Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
J-35 ina muda gani tangu itoke kiwandani? 🤣
Pale kwa F35 wamefeli vibaya majamaaNdege ina korokoro nyingi, si unaona wameitengeneza uwezo wa kunyanyuka hapo hapo na kuruka, ndio maana ina payload ndogo, ina uwezo mdogo wa kubeba silaha... Kwa huo upuuzi wa stealth ndio maana ina engine moja...
Kuweka korokoro nyingi sehemu moja matokeo yake ndio hayo, inabidi baadhi ya vitu upunguze, F35 haina speed kwa sababu ya huo ujinga wa stealth..
Hakuna siri katika kuuza na kununua silaha mkuu. Kwanza kuna sheria za kimataifa za kununua silaha ndio maana hatuwezi nunua za maangamizi kama mabomu ya sumu, nyuklia au biological weapons.Vizuri. Kwahiyo hiz procurement ni masuala open tu kila mtu anaweza yajua si ndio mkuu? Maana nilikua nikidhan kuwa masuala ya kijeshi ni siri sana
Bado hujanijibu unaleta ugoro tu hapa j-35 ina muda gani tangu itoke kiwandani?Haujawahi kuona magari yanatoka kiwandani yanafanyiwa recall kwa sababu ya hitilafu?
Ndivyo na F-35 tangu itengenezwe imekuwa na shida kwenye engine.
Ni vile tu Manufacturers wake wamekimbia kuziboresha
Hoja yako ya miaka 10 haina mashiko yoyote. Ungesema F-35 imekuwa na miaka 10 ya matatizo kwenye engine ingekuwa hoja yenye mashiko
Acha ushamba
West wakiunda kitu chao huwa kinapakwa mafuta ww utandhani labda ni kitu tofauti na cha maana sana angali hats iphone series utakuta iphone 16 na iphne 12 zote tofoute ni Bettry toIsrael hio mifumo ya NATO imewasaidia vipi kuzuia makombora ya Iran?...
Wangerusha hizo F35 waka intercept missiles , wakamaliza wakaenda kufanya retaliation kwa kutumia F35 nchini Iran, mmekomaa stealth, electronics war... Blah blah blah... F35 ni ndege iliyo katika theory tu, practically haina tofauti na migs za kawaida...
Russians wanaifahamu tech vizuri zaidi, wana ignore upuuzi usiokuwa na maana, wana mashine kwa ajili ya kazi na si kwa ajili ya propaganda...
F35 ni upuuzi...
Jamaa kwa marketing wapo vizuri.West wakiunda kitu chao huwa kinapakwa mafuta ww utandhani labda ni kitu tofauti na cha maana sana angali hats iphone series utakuta iphone 16 na iphne 12 zote tofoute ni Bettry to
Ulimuuliza mara nne, mpaka leo hajui J-35 ilitoka lini. J-35 ndege ya maonyesho na kupigia pichaBado hujanijibu unaleta ugoro tu hapa j-35 ina muda gani tangu itoke kiwandani?
Niliamua kumpuuzaUlimuuliza mara nne, mpaka leo hajui J-35 ilitoka lini. J-35 ndege ya maonyesho na kupigia picha
Wewe na akina nani mlikuwa sawa na Wachina. Yani Wandendeule na Wayao unawafananisha na Qing Dynasty au Ming Dynasty ya Wachina mkuu?Dah sio muda mrefu kabisa China tulikuwa nao sawa. Sijui walisanuka vp aisee. Walikuwa wanaunda Phoenix sisi tunaunda Swala ila leo wana tembea km 500 kwa saa na tren zao kama nyoka wakati sisi tunawadunga tu stiki punda ili watuwahishe kwenye safari na mishe zetu. So sad
Achana nae mwehu huyo.....akishakunywa kahawa yake huko anakuja kujamba humuF-35 zimeuzwa Israel, Uingereza, Japan, South Korea, Australia, Italy, Canada, Singapore, Finland, Poland, Germany, Denmark, Uholanzi, Ugiriki.
Ina maana wote hao ni wapumbavu hawana akili wamekosa ndege za kununua wakanunua F-35 ambayo imepoteza kodi za Wamarekani. Unaikashifu ndege ambayo Uturuki walilia wasiondolewe kwenye mradi, wakabembeleza. Ndege ambayo mpaka sasa units zilizotengenezwa ni zaidi ya 1,000 ndani ya miaka michache na order ni nyingi mpaka Lockheed Martin wamezidiwa?
F-35 ilishindanishwa kwenye tenda za nchi kadhaa kama Finland hao ndio walikuwa wawazi kabisa. Haijawahi shindwa na ndege yeyote.
Unachekesha.
