China yaanza mazoezi ya kijeshi karibu na Taiwan

China yaanza mazoezi ya kijeshi karibu na Taiwan

Muda huu tayar jamaa wanaishambulia Taiwan kutokea mashariki mwa nchi hiyo zipo video mtandaoni vimechukuliwa na wataiwani wenyew kuonyesha missiles za China zikishambulia
Wanajeshi wa china wapo baharini wanakata mauno feni kama akina agrey na kurusha vimissile vyao baharini huku wakisonya na vidole juu wakati bibi nancy yupo hawakuthubutu kurusha hata unywele.
 
Kwa wale tuliosoma 'Things fall apart' by Chinua Achebe, sasa ndio tupo pale 'egwugwus' wamelizunguuka kanisa na kucheza ngoma usiku kucha na kisha kulichoma moto hilo kanisa!
... yafuatayo tununue popcorn!

😅
 
Hakuna Vita hapo.

Marekani wanafuatilia kila hatua ya mazoezi hayo na wameshatuma ndege Yao ya upelelezi RC-135 ipo eneo hilo inafatilia kila kitu
 
Watoto wadogo Taiwan nao eti wanajitutumua ngoja tuone itakuwaje!
Nalog off Z
 
Hakuna Vita hapo.

Marekani wanafuatilia kila hatua ya mazoezi hayo na wameshatuma ndege Yao ya upelelezi RC-135 ipo eneo hilo inafatilia kila kitu
Ona kinachowatokea Ukraine sasa hivi, marekani ni hypocrisy mmoja tu asiyeaminika tena.
Wewe unaandika hivi huko taiwan wenzako wapo tumbo joto sababu china anazidi kupitisha ndege jeshi katikati ta taiwan.
 
Ona kinachowatokea Ukraine sasa hivi, marekani ni hypocrisy mmoja tu asiyeaminika tena.
Wewe unaandika hivi huko taiwan wenzako wapo tumbo joto sababu china anazidi kupitisha ndege jeshi katikati ta taiwan.
Kurusha ndege tu? Muache arushe ndege, China haibebi Taiwan.
 
Ona kinachowatokea Ukraine sasa hivi, marekani ni hypocrisy mmoja tu asiyeaminika tena.
Wewe unaandika hivi huko taiwan wenzako wapo tumbo joto sababu china anazidi kupitisha ndege jeshi katikati ta taiwan.
Taiwan na Ukraine ni vitu viwili tofauti. Sidhani kama Marekani walikua na Sera ya kuilinda Ukraine endapo itavamiwa na nchi nyingine pia hata kijeshi Taiwan yupo vizuri ana zana nzuri za West huwez fananisha na Ukraine alikua na silaha za enzi ya Usovieti mpaka nchi za magharibi zilizopoanza kupeleka silaha za kisasa kama HIMARS mashambulizi ya Urusi yamepungua hata Ile Kasi ya kuteka miji imepungua
 
Taiwan na Ukraine ni vitu viwili tofauti. Sidhani kama Marekani walikua na Sera ya kuilinda Ukraine endapo itavamiwa na nchi nyingine pia hata kijeshi Taiwan yupo vizuri ana zana nzuri za West huwez fananisha na Ukraine alikua na silaha za enzi ya Usovieti mpaka nchi za magharibi zilizopoanza kupeleka silaha za kisasa kama HIMARS mashambulizi ya Urusi yamepungua hata Ile Kasi ya kuteka miji imepungua
Waombe radhi US. Javeline, HIMARS n.k zote ni silaha za zamani. Zikipelekwa mpya amini kuwa Russia hapatakalika.
 
Macho ya America yapo pale,ikirushwa hata gurunet moja,ikaingia Taiwan,aisee hayo ma HIMMARS,mbona Mchina atalia,yeye amuache Urusi apigane tu kule,asiombee yamkute nayeye.
Wakati mwingine tujifunze kuweka akiba ya maneno - kwani unafikiri Wachina na Warusi hawana GPS/GLONNAS guided rockets/shells Systems a.k.a. HIMARS ambazo ni bora zaidi kuliko hizo za Wamerikani au Uingereza. Mfano: ya Warusi inajulikana kama Tornado 9A52-4 ina lenga kwa shabaha zaidi (bull's eye), inabeba mara mbili idadi ya roketi zinazo bebwa na HIMARS, na range yake vile vile ni mara mbili na kikubwa zaidi Warusi hata Wachina wanazo maelfu ya silaha hizo na sio za kuokoteza kuokoteza kama za Zelensky.

Nilisha wambia kwamba mwanzoni mwa 1950s jeshi la Wachina waliwahi kupigana vikali na Jeshi la Merikani mpaka jeshi la Merikani wakarudishwa nyuma kutoka mji wa Pyongyang Korea kaskazini mpaka 38 parallel yaani latitude ya 38 kasikazini -chukueni ramani ebu angalieni umbali uliopo kutoka Pyongyang mpaka 38 parallel ndio mtaona kwamba Wachina si watu wa mchezo mchezo.

Mpaka sasa ni karibu miaka sabini imekwisha pita tangu vita isitishwe na umoja wa Mataifa, that was then,je,mnafikiri hivi sasa Uchina hipo umbali gani kwenye masuala ya silaha za maangamizi zinazo bebwa na land-based and submarine based ICBM, kumbuka Wachina walilipua bom lao la kwanza type ya thermonuclear mwaka 1960,siku hizi wanaunda ndege za kivita (jet fighters) ambazo hata jeshi la Amerika limekiri kwamba baadhi ya ndege hizo zinazidi za Kimerikani kiufundi na kwa kasi - hayo si maneno yangu tafuteni kwenye reliable mtapata.

Bottom line is: msipende pende kubeza beza mataifa shindani na USA kijeshi mkafikiri yatakuwa ni walkover in case jeshi la Merikani likihamua kuzishambulia kijeshi - Uchina ya leo sio ya mwaka wa 1947 mambo yamekwisha badirika sana Diniani, kwa bahati mbaya Uncle SAM haonekani kulitambua hilo, bado ana-wallow kwenye cold war mentality - sina shaka safari hii matokeo ya vita huko Ukraine ndio yatamzidua kutoka kwenye usingizi wa pono baada kupoteza taxpayer's money pamoja na silaha lukuki akijaribu kumsaidia Zelensky na jeshi lake wasizame.
 
Macho ya America yapo pale,ikirushwa hata gurunet moja,ikaingia Taiwan,aisee hayo ma HIMMARS,mbona Mchina atalia,yeye amuache Urusi apigane tu kule,asiombee yamkute nayeye.
Akili zenu ndogo sana kisiwa cha taiwani kamwe akiwezi kushinda vita na china hata kama usa atapeleka askari mil2 pale watakufa kirahisi sana tofauti na ukraine ...jiografia ya kisiwa hicho ni vigumu kupigana na china ....
 
Uchina inarusha mawe ovyoovyo tu
Nalog off Z
Usa hana jeuri ya kuishinda china kwa namna yoyote hapo taiwani huo ndoyo ukweli ..anaye bisha ....mtanikumbukq kama china ikiamua kupiga kwa kuichukua taiwani mtashangaa .
 
Back
Top Bottom