China wamezindua 6th Gen Jet Figher inaitwa Baidi: Ina uwezo wa kuoperate kwenye air na Space!

China wamezindua 6th Gen Jet Figher inaitwa Baidi: Ina uwezo wa kuoperate kwenye air na Space!

J-35 ina muda gani tangu itoke kiwandani? 🤣
Haujawahi kuona magari yanatoka kiwandani yanafanyiwa recall kwa sababu ya hitilafu?

Ndivyo na F-35 tangu itengenezwe imekuwa na shida kwenye engine.

Ni vile tu Manufacturers wake wamekimbia kuziboresha

Hoja yako ya miaka 10 haina mashiko yoyote. Ungesema F-35 imekuwa na miaka 10 ya matatizo kwenye engine ingekuwa hoja yenye mashiko

Acha ushamba
 
Ndege ina korokoro nyingi, si unaona wameitengeneza uwezo wa kunyanyuka hapo hapo na kuruka, ndio maana ina payload ndogo, ina uwezo mdogo wa kubeba silaha... Kwa huo upuuzi wa stealth ndio maana ina engine moja...

Kuweka korokoro nyingi sehemu moja matokeo yake ndio hayo, inabidi baadhi ya vitu upunguze, F35 haina speed kwa sababu ya huo ujinga wa stealth..
Pale kwa F35 wamefeli vibaya majamaa
 
Vizuri. Kwahiyo hiz procurement ni masuala open tu kila mtu anaweza yajua si ndio mkuu? Maana nilikua nikidhan kuwa masuala ya kijeshi ni siri sana
Hakuna siri katika kuuza na kununua silaha mkuu. Kwanza kuna sheria za kimataifa za kununua silaha ndio maana hatuwezi nunua za maangamizi kama mabomu ya sumu, nyuklia au biological weapons.

Na hata kama kuna siri kidogo kwenye kununua, kwenye kutumia sio siri.
 
Haujawahi kuona magari yanatoka kiwandani yanafanyiwa recall kwa sababu ya hitilafu?

Ndivyo na F-35 tangu itengenezwe imekuwa na shida kwenye engine.

Ni vile tu Manufacturers wake wamekimbia kuziboresha

Hoja yako ya miaka 10 haina mashiko yoyote. Ungesema F-35 imekuwa na miaka 10 ya matatizo kwenye engine ingekuwa hoja yenye mashiko

Acha ushamba
Bado hujanijibu unaleta ugoro tu hapa j-35 ina muda gani tangu itoke kiwandani?
 
Israel hio mifumo ya NATO imewasaidia vipi kuzuia makombora ya Iran?...

Wangerusha hizo F35 waka intercept missiles , wakamaliza wakaenda kufanya retaliation kwa kutumia F35 nchini Iran, mmekomaa stealth, electronics war... Blah blah blah... F35 ni ndege iliyo katika theory tu, practically haina tofauti na migs za kawaida...

Russians wanaifahamu tech vizuri zaidi, wana ignore upuuzi usiokuwa na maana, wana mashine kwa ajili ya kazi na si kwa ajili ya propaganda...

F35 ni upuuzi...
West wakiunda kitu chao huwa kinapakwa mafuta ww utandhani labda ni kitu tofauti na cha maana sana angali hats iphone series utakuta iphone 16 na iphne 12 zote tofoute ni Bettry to
 
West wakiunda kitu chao huwa kinapakwa mafuta ww utandhani labda ni kitu tofauti na cha maana sana angali hats iphone series utakuta iphone 16 na iphne 12 zote tofoute ni Bettry to
Jamaa kwa marketing wapo vizuri.
 
Dah sio muda mrefu kabisa China tulikuwa nao sawa. Sijui walisanuka vp aisee. Walikuwa wanaunda Phoenix sisi tunaunda Swala ila leo wana tembea km 500 kwa saa na tren zao kama nyoka wakati sisi tunawadunga tu stiki punda ili watuwahishe kwenye safari na mishe zetu. So sad
 
Dah sio muda mrefu kabisa China tulikuwa nao sawa. Sijui walisanuka vp aisee. Walikuwa wanaunda Phoenix sisi tunaunda Swala ila leo wana tembea km 500 kwa saa na tren zao kama nyoka wakati sisi tunawadunga tu stiki punda ili watuwahishe kwenye safari na mishe zetu. So sad
Wewe na akina nani mlikuwa sawa na Wachina. Yani Wandendeule na Wayao unawafananisha na Qing Dynasty au Ming Dynasty ya Wachina mkuu?

China wameanza kuandika miaka 1200 kabla ya Yesu, sisi Wabantu tumekuja kufundishwa kuandika na wazungu. Wamegundua karatasi wakiwa wa kwanza duniani, wamegundua gunpowder.

Hakuna mahala popote katika historia tuliwahi kuwa sawa na Wachina.
 
F-35 zimeuzwa Israel, Uingereza, Japan, South Korea, Australia, Italy, Canada, Singapore, Finland, Poland, Germany, Denmark, Uholanzi, Ugiriki.

Ina maana wote hao ni wapumbavu hawana akili wamekosa ndege za kununua wakanunua F-35 ambayo imepoteza kodi za Wamarekani. Unaikashifu ndege ambayo Uturuki walilia wasiondolewe kwenye mradi, wakabembeleza. Ndege ambayo mpaka sasa units zilizotengenezwa ni zaidi ya 1,000 ndani ya miaka michache na order ni nyingi mpaka Lockheed Martin wamezidiwa?

