Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,254
Hii Dunia Viumbe Vyake Vya hovyo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutozaa kunazuia vipi hizo mikasa au kuzaa kuna uhusiano gani na hayo matokeo ulotajaMagharibi wakiongizwa na US wapo mtegoni!
Ni majira mapya ulimwengu utapitia.Be prepared katika nyakati mpya.
Usizae zae tu watoto wengi, kuna mikasa mbele ya kidunia.
Hao wanaotetea wafiraji ndio mashetani Mara 2Putin ni shetani kabisa
Marekani yeye pesa wamechukua pesa zote za wa Russian imagineHapo ni kumchanganya Mmarekani tu.
Wewe Russia Sasa Hivi hawana banks pesa zote USA wamechukua na uk .Imagine unaamka asubuhi pesa yote bank huna utakula nini na Russia huwezi kutuma pesa wala kuingia usa wamewabana Russia kiuchumiKutozaa kunazuia vipi hizo mikasa au kuzaa kuna uhusiano gani na hayo matokeo ulotaja
Kwa hiyo ukiwa hujazaa itakusaidia vipi USA na UK wakichukua hela zako?Wewe Russia Sasa Hivi hawana banks pesa zote USA wamechukua na uk .Imagine unaamka asubuhi pesa yote bank huna utakula nini na Russia huwezi kutuma pesa wala kuingia usa wamewabana Russia kiuchumi
Naunga mkono hojaWatanzania Ni muda wetu wa kua superpower
Msimu huu wa mvua,
Tulime Sana tuwauzie Chakula kipind Cha vita
Wao ni malaikaWaliomuua sadam au gadaf wao nan?
USA own 95 percent world bank huwezi kuchukua pesa zao . Actually wanafikiri a kutoa urusi from global economy .Boris johnson is in it means Russians won’t be able to do do any transaction remember USA own internetKwa hiyo ukiwa hujazaa itakusaidia vipi USA na UK wakichukua hela zako?
Hapo ni kumchanganya Mmarekani tu.
Na hapo ndipo MTU mwenye akili Israel alipokaa katika mhimili yote ya USA kuna waisrael nawaza Kwa saut sijui wanapanga mpango gani Hawa jamaa USAUSA own 95 percent world bank huwezi kuchukua pesa zao . Actually wanafikiri a kutoa urusi from global economy .Boris johnson is in it means Russians won’t be able to do do any transaction remember USA own internet
Ujakaa sawa mara Kenya wanachukua Kilimanjaro.Mara Uganda nao wanachukua mingingo hujaka sawa Somalia anachukua pwani ya lamu ile unatafakari Malawi nae anaweka mawe ya mpaka ipinda unawaza ufanyaje Zenji anavunja muungano duh!
Kwangu naona nchi maskini sasa zinaenda kuimarika uchumi wao kama watakuwa focused.Nchi Masikini Zinaenda Kupitia Katika Hali Ngumu Zaidi Ya Kiuchumi.
Na hapo ndipo MTU mwenye akili Israel alipokaa katika mhimili yote ya USA kuna waisrael nawaza Kwa saut sijui wanapanga mpango gani Hawa jamaa USA
Wasfrika wamechukua madeni kutoka kwa Chima so much .Chinese owmKwangu naona nchi maskini sasa zinaenda kuimarika uchumi wao kama watakuwa focused.U
Trump alisema NATO na UN are useless .Wapo wapi Yaani Putin ame piga bomu hospitali ya watoto .Hapo kabla ya kuijadili urusi juu ya uvamizi wa ukrain,kwanza NATO wajadili kwanza chokochoko hizi za china kwa Taiwan. Yaani NATO imekuwa sigara ya nyota putin anavuta mbele na nyuna.
Uchumi mkuu,unachukulia poa najua lakini " Balance of trade" sisi dunia ya tatu" tunaitwa hivo" tuna import zaidi tens sana n.kKutozaa kunazuia vipi hizo mikasa au kuzaa kuna uhusiano gani na hayo matokeo ulotaja