika level ya juu wakati bado mpo chini.

Tumetumia zaidi ya $250M kujenga miundombinu ya BRT for only 21Km, first phase, ninyi mkanunua makopo 20 ya rangi mkachora Barabara mkasema mna BRT.

Tunatumia $100M kujenga interchange, ni sawa na 40% ya pesa mliyotumia kujenga Thika highway, ninyi mbaonyesha crossing over na turn overs unataka kujipa matumaini ya kijinga. You must sweat to get at higher levels, no short cut.
 
Cloverleaf interchange, hizo mbili za kwanza na partial cloverleaf interchange , za chini mbili, sio majina kutoka Kenya. Hivyo ndivyo interchange huwa zinajengwa dunia nzima. Aisee, umeshindwa hata kugoogle tu? Acha blah blah nyingi na ujuaji wa peni mbili. Elimu ni kitu cha muhimu sana na hutaelimika darasani pekee yake. Uwe na mazoea ya kujiongeza bana, ili usije ukajiabisha bure. Wewe mwenyewe ulisema kwamba Kenya hamna interchange. Sasa ndio hizo umeziona, si bora ungebaki kimya tu, kama imekuuma sana.
 


dude, highways, flyovers etc are no longer news in Kenya, we built them 10yrs ago

 
Wale Ma-Sugar Daddy wa USA wataokoa jahazi, wala manyang'au wasijali vitisho vya kichina...😉
 
Endelea kujitungia vitu vyako. Kama hujui cloverleaf interchange inamaanisha nini, ndio hizo hapo. Nimekuacha na utaalamu wako maandas. Bure kabisa.
Hujui kitu kifupi kana gari au kifaa chochote cha usafir kikishindwa kubadilisha direction juu kwa juu kwenda north,south,east etc. hio siyo interchange* bla bla nyng hatutak.
 
Hahahahahaha, kwa level yenu hiyo ni sawa ni interchange, sio international standard. Kwa level yenu hata mlipochora barabara na kuita BRT pia ni sawa, sasa hivi Kenya kuna BRT, lakini internationally haitambuliki wala kukubalika.
 
You are very correct, Kenya has got high ways and flyovers, but not interchange, not a single one.

What is the definition of an inter-change in Tanzania ?? because, in civil engineering --
an interchange is a road junction that uses grade separation, and typically one or more ramps, to permit traffic on at least one highway to pass through the junction without interruption from any other crossing traffic stream.

next to the term grade separation,
A grade separator is a general term.

A flyover is a special case and an example of a grade separator.

Flyover is a popular term used by the public.

Grade separator is a technical term used by Engineers.

Grade separators in general are arrangements where traffic from various directions crossing at a junction are allowed to cross each other at different heights.

Grade separators can include flyovers, (or over-passes), underpasses, tunnels, road or rail bridges. The term is used to differentiate it from a level crossing or traffic intersection with signals, roundabouts, diamond crossings etc.

All flyovers are grade separators. All grade separators are not necessarily flyovers.

I hope this is clear.
 
Hahahahahahaha, acha kuleta kiingereza mingi na cut walk zako hapa, soma post tangu #83 hapo juu utaelewa tofauti ya hayo yote uliyouliza.
 
vulcan you are discussing with dimwits, a process in futility. Outering Road yenyewe ina six interchanges. Let me speak in pics. JKIA-Rironi.
 
Hahahahahahaha, acha kuleta kiingereza mingi na cut walk zako hapa, soma post tangu #83 hapo juu utaelewa tofauti ya hayo yote uliyouliza.

Kingereza mingi??? just despute what i have said in the above statement. Not diversions.
I don't know why we are arguing over words laymen English words that are self explanatory.

That is why i asked what the word "Interchange" means in TZ, maybe Bongolalas have their own civil engineering standards that are different from the rest of the world. PUGA
 
Nimekuambia soma post yangu #83 hapo juu utapata majibu ya yote uliyouliza.
 
Nimekuambia soma post yangu #83 hapo juu utapata majibu ya yote uliyouliza.
i have read and i have told you the definition of an inter-change my friend..from a civil engineering standpoint,not what magufuli has been lying to you.

I will summarize further in simpler English. An inter-change is a design that allows a motorist to move from one route to another safely and without having to stop at all. As opposed to an intersection where you have to stop and wait for other vehicles to pass.

There are many types of Inter-changes.

We would not be having this argument if English was your language of instruction. It should be so obvious to you.

An inter-change is built to avoid this(below)



and have this
 
You should realise today KQ flies empty instead of realising that rubbish three feet structure.
ha ha ha wah si mnaumwa na KQ jameni ?? PROPHETS OF DOOM, THE ONLY WAY BONGOLALA WILL BE AHEAD OF US IS IF KENYA DESCENDS INTO A CIVIL WAR.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…