4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
kichwan zimo kwel ? jamaa hapo yupo sahihi ila ww unaelezea ukoloni na sio muunganoHakuna muungano we hivyo. Muungo means that one must loose
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kichwan zimo kwel ? jamaa hapo yupo sahihi ila ww unaelezea ukoloni na sio muunganoHakuna muungano we hivyo. Muungo means that one must loose
Ukiona jirani yako ni mwenye shari shari ni bora ujitenge nayeChina kwa gharama yoyote wanataka kukinyakua taiwani na marekani inashupaza shingo mana inajua pale ndo naval base ya kuishambulia china.
Kisiwa cha Pemba kiko karibu zaidi na Mombasa !Inaeleweka wazi kukaribiana au kupakana na kisiwa ni hatari kwa security ya nchi ndo mana nyerer aliona mbali na kukinyakua. Sasa akina lisu wenye akili finyu hilo hawalioni na wengine wenye fikra mgando.
China kwa gharama yoyote wanataka kukinyakua taiwani na marekani inashupaza shingo mana inajua pale ndo naval base ya kuishambulia china.
Unajua hayo mambo ni utashi na mitazamo ya mtu tu hali ya matishio kwa sasa hayana mambo ya visiwani au wapi, na ndiyo maana nchi mbalimbali zimejikita zaidi katika mapambano ya matishio yanayoendelea. Yote hiyo kwasababu ugomvi wa nchi kwa nchi imepungua.as if bara hakuna magaidi? ingia kwenye system, au uliza mtu yeyote aliyepo kwenye system atakuambia, bara kuna magaidi wengi ajabu. na kama kuamin kwamba walipo waislam kuna ugaidi (jambo ambalo sio) mbona bara kuna waislam wengi kuliko raia wote wa zanzibar? shehe ponda huyo unayemwona ana watu wengi sana magaidi. wapo na wanaachwa tu.
Machadema ni mbumbumbuInaeleweka wazi kukaribiana au kupakana na kisiwa ni hatari kwa security ya nchi ndo mana nyerer aliona mbali na kukinyakua. Sasa akina lisu wenye akili finyu hilo hawalioni na wengine wenye fikra mgando.
China kwa gharama yoyote wanataka kukinyakua taiwani na marekani inashupaza shingo mana inajua pale ndo naval base ya kuishambulia china.
Dogo, una mawazo mgando sana. Hilo unalosema lilikuwa sahihi miaka ya 1970's huko.Inaeleweka wazi kukaribiana au kupakana na kisiwa ni hatari kwa security ya nchi ndo mana nyerer aliona mbali na kukinyakua. Sasa akina lisu wenye akili finyu hilo hawalioni na wengine wenye fikra mgando.
China kwa gharama yoyote wanataka kukinyakua taiwani na marekani inashupaza shingo mana inajua pale ndo naval base ya kuishambulia china.
nyakati hizi kila kitu kinafanyika kwa uwazi, hakuna miaka ile ya nyuma kwamba watu fulani tu ndio wana privilege ya kujua mambo. huwezi kuniambia leo, faida tunayoipata kwa zanji iwe ya kiusalama au la inajulikana na wachache na watanzania walio wengi hawatakiwi kuipata, nadhani viongozi wajue dunia imebadilika. miaka ile ya kikundi cha watu ku-run nchi imepitwa na wakati, siku hizi wananchi ndio wanarun nchi, na kwa mujibu wa sheria. mambo ya kificho hayo ndio yamekuwa uchochoro wa kupiga pesa miaka yote.Siyo kila kitu huzungumzwana siyo kila kinachoandikwa au kuzungumzwa hufanyika hivyo. Matendo yanayofanywa kwa akili ndiyo muhimu.
Kama kuna utashi wa kisiasa, hakutakuwepo kero wala chokochoko za Muungano (Tuliwahi kuwa na serikali moja kwa katiba 2).
Wenye akili nzuri wataelewa.
Dogo dhahabu kule migodini inaondoka kwa ndege maalum kwenda ulaya, kwa ruksa yetu wenyewe na ulinzi juuInaeleweka wazi kukaribiana au kupakana na kisiwa ni hatari kwa security ya nchi ndo mana nyerer aliona mbali na kukinyakua. Sasa akina lisu wenye akili finyu hilo hawalioni na wengine wenye fikra mgando.
China kwa gharama yoyote wanataka kukinyakua taiwani na marekani inashupaza shingo mana inajua pale ndo naval base ya kuishambulia china.
