China vs U.S Trade War: Walmart kampuni ya Marekani yaanza kuonja joto la jiwe la tariffs za Trump kwa bidhaa za China

China vs U.S Trade War: Walmart kampuni ya Marekani yaanza kuonja joto la jiwe la tariffs za Trump kwa bidhaa za China

Walmart hawazioni bidhaa zilizotengenezwa Marekani waachane na za China?

Kwa nini bado wanataka waagize kutoka kwa Chinese suppliers licha ya ongezeko la tariffs?
Kama hata hili hujui bro basi unaishi dunia yako kaka. Iko hivi, China kateka masoko ya almost dunia nzima si kwasababu anatengeneza kila kitu, is because products zake bei zake ni rahisi. Sijui una miaka mingapi, wazee waliopo humu watakubaliana na mimi, miaka ya nyuma pikipiki zilizo kua mtaani zilikuaga ni Honda, Suzuki; mabasi na malori yaliokua yanazunguka everywhere yalikua ni Scania, Benz, Layland, Bedford nk; leo ni Yuotong, Howo nk from China; why? Bei plus operational costs, so wafanya biashara wame opt kwenda kwenye Chinese products instead of European products; kwa nchi masikini kama zetu, hiyo ni sherehe cause we don't produce those things, unadhani Sweden wenye Scania zao wanafurahia? No, nini wafanye ili Youtong na ma Howo yasiteke soko la kule? Pandisha KODI ya Chinese products and may be weka ruzuku kwa viwanda vya ndani. That's my point
 
Walmart hawazioni bidhaa zilizotengenezwa Marekani waachane na za China?

Kwa nini bado wanataka waagize kutoka kwa Chinese suppliers licha ya ongezeko la tariffs?
Hoja za kijinga kweli hizi, mahaba yanakufanya kuwa blind, sikuzote kukiwa na unafuu watu wata opt huko kwenye unamfuu, tena hata matajiri.

US wanamanufucter almost kila kitu, sema soko lao liliingiliwa na cheap Chinese products, kitu ambacho Trump anakiondoa kwa kulazimisha bei ipande juu kimenomeno, wengi wa waamerica wataafford, vipi kuhusu wachina wengi na bei za ongezeko? Hata serikali ikibeba mzigo wao inakuwa imekula kwao.

Bado sisi Africa, ulaya n.k sio soko la uhakika kiasi kwamba mpaka wachina wanauza wenyewe maua kariakoo, utapeli, wizi, usalama ndio misingi ya biashara ambayo favor anapata USA...

Usidhani china haiwaumi, wewe shupaza shingo kwenye keyboard, time will tell.
 
Kama hata hili hujui bro basi unaishi dunia yako kaka. Iko hivi, China kateka masoko ya almost dunia nzima si kwasababu anatengeneza kila kitu, is because products zake bei zake ni rahisi. Sijui una miaka mingapi, wazee waliopo humu watakubaliana na mimi, miaka ya nyuma pikipiki zilizo kua mtaani zilikuaga ni Honda, Suzuki; mabasi na malori yaliokua yanazunguka everywhere yalikua ni Scania, Benz, Layland, Bedford nk; leo ni Yuotong, Howo nk from China; why? Bei plus operational costs, so wafanya biashara wame opt kwenda kwenye Chinese products instead of European products; kwa nchi masikini kama zetu, hiyo ni sherehe cause we don't produce those things, unadhani Sweden wenye Scania zao wanafurahia? No, nini wafanye ili Youtong na ma Howo yasiteke soko la kule? Pandisha KODI ya Chinese products and may be weka ruzuku kwa viwanda vya ndani. That's my point
Kumbe jibu unalo kwa hiyo si rahisi kwao kujitoa kwa Chinese suppliers hapo ndipo hoja yangu ilipokuwa
 
Kumbe jibu unalo kwa hiyo si rahisi kwao kujitoa kwa Chinese suppliers hapo ndipo hoja yangu ilipokuwa
Ndio unaweka KODI kubwa, nini hujaelewa hapo bro? Let me put this way. Say gharama ya kutengeneza Simu ya Kichina ni Tsh 20k, hadi kufika kwa supplier wao may be Tsh 22k, Mtanzania kaenda China kufata simu, say kauziwa Tsh 22.5k na gharama za usafiri to Dar tufanye Tsh 25k, TRA wanataka chao pamoja na ghara za clearing say hadi Kariakoo kwa mawinga inafika Tsh 28k; mwenye duka ili apate faida plus kulipa some other bills za biashara yake atauza kwa Tsh 32k. Now, labda tufanye, bongo pua tunazalisha simu aina ya Makwizi, say gharama zetu za uzalishaji ni Tsh 30k, ili ulipe kodi za warehouses na vyote labda ni Tsh 32k now ili kulinda kiwanda hiki cha ndani, serikali inaamua kuongeza kodi ya simu kutoka China ili walau hadi ifike kwa mawinga Kariakoo walau ifike kwa Tsh 35k ili same simu iuzwe kati ya Tsh 38-40k; Mtanzania ata opt cha bei rahisi. Ndio anacho kifanya Trump
 
Hoja za kijinga kweli hizi, mahaba yanakufanya kuwa blind, sikuzote kukiwa na unafuu watu wata opt huko kwenye unamfuu, tena hata matajiri.

US wanamanufucter almost kila kitu, sema soko lao liliingiliwa na cheap Chinese products, kitu ambacho Trump anakiondoa kwa kulazimisha bei ipande juu kimenomeno, wengi wa waamerica wataafford, vipi kuhusu wachina wengi na bei za ongezeko? Hata serikali ikibeba mzigo wao inakuwa imekula kwao.

Bado sisi Africa, ulaya n.k sio soko la uhakika kiasi kwamba mpaka wachina wanauza wenyewe maua kariakoo, utapeli, wizi, usalama ndio misingi ya biashara ambayo favor anapata USA...

Usidhani china haiwaumi, wewe shupaza shingo kwenye keyboard, time will tell.
Hadi nimeogopa; kwamba vitu rahisi kabisa kama hivi Mtanzania huyu wala haelewi.
 
Hoja za kijinga kweli hizi, mahaba yanakufanya kuwa blind, sikuzote kukiwa na unafuu watu wata opt huko kwenye unamfuu, tena hata matajiri.

US wanamanufucter almost kila kitu, sema soko lao liliingiliwa na cheap Chinese products, kitu ambacho Trump anakiondoa kwa kulazimisha bei ipande juu kimenomeno, wengi wa waamerica wataafford, vipi kuhusu wachina wengi na bei za ongezeko? Hata serikali ikibeba mzigo wao inakuwa imekula kwao.

Bado sisi Africa, ulaya n.k sio soko la uhakika kiasi kwamba mpaka wachina wanauza wenyewe maua kariakoo, utapeli, wizi, usalama ndio misingi ya biashara ambayo favor anapata USA...

Usidhani china haiwaumi, wewe shupaza shingo kwenye keyboard, time will tell.
Uongo ni kusema usa wanamanufacture kila kitu huo ni uongo .. usa sio insustrialized tena labda ndege na silaha
 
Back
Top Bottom