F-35 ilishindanishwa kwenye tenda za nchi kadhaa kama Finland hao ndio walikuwa wawazi kabisa. Haijawahi shindwa na ndege yeyote.

Unachekesha.
Achana nae mwehu huyo.....akishakunywa kahawa yake huko anakuja kujamba humu
 
Dah sio muda mrefu kabisa China tulikuwa nao sawa. Sijui walisanuka vp aisee. Walikuwa wanaunda Phoenix sisi tunaunda Swala ila leo wana tembea km 500 kwa saa na tren zao kama nyoka wakati sisi tunawadunga tu stiki punda ili watuwahishe kwenye safari na mishe zetu. So sad
China haijawahi kuwa sawa na tanzania mkuu, hizi ni propaganda!
China ni taifa lenye umri wa miaka zaidi ya 2000, hawa China ndio walianzisha mitihani ili kuwapata viongozi kwenye dynasty zao, ndio wagunduzi wa unga wa risasi, wagunduzi wa karatasi,.....

China aliyumba miaka ya 1840-1940 hapo, wanaita a century of humiliation, mwaka 60 wametoa misaada kwa nchi nyingi za Afrika kupata uhuru, 70 wametujengea tazara..... tulifanana lini?

China ni taifa kubwa kihistoria kuliko mataifa yote duniani........
 
Wewe sasa ndio unachekesha f 22 zimeuzwa kwa nchi ipi na ipi je nazo mbovu au zina shida gani mpaka zisiuzwe
F22 usa hauzi na hajawahi kumuuzia yoyote sio mbovu bali hizo ndege hauzi ametoa valiant 1 kwa kwa ajili ya usa tofauti na f35 ambazo zipo valiant z
F 22 sio haipo sokoni Sema haijaekwa sokoni na sababu zimewekwa wazi kabisa kuihusu
F 22 sio haipo sokoni Sema haijaekwa sokoni na sababu zimewekwa wazi kabisa kuihusu
Sababu gani
 
F35 ni wametoa variants karibu tatu ndani ya muda mchache yote hio ni kuziba mapungufu, ndege ya mapigano ina tani 25, hio ni ndege au lori...
Punguza uongo
 

Attachments

  • Screenshot_20241126-224726_Chrome.jpg
    Screenshot_20241126-224726_Chrome.jpg
    489.3 KB · Views: 5
Thaad na hizo patriot zimeaibika vibaya baada ya ile video kuonekana mifumo ya s300 na s400 ikidungua makombora ya Israel nchini Iran like a boss...

Lakini ukija kusoma porojo za pro wa west unaweza dhani hao Russians wana tech duni, lakini kumbe ni opposite...


Ndio uhalisia ulivyo...
THAAD imeabika wapi?....hebu punguza mihemko
 
Sasa unaona mbinu kama hizo 🤣🤣🤣
Hata watengenezaji wenyewe hawakuwahi kugundua ndege yao ikimwagiwa mafuta itaanguka...

Hata huko maabara hawakuwahi kujaribu hio ndege ikimwagiwa mafuta ina malfunction 🤣🤣

Watu wanakazana 5th gen fighters, mara modern warfare, sasa hivi huko Ukraine askari wanachimba trenches as if ni world war 2, vita katika uhalisia sio mchezo...

F35 speed yake ni ndogo, overhyped na over priced, ikitokea ikaonekana , haiwezi kutoroka ndege kama mig 31 inayotembea km 3000 kwa saa..

Ndio maana F35 ni pambo na specs nyingi za maabara kwa ajili ya maonyesho, kwenye battle zinakwenda F16s ,F15, na F18 hornet...

We jiulize kwanini?

Interceptor za mifumo kama Thaad n.k zina cost miliions of dollars, US wana pesa hawashindwi kuzitoa sadaka F35 hata tano tu kupima uwezo wake kwenye real battle Iran au Ukraine.... Uone wajanja watakavyo zipopoa kama maembe...

Itakuwa ni kituko cha karne na aibu 🤣

Iran hao walishashusha Rq sentinel ambayo nayo ilikuwa hyped eti oohh ilisaidia kwenye intel kumtafuta Osama na kum track, oooh ni stealth haionekani na radar...

Mwisho wake ni aibu...
Una akili sawasawa....
 
Hii habari si ya kweli.
Israel F35 zilionwa na radar za Iran mamia ya kilomita kabla hata ya kuingia anga la Iran, jambo ambaloli liliwashangaza jeshi la Israel, mifumo ya anga ya Israel ili lock targets f35, wangeingia tu kwenye space hizo ndege zingepigwa zote...

Kitu hicho wachambuzi na wafuatiliaji wanasema ilipelekea ndege hizo za Israel kuachia missiles kabla ya kufika eneo husika (prematurely) hivyo pilots wali abort mission kushambulia na kurudi walikotoka, ndio maana kila medias na sources mbali mbali wanasema casualties zilikuwa ndogo sana... Jets zaidi 100 lakini hakuna walichofanya... Hizo ni habari ambazo ni unverified...

Anga la middle east sio sehemu ya Israel kujimwambafy na air superiority...
Weka link ya hiyo taarifa yako kuwa f35 zilionekana mamia ya kilomita kwenye rada
 
F22 usa hauzi na hajawahi kumuuzia yoyote sio mbovu bali hizo ndege hauzi ametoa valiant 1 kwa kwa ajili ya usa tofauti na f35 ambazo zipo valiant z


Sababu gani
Sababu wamesema wanazuia tech yake
 
Back
Top Bottom