Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Kwa hiyo shida yako ni population ya wachina walio abroad sio tena kuwa US hawapo China ?Sijaongela popote pale kuhusu majina. Nimesema kwanini wachina wakimbia kwao na kujazana in the West? Fananisha na hao 72k.
View attachment 2770393
Mzee naona umeanza kuchanganyikiwa sasa.That went over your head. Still missing the point.
Hivi unaelewa hata concept ya China Town ? Unafikiri China town ipo US pekee ?
Tafuta mtandaoni ujue kwa nini wachina katika nchi yoyote watakayo ishi hutengeneza miji wao wenye mfumo wa maisha na tamaduni zao. Hao ni watu wa tamaduni kwa zaidi ya miaka 5000 iliyo pita hawawezi kuacha kukusanyika pamoja kama jamii katika eneo moja hiyo ni all-over the world sio nyie migrant weusi mnaendekeza ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe mpaka huko abroad .
Tupatie ratio ya population. Maana wachina wapo 1.3 billion huku USA wapo 331.9 million.Sijaongela popote pale kuhusu majina. Nimesema kwanini wachina wakimbia kwao na kujazana in the West? Fananisha na hao 72k.
View attachment 2770393
Kwa hiyo shida yako ni population ya wachina walio abroad sio tena kuwa US hawapo China ?
Tatizo lako unakula sana propaganda za media za huko kuwa dunia ni US na washirika wake basi jifunze acha kuandika upumbavu humu
Kwahiyo Europeans wanaoishi Tanzania maana yake Tanzania ipo na Maendeleo zaidi ya Europe?Man, you can't be this dumb. Let me rephrase that, If China is so advanced, why do Chinese people leave for the West?
We dogo ni mjinga sana first China Town ilikuwa manila miaka ya 1500 huko nayo ni west ?Man, you can't be this dumb. Let me rephrase that, If China is so advanced, why do Chinese people leave for the West?
Kwenye badniko lako hapa nikijumlisha Wachina wanaoishi USA hawafiki hata milion moja.That was never my point, to begin with. Rejea nilipoanza kusema kuna Chinatowns all over US ila sababu y'all lack comprehension skills don't understand. Wachina wanajazana West, kwanini wanakimbia maendeleo kwao?
Kwa hiyo na hao wa US waliopo China wanakimbia maendeleo kwao ? So ulitaka wachina wasiingie US?That was never my point, to begin with. Rejea nilipoanza kusema kuna Chinatowns all over US ila sababu y'all lack comprehension skills don't understand. Wachina wanajazana West, kwanini wanakimbia maendeleo kwao?
Kumbe wewe Bufa ni mpumbavu hiviSijaongela popote pale kuhusu majina. Nimesema kwanini wachina wakimbia kwao na kujazana in the West? Fananisha na hao 72k.
View attachment 2770393
Inategemea na mahitaj ya muda huoSwali moja tu kwako Venus Star kati ya China na makao makuu ya dunia, USA, unaenda wapi?
Mmefanya Bufa akimbie uzi😆😆😆.Kumbe wewe Bufa ni mpumbavu hivi
Kampuni niliyoitaja haihusiki na architecture pekeyake bali inahusika pia na kitu kinachoitwa planning and urban design. Ungeperuzi zaidi katika hiyo link ungekiona hiki ninachosema.Hiyo kampuni inadeal na architecture wala sio mipango miji.
China iko katika boom ya ujenzi kukuta kampuni za kigeni za usanifu majengo zikifanya kazi ni kawaida
Kama ni hivyo mbona kuna kampuni za China zinafanya ujenzi Marekani.
Kwa mfano kuna inayoitwa China Construction America inajenga majengo marefu, hotel, barabara, na madaraja n.k huko USA
Na hata headquarters yake iko Washington. Soma hiyo link hapo uone na projects wanazofanya na walizofanya Marekani
Sijachukulia yeyote poa. Hapa tunalinganisha nchi mbili tu.Katika list ya kampuni 100 kubwa za architecture duniani mwaka 2023
●USA 16
●China 13
Usiichukulie poa China wanaweza construction na architecture as well
Link hiyo hapo
> Largest architecture firms in the World [2023 update] | ARCHIVIBE
What are the largest architecture firms in the World in 2023? Discover the top architecture firms in terms of fee income and employees.www.archivibe.com
Hapa hatuzungumzii kila jengo. Tunazungumzia modern major projects za majengo. Nimezungumzia majengo 10 marefu zaidi duniani.Leta facts kuhusu kuwa design wa majengo yote ya China ni USA. Mbona unajiondoa ufahamu mdogo wangu? Si ndio wewe umesema majengo yote ya China designer wao ni USA. Mbona hakuna proof yoyote?
