China wamezindua 6th Gen Jet Figher inaitwa Baidi: Ina uwezo wa kuoperate kwenye air na Space!

China wamezindua 6th Gen Jet Figher inaitwa Baidi: Ina uwezo wa kuoperate kwenye air na Space!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Kwenye maonyesho ya Kimataifa ya Aviation & Aerospace huko China, almaarufu Zhuai Air Show jamaa wamefanya yao.
IMG_0646.jpeg
Wametuletea fighter wanaiita Baidi kwa lugha nyepesi “White Emperor” ambayo inaaminiwa kua ni 6th gen yao ya kwanza katika ulimwengu wa Fighters.

IMG_0647.jpeg
Chuma ina uwezo wa kwenda supersonic speed na kuvuka barrier ya atmosphere na kwenda kwenye space, hii ni moja ya feature inayosubiriwa sana kwenye next gen fighters (integrated space-air fighter).
IMG_0644.jpeg
Ingawa specifications nyingi bado wamezificha, ila kidogo wametupa ABC ya tunakoenda.

Tusubirie Lockheed Martin watatuletea nini.
 
BaiDi sio ndege ni kama demonstrator zile ambazo Marekani hupewa suffix ya -X, kwa Urusi huitwa Project .....

BaiDi ni mock up ya 6th generation fighter jet ila kwenda space haiwezi sababu sio mojawapo ya vigezo vya 6th gen. na hiyo tech wala haipo ya kufanya stealth jet hapohapo iende kwenye space.

Marekani kwa upande wake kina Lockheed Martin wana kazi ya USAF kutoa Next Generation Air Dominance (NGAD) itakayokuwa 6th gen. na iwe replacement ya F-22 Raptor

Unit cost ya NGAD itakuwa kubwa mara tatu ya F-35 ndio maana wamesitisha kama vile kwa ajili ya funding ila si kwamba wameacha. Na vile Marekani mpaka sasa haina serious threat ya F-22 wala F-35 sasa haina haja ya kukurupuka kutengeneza ndege nyingine. Ikifanya hivyo yatakuwa yaleyale ya kuogopa ikaunda F-15 kushindana na Mig-25 kumbe Mig-25 ilikuwa overestimated sana.

Uingereza nao wanataka 6th kama vile. Wataruka 5th gen, Ulaya pale nadhani hata Wafaransa na Wajerumani watairuka 5th waende 6th.
 
Kwenye maonyesho ya Kimataifa ya Aviation & Aerospace huko China, almaarufu Zhuai Air Show jamaa wamefanya yao.
View attachment 3152449
Wametuletea fighter wanaiita Baidi kwa lugha nyepesi “White Emperor” ambayo inaaminiwa kua ni 6th gen yao ya kwanza katika ulimwengu wa Fighters.
View attachment 3152450
Chuma ina uwezo wa kwenda supersonic speed na kuvuka barrier ya atmosphere na kwenda kwenye space, hii ni moja ya feature inayosubiriwa sana kwenye next gen fighters (integrated space-air fighter). View attachment 3152451
Ingawa specifications nyingi bado wamezificha, ila kidogo wametupa ABC ya tunakoenda.

Tusubirie Lockheed Martin watatuletea nini.
The United States is developing next-generation fighters, including Lockheed Martin's SR-72 Darkstar project, which aims to produce a hypersonic reconnaissance drone.

Reports indicate that a test model could be ready by next year. The final version is expected to achieve a top speed of Mach 6, or six times the speed of sound.
 
Huwezi poteza kampuni kubwa yenye kuzalisha maelfu ya fighter jets kwa bati la maonyesho.
The United States is developing next-generation fighters, including Lockheed Martin's SR-72 Darkstar project, which aims to produce a hypersonic reconnaissance drone.

Reports indicate that a test model could be ready by next year. The final version is expected to achieve a top speed of Mach 6, or six times the speed of sound.
 
Hehehe kampuni kubwa ila kwa f 35 wamepiga kodi za wamarekani na kwa f 22 pesa zao zilitumika kihalali
F-35 zimeuzwa Israel, Uingereza, Japan, South Korea, Australia, Italy, Canada, Singapore, Finland, Poland, Germany, Denmark, Uholanzi, Ugiriki.

