Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #121
Unatafuta sababu za kitoto sana mdogo wangu.Kumbuka, we are not talking about "baadhi ya project" hapa. Tunazungumzia major urban projects kama skyscrapers.
We are talking about the United States being the architect of various major skyscrapers in today's China. Furthermore, we are talking about the United States being the major architect of the tallest skyscrapers in the World.
Imehusikaje mkuu? Hayo majengo 6 ndio nchi nzimaKampuni niliyoitaja haihusiki na architecture pekeyake bali inahusika pia na kitu kinachoitwa planning and urban design. Ungeperuzi zaidi katika hiyo link ungekiona hiki ninachosema.
Hiki hapa nimekurahisishia:
Kampuni za Kichina kufanya kazi Marekani sio shida yangu hapa, na wala sijawahi kupinga hilo. Nilisema na narudia: Marekani imehusika zaidi kwenye uundwaji wa miundombinu za kisasa za China kuliko ambavyo China imehusika kwenye miundombinu za Marekani.
Projects ninazozungumzia hapa ni major projects za majengo katika miji mbalimbali kama ambavyo mleta uzi amejaribu kulinganisha, ambazo miongoni mwazo zimegharimu zaidi ya half a billion USD.
Zaidi kivipi? Wakati China nao wana architecture companies kubwa dunianiSijachukulia yeyote poa. Hapa tunalinganisha nchi mbili tu.
Nimeipitia hiyo link uliyoileta hapa na inatosha kabisa kuthibitisha hoja yangu kuwa Marekani ni zaidi ya China katika suala la architecture ambalo ndiyo msingi mkuu katika modern large-scale construction yoyote duniani.
Kuna haja ya kuendelea na mabishano ama tufunge mjadala, mdau?
Naona hauna hoja mkuu. Mbona China anajenga miundombinu MarekaniKumbuka, we are not talking about "baadhi ya project" hapa. Tunazungumzia major urban projects kama skyscrapers.
We are talking about the United States being the architect of various major skyscrapers in today's China. Furthermore, we are talking about the United States being the major architect of the tallest skyscrapers in the World.
Kati ya China na USA nani ana modern infrastructure?High Speed Railway ndani ya USA ipo lakini kutokana na sababu za kijiografia na kiuchumi (sanjari na demographics), hakuna haja ya kuongeza network kupita kiasi. Kumbuka, hapa tunazungumzia nyanja zinazogusa wananchi moja kwa moja. Au umeshasahau?
Kabla ya kuanzisha mradi mkubwa wowote ule, serikali makini lazima izingatie costs and benefits. Hii issue ya HSR imekwisha jadiliwa katika bunge la Marekani (Congress) mara kadhaa.
Marekani ukizingatia population yake tayari ina large network ya usafiri wa ndege (domestic airline) ambayo inakidhi mahitaji ya wananchi kwa kiasi kikubwa. Kuongeza network ya HSR kupita kiasi kwa kipindi cha sasa ni matumizi mabovu ya rasilimali.
Kuhusu suala la geography na demographics: High Speed Railway inaleta manufaa zaidi ya kiuchumi kama population density ni kubwa na miji yenye wakazi wengi inakaribiana zaidi. Population kubwa ya Wachina iko katika miji ya mashariki zaidi mwa China kijiografia na ndiko ambako network yao ya HSR imejikita zaidi.
Population density ya Marekani ni ndogo kuliko China, isitoshe population imetawanyika zaidi (scattered) katika states mbalimbali tofauti na China, hivyo kupanua zaidi network ya HSR ni changamoto bila benefits kwenye uendeshaji wa mradi. Ni Wamarekani wangapi wenye safari za haraka watapanda treni ya mwendo kasi kutoka Los Angeles mpaka New York waache ndege ambayo ni nafuu na yenye kasi zaidi?
Sijui kama unafahamu kuwa Marekani ndiyo nchi yenye largest road network duniani. Pia Marekani hiyohiyo ni nchi yenye largest railroad network in the world kwa ajili ya usafirishaji wa mizigo (freights), usafiri wa umma n.k. Kuongeza network mpya ya HSR pia kunaleta athari kwa network kubwa ya reli ambayo tayari ipo na inaendesha uchumi.