High Speed Railway ndani ya USA ipo lakini kutokana na sababu za kijiografia na kiuchumi (sanjari na demographics), hakuna haja ya kuongeza network kupita kiasi. Kumbuka, hapa tunazungumzia nyanja zinazogusa wananchi moja kwa moja. Au umeshasahau?Kama majengo umeshindwa kutuonesha. Tuoneshe basi japo High Speed Railway kutoka USA
Hizi hapa data za 2020
View attachment 2770359
Kumbuka, we are not talking about "baadhi ya project" hapa. Tunazungumzia major urban projects kama skyscrapers.Huyo anashindwa kuelewa kuwa China iko katika boom ya ujenzi wa majengo marefu mengi.
Uwepo wa kampuni kutoka nje ni sawa kwa sababu kazi ni nyingi.
Baadhi ya project developers imewabidi kuzitumia za nje. Lakini kwenye ujenzi ni kampuni za ndani tu
Mimi nakujibu kwa factsHapa hatuzungumzii kila jengo. Tunazungumzia modern major projects za majengo. Nimezungumzia majengo 10 marefu zaidi duniani.
Nimesema, Marekani imehusika katika usanifu wa majengo yote ya China YALIYOPO KATIKA LIST YA MAJENGO 10 MAREFU ZAIDI DUNIANI.
Inabidi nikuandikie kwa herufi kubwa tupu, pengine unashindwa kusoma vizuri ninachoandika!
Transportation haigusi wananchi. Be serious mzee.High Speed Railway ndani ya USA ipo lakini kutokana na sababu za kijiografia na kiuchumi (sanjari na demographics), hakuna haja ya kuongeza network kupita kiasi. Kumbuka, hapa tunazungumzia nyanja zinazogusa wananchi moja kwa moja. Au umeshasahau?
Kabla ya kuanzisha mradi mkubwa wowote ule, serikali makini lazima izingatie costs and benefits. Hii issue ya HSR imekwisha jadiliwa katika bunge la Marekani (Congress) mara kadhaa.
Marekani ukizingatia population yake tayari ina large network ya usafiri wa ndege (domestic airline) ambayo inakidhi mahitaji ya wananchi kwa kiasi kikubwa. Kuongeza network ya HSR kupita kiasi kwa kipindi cha sasa ni matumizi mabovu ya rasilimali.
Kuhusu suala la geography na demographics: High Speed Railway inaleta manufaa zaidi ya kiuchumi kama population density ni kubwa na miji yenye wakazi wengi inakaribiana zaidi. Population kubwa ya Wachina iko katika miji ya mashariki zaidi mwa China kijiografia na ndiko ambako network yao ya HSR imejikita zaidi.
Population density ya Marekani ni ndogo kuliko China, isitoshe population imetawanyika zaidi (scattered) katika states mbalimbali tofauti na China, hivyo kupanua zaidi network ya HSR ni changamoto bila benefits kwenye uendeshaji wa mradi. Ni Wamarekani wangapi wenye safari za haraka watapanda treni ya mwendo kasi kutoka Los Angeles mpaka New York waache ndege ambayo ni nafuu na yenye kasi zaidi?
Sijui kama unafahamu kuwa Marekani ndiyo nchi yenye largest road network duniani. Pia Marekani hiyohiyo ni nchi yenye largest railroad network in the world kwa ajili ya usafirishaji wa mizigo (freights), usafiri wa umma n.k. Kuongeza network mpya ya HSR pia kunaleta athari kwa network kubwa ya reli ambayo tayari ipo na inaendesha uchumi.
Naomba nirudie:
Hapa tunazungumzia nyanja zenye manufaa na zinazogusa wananchi moja kwa moja kama ambavyo umesema wewe mwenyewe. Ndio maana hapo awali nilisema, ulinganisho wako wa miundombinu kati ya hizo nchi mbili una makosa mengi ya kisomi.