Ina maana wote hao ni wapumbavu hawana akili wamekosa ndege za kununua wakanunua F-35 ambayo imepoteza kodi za Wamarekani. Unaikashifu ndege ambayo Uturuki walilia wasiondolewe kwenye mradi, wakabembeleza. Ndege ambayo mpaka sasa units zilizotengenezwa ni zaidi ya 1,000 ndani ya miaka michache na order ni nyingi mpaka Lockheed Martin wamezidiwa?

F-35 ilishindanishwa kwenye tenda za nchi kadhaa kama Finland hao ndio walikuwa wawazi kabisa. Haijawahi shindwa na ndege yeyote.

Unachekesha.
 
BaiDi sio ndege ni kama demonstrator zile ambazo Marekani hupewa suffix ya -X, kwa Urusi huitwa Project .....

BaiDi ni mock up ya 6th generation fighter jet ila kwenda space haiwezi sababu sio mojawapo ya vigezo vya 6th gen. na hiyo tech wala haipo ya kufanya stealth jet hapohapo iende kwenye space.

Marekani kwa upande wake kina Lockheed Martin wana kazi ya USAF kutoa Next Generation Air Dominance (NGAD) itakayokuwa 6th gen. na iwe replacement ya F-22 Raptor

Unit cost ya NGAD itakuwa kubwa mara tatu ya F-35 ndio maana wamesitisha kama vile kwa ajili ya funding ila si kwamba wameacha. Na vile Marekani mpaka sasa haina serious threat ya F-22 wala F-35 sasa haina haja ya kukurupuka kutengeneza ndege nyingine. Ikifanya hivyo yatakuwa yaleyale ya kuogopa ikaunda F-15 kushindana na Mig-25 kumbe Mig-25 ilikuwa overestimated sana.

Uingereza nao wanataka 6th kama vile. Wataruka 5th gen, Ulaya pale nadhani hata Wafaransa na Wajerumani watairuka 5th waende 6th.
Umeandika vizuri.

Ila pia 6th gen itafocus sana kwenye AI, maana kama speed LM washakuaga na mach 3+ kitambo tokea 1960s.

Kila mmoja anaogopa kutangulia kuonesha au ni secret project usikute vyuma tayari vipo
 
Muda wa sisi ku-upgrade Chengdu zetu.
Bongo tungeweza tungenunua Chengdu J-10C zingedumu nasi kwa miaka kama 35 baadae zikipewa upgrades. Tukikosa basi tupate JF-17 Block III au IV ambazo Mchina aliunda kwa ajili ya Pakistan na foreign market. Ndio 4th generation za bei nafuu duniani, na ziko matured na hazina politics nyingi zinazoambatana nazo.

Kwa sasa si sahihi kununua ndege kama Mirage III maana sisi wabahiri kama Mig-21 tumekaa nazo kwa miaka zaidi ya 30 wakati tulizinunua zikiwa hot kipindi kile. Hata Wahindi wakija na Tejas zitakuwa zinasumbua sio za kununua. Wazungu ndege zao hatuwezi kabisa, sasa bajeti ya Jas-39 Gripen tutoe wapi.

Tukishindwa kabisa kabisa basi tuwe na advanced trainers zinazotumika kama light fighter. South Korea wanayo KAI T-50 inafaa.
 
Bongo tungeweza tungenunua Chengdu J-10C zingedumu nasi kwa miaka kama 35 baadae zikipewa upgrades. Tukikosa basi tupate JF-17 Block III au IV ambazo Mchina aliunda kwa ajili ya Pakistan na foreign market. Ndio 4th generation za bei nafuu duniani, na ziko matured na hazina politics nyingi zinazoambatana nazo.

Kwa sasa si sahihi kununua ndege kama Mirage III maana sisi wabahiri kama Mig-21 tumekaa nazo kwa miaka zaidi ya 30 wakati tulizinunua zikiwa hot kipindi kile. Hata Wahindi wakija na Tejas zitakuwa zinasumbua sio za kununua. Wazungu ndege zao hatuwezi kabisa, sasa bajeti ya Jas-39 Gripen tutoe wapi.

Tukishindwa kabisa kabisa basi tuwe na advanced trainers zinazotumika kama light fighter. South Korea wanayo KAI T-50 inafaa.
Ila si uwa tunaziona F-7s. They are old ila nice, maybe zipo ambazo hawaziweki public.
 
Back
Top Bottom