China Wapeleka ndege za Jeshi kwenye anga ya Taiwan

China Wapeleka ndege za Jeshi kwenye anga ya Taiwan

Uchumi mkuu,unachukulia poa najua lakini " Balance of trade" sisi dunia ya tatu" tunaitwa hivo" tuna import zaidi tens sana n.k

Kwa rika langu watoto ni wadogo mama umri umeenda, ndio maana nawaza,nitakimbia nao wapi hawa wote!!! Nimgekua mwenyewe ,ha haha liwalo na liwe in the mid of 30's nna nguvu na mbinu ila sasa watoto wangu duh kuamsha nao.

Uliza RAIA wa Goma Congo,Rwanda ,Burundi utajua uchungu wa kupoteza ndugu na marafiki
Sawa najua uchungu wa kupoteza ndugu na watoto, so kutokana na huo uchungu ni bora tuache kuzaa? Hata usipozaa ndugu yako yoyte atakutia tu uchungu likitokea lakutokea, huwezi acha kuzaa kwa hofu ineza tokea vita ndugu yangu, kifo kipo tu hata nje ya vita utakufa. Hivo ni lazima tu tuzaane
 
Weka link nimegoogle sijaona hiyo taarifa
Mkuu mleta mada kakosea, ni ndegevita 9 za China ndio zimeingia anga la Taiwan. Link ya habari hii hapa chini.


SmartSelect_20220225-150841_Chrome.jpg
 
Wewe Russia Sasa Hivi hawana banks pesa zote USA wamechukua na uk .Imagine unaamka asubuhi pesa yote bank huna utakula nini na Russia huwezi kutuma pesa wala kuingia usa wamewabana Russia kiuchumi
Hao warusi mbona wanachapa tu pesa za dola ya usa na paund na kuzitumia sokoni
 
China kama hajapata somo kutoka Russia zidi ya Ukraine basi na yeye ajiandae kudhalilika.
 
Hii balaa, Nothern Korea naye karusha kombola kwenye bahari ya Southern Korea. Huu mtego anayetafutwa ni USA na wenzake. Uzuri hizi Nuclear warhead ziko kalikuletedi watwangane

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kwangu naona nchi maskini sasa zinaenda kuimarika uchumi wao kama watakuwa focused.
Nchi hizi za kiafrika hazijawahi kuwaza kujitegemea nje na misaada, yaani hatuoni fursa kwenye hili ila tunaona wafadhili wetu hawatakuwepo. Upuuuzi kabisa. Ujinga na ulimbukeni wa kupitiliza

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
China hawana ubavu wa vita..twenyewe tujsnhajanja tu...hayo mambo wamuachie mrusi...kama mbwai mbwai tu
 
Back
Top Bottom