China wako vizuri sana kwenye kiingereza. Yani walivyomjibu Trump kwenye tarrifs, nimewakubali

China wako vizuri sana kwenye kiingereza. Yani walivyomjibu Trump kwenye tarrifs, nimewakubali

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Baada ya Rais Trump wa Marekani kuiongezea china Terrifs kwenye bidhaa zake kutoka asilimia 10 hadi ishirini. Nao wamejibu kuiongezea bidhaa za marekani asilimia 15.

Bidhaa za marekani ambazo china zimeongeza teriffs hadi asilimia 15 ni sorghum (ulezi), soybeans, pork (kiti moto), beef, aquatic products, fruits, vegetables, and dairy products”.

Baada ya China kufanya hivyo kilichonifurahisha ni kiingereza walichotumia kumjibu Marekani yani kimeenda shule balaa na ni msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya china alitumia. Yani Nouma China kwenye kutema yai nimewanyooshea mikono. Cheki hapo chini.

Speaking at a regular briefing on Tuesday, Lin Jian, a spokesperson for China’s Foreign Ministry, said “China will fight till the end” if the US “insists on waging a tariff war, trade war or any other kind of war.”

“I want to reiterate that the Chinese people have never feared evil or ghosts, nor have we ever bowed to hegemony or bullying. Pressure, coercion and threats are not the right ways to engage with China. Trying to exert maximum pressure on China is a miscalculation and a mistake".

thediplomat-2020-11-30-4.jpg


Senior JF economist and Geopolitics expert and analyst.

Mpaji Mungu Chaliifrancisco PSL god Mufti kuku The Infinity

Nyau de adriz
 
Yes , kingereza safi cha kujiamini na mikwara kama changu.

Cheki example chini
" You Mr Scumbag, If you don't want peace and you insist on your aggressions and stupidity, you will face devastating consequences . You should know that I have thousands of ballistic missile but for now I'm a patient and I'm waiting for right time to fire those ballistic missile towards you and your supporters...

Cc : Intelligent businessman
 
Yes , kingereza safi cha kujiamini na mikwara kama changu.

Cheki example chini
" You Mr Scumbag, If you don't want peace and you insist on your aggressions and stupidity, you will face devastating consequences . You should know that I have thousands of ballistic missile but for now I'm a patient and I'm waiting for right time to fire ballistic missile towards you and your supporters...

Cc : Intelligent businessman
Nyau de adriz le nyambulet enuchii
 
Yes , kingereza safi cha kujiamini na mikwara kama changu.

Cheki example chini
" You Mr Scumbag, If you don't want peace and you insist on your aggressions and stupidity, you will face devastating consequences . You should know that I have thousands of ballistic missile but for now I'm a patient and I'm waiting for right time to fire ballistic missile towards you and your supporters...

Cc : Intelligent businessman
Hahaha hii swaumu bana.

Nyau de adriz
 
Baada ya Rais Trump wa Marekani kuiongezea china Terrifs kwenye bidhaa zake kutoka asilimia 10 hadi ishirini. Nao wamejibu kuiongezea bidhaa za marekani asilimia 15.

Bidhaa za marekani ambazo china zimeongeza teriffs hadi asilimia 15 ni sorghum (ulezi), soybeans, pork (kiti moto), beef, aquatic products, fruits, vegetables, and dairy products”.

Baada ya China kufanya hivyo kilichonifurahisha ni kiingereza walichotumia kumjibu Marekani yani kimeenda shule balaa na ni msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya china alitumia. Yani Nouma China kwenye kutema yai nimewanyooshea mikono. Cheki hapo chini.

Speaking at a regular briefing on Tuesday, Lin Jian, a spokesperson for China’s Foreign Ministry, said “China will fight till the end” if the US “insists on waging a tariff war, trade war or any other kind of war.”

“I want to reiterate that the Chinese people have never feared evil or ghosts, nor have we ever bowed to hegemony or bullying. Pressure, coercion and threats are not the right ways to engage with China. Trying to exert maximum pressure on China is a miscalculation and a mistake".

View attachment 3258605


Senior JF economist and Geopolitics expert and analyst.

Mpaji Mungu Chaliifrancisco PSL god Mufti kuku The Infinity

Nyau de adriz
Ndivyo kasema au kazungumza kichina mwandishi ndiye katafsiri kwa Kiingereza?
Hii trade war WAmarekani wenyewe ndiyo wataanza kuipata pata kwa vitu kupanda bei. Hivi na ukosefu wa mayai unatokana na tarriffs? Maana kuna shortage ya mayai hadi yamepanda bei.
 
Yes , kingereza safi cha kujiamini na mikwara kama changu.

Cheki example chini
" You Mr Scumbag, If you don't want peace and you insist on your aggressions and stupidity, you will face devastating consequences . You should know that I have thousands of ballistic missile but for now I'm a patient and I'm waiting for right time to fire ballistic missile towards you and your supporters...

Cc : Intelligent businessman
Mazee, if this is indeed your command of the English language, you could effortlessly secure a loan in the United States without facing any impediments, scrutiny, or exploitation, much like the president of Ukraine, who enjoys unchallenged privilege and smooth dealings.
 
Mazee, if this is indeed your command of the English language, you could effortlessly secure a loan in the United States without facing any impediments, scrutiny, or exploitation, much like the president of Ukraine, who enjoys unchallenged privilege and smooth dealings.
Hahaha wnajf bana.
 
Mazee, if this is indeed your command of the English language, you could effortlessly secure a loan in the United States without facing any impediments, scrutiny, or exploitation, much like the president of Ukraine, who enjoys unchallenged privilege and smooth dealings.
Sielewi hiki ulichoandika hapa unanionea tu , kichape kimatumbi twende sawa. HApo nijijiforce tu hadi tone la mwisho kujitutumua kuUtilize well St Kayumba yangu .
 
Ubabe ndio lugha pekee anayoelewa Trump. Ukiwa mlendamlenda atakupelekesha kama gari bovu.
 
Bado ukweli unabaki pale pale soko tamu la dunia lipo Marekani, kupigwa tarriffs na Marekani kunaweza kupunguza signicficantly mapato ya nchi
Marekani na china wanategemeana, usionyeshe Sana mahaba jifunze kw zele
 
Yes , kingereza safi cha kujiamini na mikwara kama changu.

Cheki example chini
" You Mr Scumbag, If you don't want peace and you insist on your aggressions and stupidity, you will face devastating consequences . You should know that I have thousands of ballistic missile but for now I'm a patient and I'm waiting for right time to fire ballistic missile towards you and your supporters...

Cc : Intelligent businessman
You, Mr. Scumbag, if you don't want peace and insist on your aggression and stupidity, you will face devastating consequences. You should know that I have thousands of ballistic missiles, but for now, I am patient and waiting for the right time to fire a ballistic missile at you and your supporters.

More refined:

Mr. Scumbag, if you refuse peace and persist in your aggression and foolishness, you will face devastating consequences. You should know that I have thousands of ballistic missiles, but for now, I am patient and waiting for the right time to launch them at you and your supporters.
 
Back
Top Bottom