Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
J-35 ina muda gani tangu itoke kiwandani? 🤣
Haujawahi kuona magari yanatoka kiwandani yanafanyiwa recall kwa sababu ya hitilafu?
Ndivyo na F-35 tangu itengenezwe imekuwa na shida kwenye engine.
Ni vile tu Manufacturers wake wamekimbia kuziboresha
Hoja yako ya miaka 10 haina mashiko yoyote. Ungesema F-35 imekuwa na miaka 10 ya matatizo kwenye engine ingekuwa hoja yenye mashiko
Acha ushamba
Ndivyo na F-35 tangu itengenezwe imekuwa na shida kwenye engine.
Ni vile tu Manufacturers wake wamekimbia kuziboresha
Hoja yako ya miaka 10 haina mashiko yoyote. Ungesema F-35 imekuwa na miaka 10 ya matatizo kwenye engine ingekuwa hoja yenye mashiko
Acha ushamba