Kumbuka, we are not talking about "baadhi ya project" hapa. Tunazungumzia major urban projects kama skyscrapers.
We are talking about the United States being the architect of various major skyscrapers in today's China. Furthermore, we are talking about the United States being the major architect of the tallest skyscrapers in the World.
Kampuni niliyoitaja haihusiki na architecture pekeyake bali inahusika pia na kitu kinachoitwa planning and urban design. Ungeperuzi zaidi katika hiyo link ungekiona hiki ninachosema.
Kampuni za Kichina kufanya kazi Marekani sio shida yangu hapa, na wala sijawahi kupinga hilo. Nilisema na narudia: Marekani imehusika zaidi kwenye uundwaji wa miundombinu za kisasa za China kuliko ambavyo China imehusika kwenye miundombinu za Marekani.
Projects ninazozungumzia hapa ni major projects za majengo katika miji mbalimbali kama ambavyo mleta uzi amejaribu kulinganisha, ambazo miongoni mwazo zimegharimu zaidi ya half a billion USD.
Sijachukulia yeyote poa. Hapa tunalinganisha nchi mbili tu.
Nimeipitia hiyo link uliyoileta hapa na inatosha kabisa kuthibitisha hoja yangu kuwa Marekani ni zaidi ya China katika suala la architecture ambalo ndiyo msingi mkuu katika modern large-scale construction yoyote duniani.
Kuna haja ya kuendelea na mabishano ama tufunge mjadala, mdau?
Kumbuka, we are not talking about "baadhi ya project" hapa. Tunazungumzia major urban projects kama skyscrapers.
We are talking about the United States being the architect of various major skyscrapers in today's China. Furthermore, we are talking about the United States being the major architect of the tallest skyscrapers in the World.
High Speed Railway ndani ya USA ipo lakini kutokana na sababu za kijiografia na kiuchumi (sanjari na demographics), hakuna haja ya kuongeza network kupita kiasi. Kumbuka, hapa tunazungumzia nyanja zinazogusa wananchi moja kwa moja. Au umeshasahau?
Kabla ya kuanzisha mradi mkubwa wowote ule, serikali makini lazima izingatie costs and benefits. Hii issue ya HSR imekwisha jadiliwa katika bunge la Marekani (Congress) mara kadhaa.
Marekani ukizingatia population yake tayari ina large network ya usafiri wa ndege (domestic airline) ambayo inakidhi mahitaji ya wananchi kwa kiasi kikubwa. Kuongeza network ya HSR kupita kiasi kwa kipindi cha sasa ni matumizi mabovu ya rasilimali.
Kuhusu suala la geography na demographics: High Speed Railway inaleta manufaa zaidi ya kiuchumi kama population density ni kubwa na miji yenye wakazi wengi inakaribiana zaidi. Population kubwa ya Wachina iko katika miji ya mashariki zaidi mwa China kijiografia na ndiko ambako network yao ya HSR imejikita zaidi.
Population density ya Marekani ni ndogo kuliko China, isitoshe population imetawanyika zaidi (scattered) katika states mbalimbali tofauti na China, hivyo kupanua zaidi network ya HSR ni changamoto bila benefits kwenye uendeshaji wa mradi. Ni Wamarekani wangapi wenye safari za haraka watapanda treni ya mwendo kasi kutoka Los Angeles mpaka New York waache ndege ambayo ni nafuu na yenye kasi zaidi?
Sijui kama unafahamu kuwa Marekani ndiyo nchi yenye largest road network duniani. Pia Marekani hiyohiyo ni nchi yenye largest railroad network in the world kwa ajili ya usafirishaji wa mizigo (freights), usafiri wa umma n.k. Kuongeza network mpya ya HSR pia kunaleta athari kwa network kubwa ya reli ambayo tayari ipo na inaendesha uchumi.
Naomba nirudie:
Hapa tunazungumzia nyanja zenye manufaa na zinazogusa wananchi moja kwa moja kama ambavyo umesema wewe mwenyewe. Ndio maana hapo awali nilisema, ulinganisho wako wa miundombinu kati ya hizo nchi mbili una makosa mengi ya kisomi.