Kwa nini waje wakushambulie wakati wewe unaweza kuwapa kila kitu wanachotaka bila wao kurusha hata mkuki? Kwani wametumia mabomu mangapi kuipata Loliondo au bandari zenu?Inaeleweka wazi kukaribiana au kupakana na kisiwa ni hatari kwa security ya nchi ndo mana nyerer aliona mbali na kukinyakua. Sasa akina lisu wenye akili finyu hilo hawalioni na wengine wenye fikra mgando.
China kwa gharama yoyote wanataka kukinyakua taiwani na marekani inashupaza shingo mana inajua pale ndo naval base ya kuishambulia china.
Hakuna Siri, akili nzuri hufanya watu wote waridhike na wale wote wenye kusumbua wanajikuta wamedhibitiwa.nyakati hizi kila kitu kinafanyika kwa uwazi, hakuna miaka ile ya nyuma kwamba watu fulani tu ndio wana privilege ya kujua mambo. huwezi kuniambia leo, faida tunayoipata kwa zanji iwe ya kiusalama au la inajulikana na wachache na watanzania walio wengi hawatakiwi kuipata, nadhani viongozi wajue dunia imebadilika. miaka ile ya kikundi cha watu ku-run nchi imepitwa na wakati, siku hizi wananchi ndio wanarun nchi, na kwa mujibu wa sheria. mambo ya kificho hayo ndio yamekuwa uchochoro wa kupiga pesa miaka yote.
nikiwauliza watu, deni la bilioni mia na ushee la umeme zanzibar walitakiwa kulipa TANESCO kipindi kile cha magufuli, lililipwa au walisamehewa? na kwanini? ccm wamechukua muungano kwamba ni mwiko watu kuujadili ama la utapotezwa, wamejenga hofu halafu kupitiamo wanapiga pesa na hawataki watu wauzungumzie, ni jambo gani la ulinzi ambalo raia mwenye akili haweizi kulijua?nini tusichojua, ni siri kama ya mganga? mshindwe kwa JIna la Yesu.
anayedhibiti watu ni Mungu, wewe mwanadamu ukijifanya unazibiti wenzako wanaoleta hoja za maana na wewe huna hoja, utaishia kuwa kama gadafi tu, alilisha watu na kutoa pesa akifikiri wanampenda, ila kwa kitendo cha kuwanyima uhuru siku walipoungana alikamatwa kwenye mtaro wa mavi. jueni hilo kuanzia sasa, ukitaka kujua hayo yapo mioyoni mwa watanganyika wengi, angalieni namna wanavyofurahia tundu lisu anachokisema, manake kuna siku wakipat anafasi ya kuingia mtaaani pakitokea nafasi wataingia kwa wingi sana. dawa yake ni kutoa majibu ya uwazi na yanayojibu hoja, sio kuleta ubabe. unajifanya mbabe kwanini? nani umemmiliki nchi hii? au unamiliki wanadamu ndugu?Hakuna Siri, akili nzuri hufanya watu wote waridhike na wale wote wenye kusumbua wanajikuta wamedhibitiwa.
Jifunze kujibu hoja fala wewe. Tunataka muungano wenye nchi moja na rais mmoja na serikali moja, Zanzibar iwe mkoa. Hatutaki muungano wa kitapeli kama huuKwani china ni ya kizamani eti
Anafikiria vita za sasa watu wanabeba migobore wanakuja mpakani kwao 😅😅🙏🙏 !Dogo, una mawazo mgando sana. Hilo unalosema lilikuwa sahihi miaka ya 1970's huko.
Kwa teknolojia ya sasa hivi adui anaweza kuwa Djibouti, Comoro, Madagascar, au baharini tu na manowari yake akashambulia na kusambaratisha Dodoma kirahisi tu
Ni ajabu na kweli !Dogo dhahabu kule migodini inaondoka kwa ndege maalum kwenda ulaya, kwa ruksa yetu wenyewe na ulinzi juu
Sasa ulinzi kutokea visiwani zenji una faida Gani kama tunajiibia wenyewe
Msikae mnalalamika kwamba mnanyonywa na Kizimkazi ! 🙄😳 🙏😅Wanaoleta chokochoko kwenye Muungano, Uhuru unawalevya
Niwakumbushe tu Hongkong na Macau ni special administration regions za China, Wazanzibar msijisahau kuwa na ninyi ni Special administration region ya Tanzania/Tanganyika. Serikali ya Zanzibar is simply a ceremonial goverment, without any power. Kama ilivyo kwa Hongkong na Macau Wachina...www.jamiiforums.com
Zanzibar ni eneo halali za Tanzania/Tanganyika hatutaliachia