China haijawahi kuwa sawa na tanzania mkuu, hizi ni propaganda!Dah sio muda mrefu kabisa China tulikuwa nao sawa. Sijui walisanuka vp aisee. Walikuwa wanaunda Phoenix sisi tunaunda Swala ila leo wana tembea km 500 kwa saa na tren zao kama nyoka wakati sisi tunawadunga tu stiki punda ili watuwahishe kwenye safari na mishe zetu. So sad
F22 usa hauzi na hajawahi kumuuzia yoyote sio mbovu bali hizo ndege hauzi ametoa valiant 1 kwa kwa ajili ya usa tofauti na f35 ambazo zipo valiant zWewe sasa ndio unachekesha f 22 zimeuzwa kwa nchi ipi na ipi je nazo mbovu au zina shida gani mpaka zisiuzwe
F 22 sio haipo sokoni Sema haijaekwa sokoni na sababu zimewekwa wazi kabisa kuihusu
Sababu ganiF 22 sio haipo sokoni Sema haijaekwa sokoni na sababu zimewekwa wazi kabisa kuihusu
Punguza uongoF35 ni wametoa variants karibu tatu ndani ya muda mchache yote hio ni kuziba mapungufu, ndege ya mapigano ina tani 25, hio ni ndege au lori...
THAAD imeabika wapi?....hebu punguza mihemkoThaad na hizo patriot zimeaibika vibaya baada ya ile video kuonekana mifumo ya s300 na s400 ikidungua makombora ya Israel nchini Iran like a boss...
Lakini ukija kusoma porojo za pro wa west unaweza dhani hao Russians wana tech duni, lakini kumbe ni opposite...
Ndio uhalisia ulivyo...
Una akili sawasawa....Sasa unaona mbinu kama hizo 🤣🤣🤣
Hata watengenezaji wenyewe hawakuwahi kugundua ndege yao ikimwagiwa mafuta itaanguka...
Hata huko maabara hawakuwahi kujaribu hio ndege ikimwagiwa mafuta ina malfunction 🤣🤣
Watu wanakazana 5th gen fighters, mara modern warfare, sasa hivi huko Ukraine askari wanachimba trenches as if ni world war 2, vita katika uhalisia sio mchezo...
F35 speed yake ni ndogo, overhyped na over priced, ikitokea ikaonekana , haiwezi kutoroka ndege kama mig 31 inayotembea km 3000 kwa saa..
Ndio maana F35 ni pambo na specs nyingi za maabara kwa ajili ya maonyesho, kwenye battle zinakwenda F16s ,F15, na F18 hornet...
We jiulize kwanini?
Interceptor za mifumo kama Thaad n.k zina cost miliions of dollars, US wana pesa hawashindwi kuzitoa sadaka F35 hata tano tu kupima uwezo wake kwenye real battle Iran au Ukraine.... Uone wajanja watakavyo zipopoa kama maembe...
Itakuwa ni kituko cha karne na aibu 🤣
Iran hao walishashusha Rq sentinel ambayo nayo ilikuwa hyped eti oohh ilisaidia kwenye intel kumtafuta Osama na kum track, oooh ni stealth haionekani na radar...
Mwisho wake ni aibu...
Weka link ya hiyo taarifa yako kuwa f35 zilionekana mamia ya kilomita kwenye radaHii habari si ya kweli.
Israel F35 zilionwa na radar za Iran mamia ya kilomita kabla hata ya kuingia anga la Iran, jambo ambaloli liliwashangaza jeshi la Israel, mifumo ya anga ya Israel ili lock targets f35, wangeingia tu kwenye space hizo ndege zingepigwa zote...
Kitu hicho wachambuzi na wafuatiliaji wanasema ilipelekea ndege hizo za Israel kuachia missiles kabla ya kufika eneo husika (prematurely) hivyo pilots wali abort mission kushambulia na kurudi walikotoka, ndio maana kila medias na sources mbali mbali wanasema casualties zilikuwa ndogo sana... Jets zaidi 100 lakini hakuna walichofanya... Hizo ni habari ambazo ni unverified...
Anga la middle east sio sehemu ya Israel kujimwambafy na air superiority...
Sababu wamesema wanazuia tech yakeF22 usa hauzi na hajawahi kumuuzia yoyote sio mbovu bali hizo ndege hauzi ametoa valiant 1 kwa kwa ajili ya usa tofauti na f35 ambazo zipo valiant z
Sababu gani
Imeaibika pale israhell dhidi ya kifinyo tokea IranTHAAD imeabika wapi?....hebu punguza mihemko
Punguza chuki....na wivu ungekuwa wa kike ungekuwa na watoto wengi sanaImeaibika pale israhell dhidi ya kifinyo tokea Iran