🇨🇳 China
🇺🇸 United States
🇮🇳 India
🇬🇧 United Kingdom
🇩🇪 Germany
🇮🇹 Italy
🇯🇵 Japan
🇨🇦 Canada
🇦🇺 Australia
🇫🇷 France
🇪🇸 Spain
🇷🇺 Russian Federation
🇰🇷 South Korea
🇧🇷 Brazil
🇮🇷 Iran
🇳🇱 Netherlands
🇹🇷 Turkey
🇸🇦 Saudi Arabia
🇵🇱 Poland
🇨🇭 Switzerland
🇸🇪 Sweden
🇹🇼 Taiwan
🇲🇾 Malaysia
🇪🇬 Egypt
🇮🇩 Indonesia
🇵🇰 Pakistan
🇧🇪 Belgium
🇵🇹 Portugal
🇩🇰 Denmark
🇿🇦 South Africa
China contributes 51.5% of the global solar installations.
Actually more than that, the solar installations in other countries mainly(80%-90%) depends on the imports of photovoltaic equipments from China. This is China's greatest contribution to global warming.
🇨🇳 Shanghai: 795.5 km
🇨🇳 Beijing: 785.7 km
🇨🇳 Guangzhou: 617 km
🇨🇳 Shenzhen: 547.4 km
🇨🇳 Chengdu: 518.5 km
🇨🇳 Hangzhou: 516.2 km
🇨🇳 Nanjing: 498.7 km
🇨🇳 Chongqing: 485 km
🇨🇳 Wuhan: 460.9 km
🇷🇺 Moscow: 449.1 km
🇬🇧 London: 402 km
🇺🇸 New York City: 399 km
🇮🇳 Delhi: 350.4 km
🇰🇷 Seoul: 345.3 km
🇨🇳 Qingdao: 315.9 km
🇨🇳 Xi'an: 300.4 km
🇪🇸 Madrid: 293.9 km
🇨🇳 Tianjin: 288.3 km
🇨🇳 Suzhou: 249.7 km
🇨🇳 Zhengzhou: 238.8 km
🇨🇳 Dalian: 237.7 km
🇸🇬 Singapore: 230.6 km
🇫🇷 Paris: 226.9 km
🇨🇳🇭🇰 Hong Kong: 209 km
🇨🇳 Changsha: 207.9 km
🇺🇸 Washington, DC: 206 km
🇲🇽 Mexico City: 200.88 km
🇹🇷 Istanbul: 199.26 km
🇲🇾 Kuala Lumpur: 196.2 km
🇯🇵 Tokyo: 195.1 km
🇨🇳 Danyang-Kunshan Grand Bridge: 164.8 km
🇹🇼 Changhua-Kaohsiung Viaduct: 157.3 km
🇯🇵 Kita-Yaita Viaduct: 114.4 km
🇨🇳 Tianjin Grand Bridge: 113.7 km
🇨🇳 Cangda Grand Bridge: 105.9 km
🇨🇳 Weinan Weihe Grand Bridge: 79.7 km
🇹🇭 Bang Na Expressway: 54 km
🇨🇳 Beijing Grand Bridge: 48.2 km
🇵🇭 Metro Manila Skyway System: 39.2 km
🇺🇸 Lake Pontchartrain Causeway: 38.4 km
🇨🇳 Wuhan Metro Bridge Line 1: 37.8 km
🇺🇸 Manchac Swamp Bridge: 36.7 km
Umeleta taarifa kutoka Wikipedia, ila mtu mwingine akitumia hiyohiyo Wikipedia kukupinga unasema "siyo reliable source". Hahaha!
Hata hivyo, chanzo chako bado kinathibitisha kwamba hoja yangu ni sahihi kuhusu uhusika wa Marekani katika design process. Kampuni iliyohusika kwenye architecture ni Gensler kutoka Marekani. Huyo architect mchina anayetajwa hapo ni msomi kutoka Chuo Kikuu cha Colorado Denver nchini Marekani na ni mwajiriwa wa kampuni ya Gensler kutokana na uzoefu wake wa kijiografia katika eneo project ilipo.
Chanzo chako (Wikipedia) kinasema:
Wakati mwingine usiikatae Wikipedia. Imekusaidia mara nyingi tu humu!
Mimi chanzo changu ni kutoka Gensler wenyewe ambao kama kampuni moja wamehusika kwenye design process yote:
Nimeshaeleza sababu za kijiografia kuhusu Marekani kutowekeza zaidi kwenye HSR.