Naomba nirudie:
Hapa tunazungumzia nyanja zenye manufaa na zinazogusa wananchi moja kwa moja kama ambavyo umesema wewe mwenyewe. Ndio maana hapo awali nilisema, ulinganisho wako wa miundombinu kati ya hizo nchi mbili una makosa mengi ya kisomi.
Umeleta taarifa kutoka Wikipedia, ila mtu mwingine akitumia hiyohiyo Wikipedia kukupinga unasema "siyo reliable source". Hahaha!Mimi nakujibu kwa facts
Designer wa tallest building in china huyu hapa. Ni kampuni ya China
View attachment 2770730
Nimeshaeleza sababu za kijiografia kuhusu Marekani kutowekeza zaidi kwenye HSR.Transportation haigusi wananchi. Be serious mzee.
Halafu mnaongelea na nani? Wakati topic ipo wazi tunaonfelea infrastructure mzee. Ni pamoja na railway.
Halafu unaongelea Geographical reason kwamba USA hawana High-speed. Tupe jiografia ipi hiyo inayozuia hight Tech?
Sio kweli!Imehusikaje mkuu? Hayo majengo 6 ndio nchi nzima
Sheria za China kuhusu suala la mipango miji liko chini ya serikali
Hawawezi kutumia foreign companies kwenye hilo chifu
Ukweli umeuleta wewe mwenyewe halafu unaukataa? Unazingua!Zaidi kivipi? Wakati China nao wana architecture companies kubwa duniani
Rudi kwenye post yangu #118.Naona hauna hoja mkuu. Mbona China anajenga miundombinu Marekani
Rudi kwenye post yangu #60.Kati ya China na USA nani ana modern infrastructure?
Unaleta utoto kweli kijana wangu. Tuoneshe Infrastructures za USA. Hapa unapiga porojo tu.Sio kweli!
Sheria za China zinaruhusu foreign firms kuhusika kwenye kutoa wataalamu wa mipango miji.
Moja ya projects za urban planning ni hii hapa ambayo imehusisha makampuni matatu kutoka nje (Marekani na Uingereza) katika masuala ya architecture na consultancy. Project inaitwa Meixi Lake City ama Meixi Lake Master Plan kwa mujibu wa Kohn Pedersen Fox:
View attachment 2771056
Soma zaidi hapa:
Maelezo mengi mno. Dalili ya kukosa contents. Wewe weka hapa Infrastructures tulinganishe. Siyo oh! Mara architect mara oh! Designers. Mzee weka miundombinu ya USA tulinganishe.Nimeshaeleza sababu za kijiografia kuhusu Marekani kutowekeza zaidi kwenye HSR.
Nimekopi na kupesti kile nilichosema awali:
Marekani ukizingatia population yake tayari ina large network ya usafiri wa ndege (domestic airline) ambayo inakidhi mahitaji ya wananchi kwa kiasi kikubwa. Kuongeza network ya HSR kupita kiasi kwa kipindi cha sasa ni matumizi mabovu ya rasilimali.
Kuhusu suala la geography na demographics: High Speed Railway inaleta manufaa zaidi ya kiuchumi kama population density ni kubwa na miji yenye wakazi wengi inakaribiana zaidi. Population kubwa ya Wachina iko katika miji ya mashariki zaidi mwa China kijiografia na ndiko ambako network yao ya HSR imejikita zaidi.
Population density ya Marekani ni ndogo kuliko China, isitoshe population imetawanyika zaidi (scattered) katika states mbalimbali tofauti na China, hivyo kupanua zaidi network ya HSR ni changamoto bila benefits kwenye uendeshaji wa mradi. Ni Wamarekani wangapi wenye safari za haraka watapanda treni ya mwendo kasi kutoka Los Angeles mpaka New York waache ndege ambayo ni nafuu na yenye kasi zaidi?
Sijui kama unafahamu kuwa Marekani ndiyo nchi yenye largest road network duniani. Pia Marekani hiyohiyo ni nchi yenye largest railroad network in the world kwa ajili ya usafirishaji wa mizigo (freights), usafiri wa umma n.k. Kuongeza network mpya ya HSR pia kunaleta athari kwa network kubwa ya reli ambayo tayari ipo na inaendesha uchumi.
Mwisho wa kunukuu maneno yangu mwenyewe.