Nimekopi na kupesti kile nilichosema awali:
Marekani ukizingatia population yake tayari ina large network ya usafiri wa ndege (domestic airline) ambayo inakidhi mahitaji ya wananchi kwa kiasi kikubwa. Kuongeza network ya HSR kupita kiasi kwa kipindi cha sasa ni matumizi mabovu ya rasilimali.
Kuhusu suala la geography na demographics: High Speed Railway inaleta manufaa zaidi ya kiuchumi kama population density ni kubwa na miji yenye wakazi wengi inakaribiana zaidi. Population kubwa ya Wachina iko katika miji ya mashariki zaidi mwa China kijiografia na ndiko ambako network yao ya HSR imejikita zaidi.
Population density ya Marekani ni ndogo kuliko China, isitoshe population imetawanyika zaidi (scattered) katika states mbalimbali tofauti na China, hivyo kupanua zaidi network ya HSR ni changamoto bila benefits kwenye uendeshaji wa mradi. Ni Wamarekani wangapi wenye safari za haraka watapanda treni ya mwendo kasi kutoka Los Angeles mpaka New York waache ndege ambayo ni nafuu na yenye kasi zaidi?
Sijui kama unafahamu kuwa Marekani ndiyo nchi yenye largest road network duniani. Pia Marekani hiyohiyo ni nchi yenye largest railroad network in the world kwa ajili ya usafirishaji wa mizigo (freights), usafiri wa umma n.k. Kuongeza network mpya ya HSR pia kunaleta athari kwa network kubwa ya reli ambayo tayari ipo na inaendesha uchumi.
Sheria za China zinaruhusu foreign firms kuhusika kwenye kutoa wataalamu wa mipango miji.
Moja ya projects za urban planning ni hii hapa ambayo imehusisha makampuni matatu kutoka nje (Marekani na Uingereza) katika masuala ya architecture na consultancy. Project inaitwa Meixi Lake City ama Meixi Lake Master Plan kwa mujibu wa Kohn Pedersen Fox:
Sheria za China zinaruhusu foreign firms kuhusika kwenye kutoa wataalamu wa mipango miji.
Moja ya projects za urban planning ni hii hapa ambayo imehusisha makampuni matatu kutoka nje (Marekani na Uingereza) katika masuala ya architecture na consultancy. Project inaitwa Meixi Lake City ama Meixi Lake Master Plan kwa mujibu wa Kohn Pedersen Fox:
Nimeshaeleza sababu za kijiografia kuhusu Marekani kutowekeza zaidi kwenye HSR.
Nimekopi na kupesti kile nilichosema awali:
Marekani ukizingatia population yake tayari ina large network ya usafiri wa ndege (domestic airline) ambayo inakidhi mahitaji ya wananchi kwa kiasi kikubwa. Kuongeza network ya HSR kupita kiasi kwa kipindi cha sasa ni matumizi mabovu ya rasilimali.
Kuhusu suala la geography na demographics: High Speed Railway inaleta manufaa zaidi ya kiuchumi kama population density ni kubwa na miji yenye wakazi wengi inakaribiana zaidi. Population kubwa ya Wachina iko katika miji ya mashariki zaidi mwa China kijiografia na ndiko ambako network yao ya HSR imejikita zaidi.
Population density ya Marekani ni ndogo kuliko China, isitoshe population imetawanyika zaidi (scattered) katika states mbalimbali tofauti na China, hivyo kupanua zaidi network ya HSR ni changamoto bila benefits kwenye uendeshaji wa mradi. Ni Wamarekani wangapi wenye safari za haraka watapanda treni ya mwendo kasi kutoka Los Angeles mpaka New York waache ndege ambayo ni nafuu na yenye kasi zaidi?
Sijui kama unafahamu kuwa Marekani ndiyo nchi yenye largest road network duniani. Pia Marekani hiyohiyo ni nchi yenye largest railroad network in the world kwa ajili ya usafirishaji wa mizigo (freights), usafiri wa umma n.k. Kuongeza network mpya ya HSR pia kunaleta athari kwa network kubwa ya reli ambayo tayari ipo na inaendesha uchumi.
Maelezo mengi mno. Dalili ya kukosa contents. Wewe weka hapa Infrastructures tulinganishe. Siyo oh! Mara architect mara oh! Designers. Mzee weka miundombinu ya USA tulinganishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.