Eneo la taiwani ni dogo sana kupambana na nguvu za china siyo kama ukrain pale taiwani hata kungekuwa na askari wa marekani mi2 awawezi kamwe kuishinda china ...kuhusu uchumi ..kwenye vita mambo ya 8chumi haya angaliwi ikiwa uwanja wa vita ni hizo nchi zinazo pigana ...mfano Russia ikipigana na Marekani vita vya nchi kwa nchi uwezi kusema mambo ya uchumi na viwanda maana vyote vinapigwa mabomu hadi mabenki nkTaiwan sio mtoto. Taiwan kamuacha mbali sana Ukraine kiuchumi, technology,jeshi, etc,etc
Marekani hii inakiri silaha za Hitler zilikuwa bora sana kuliko zao ila wao ndo walishinda vitaWakati mwingine tujifunze kuweka akiba ya maneno - kwani unafikiri Wachina na Warusi hawana GPS/GLONNAS guided rockets/shells Systems a.k.a. HIMARS ambazo ni bora zaidi kuliko hizo za Wamerikani au Uingereza. Mfano: ya Warusi inajulikana kama Tornado 9A52-4 ina lenga kwa shabaha zaidi (bull's eye), inabeba mara mbili idadi ya roketi zinazo bebwa na HIMARS, na range yake vile vile ni mara mbili na kikubwa zaidi Warusi hata Wachina wanazo maelfu ya silaha hizo na sio za kuokoteza kuokoteza kama za Zelensky.
Nilisha wambia kwamba mwanzoni mwa 1950s jeshi la Wachina waliwahi kupigana vikali na Jeshi la Merikani mpaka jeshi la Merikani wakarudishwa nyuma kutoka mji wa Pyongyang Korea kaskazini mpaka 38 parallel yaani latitude ya 38 kasikazini -chukueni ramani ebu angalieni umbali uliopo kutoka Pyongyang mpaka 38 parallel ndio mtaona kwamba Wachina si watu wa mchezo mchezo.
Mpaka sasa ni karibu miaka sabini imekwisha pita tangu vita isitishwe na umoja wa Mataifa, that was then,je,mnafikiri hivi sasa Uchina hipo umbali gani kwenye masuala ya silaha za maangamizi zinazo bebwa na land-based and submarine based ICBM, kumbuka Wachina walilipua bom lao la kwanza type ya thermonuclear mwaka 1960,siku hizi wanaunda ndege za kivita (jet fighters) ambazo hata jeshi la Amerika limekiri kwamba baadhi ya ndege hizo zinazidi za Kimerikani kiufundi na kwa kasi - hayo si maneno yangu tafuteni kwenye reliable mtapata.
Bottom line is: msipende pende kubeza beza mataifa shindani na USA kijeshi mkafikiri yatakuwa ni walkover in case jeshi la Merikani likihamua kuzishambulia kijeshi - Uchina ya leo sio ya mwaka wa 1947 mambo yamekwisha badirika sana Diniani, kwa bahati mbaya Uncle SAM haonekani kulitambua hilo, bado ana-wallow kwenye cold war mentality - sina shaka safari hii matokeo ya vita huko Ukraine ndio yatamzidua kutoka kwenye usingizi wa pono baada kupoteza taxpayer's money pamoja na silaha lukuki akijaribu kumsaidia Zelensky na jeshi lake wasizame.
Ona kinachomtokea mvamizi Russia kule Ukraine.Ona kinachowatokea Ukraine sasa hivi, marekani ni hypocrisy mmoja tu asiyeaminika tena.
Wewe unaandika hivi huko taiwan wenzako wapo tumbo joto sababu china anazidi kupitisha ndege jeshi katikati ta taiwan.
Vipi wewe unavyopenda kuibeza marekani, afu unajiona uko sahihi ila wanaobeza hao uwapendao ndo hawako sahihi.Wakati mwingine tujifunze kuweka akiba ya maneno - kwani unafikiri Wachina na Warusi hawana GPS/GLONNAS guided rockets/shells Systems a.k.a. HIMARS ambazo ni bora zaidi kuliko hizo za Wamerikani au Uingereza. Mfano: ya Warusi inajulikana kama Tornado 9A52-4 ina lenga kwa shabaha zaidi (bull's eye), inabeba mara mbili idadi ya roketi zinazo bebwa na HIMARS, na range yake vile vile ni mara mbili na kikubwa zaidi Warusi hata Wachina wanazo maelfu ya silaha hizo na sio za kuokoteza kuokoteza kama za Zelensky.
Nilisha wambia kwamba mwanzoni mwa 1950s jeshi la Wachina waliwahi kupigana vikali na Jeshi la Merikani mpaka jeshi la Merikani wakarudishwa nyuma kutoka mji wa Pyongyang Korea kaskazini mpaka 38 parallel yaani latitude ya 38 kasikazini -chukueni ramani ebu angalieni umbali uliopo kutoka Pyongyang mpaka 38 parallel ndio mtaona kwamba Wachina si watu wa mchezo mchezo.
Mpaka sasa ni karibu miaka sabini imekwisha pita tangu vita isitishwe na umoja wa Mataifa, that was then,je,mnafikiri hivi sasa Uchina hipo umbali gani kwenye masuala ya silaha za maangamizi zinazo bebwa na land-based and submarine based ICBM, kumbuka Wachina walilipua bom lao la kwanza type ya thermonuclear mwaka 1960,siku hizi wanaunda ndege za kivita (jet fighters) ambazo hata jeshi la Amerika limekiri kwamba baadhi ya ndege hizo zinazidi za Kimerikani kiufundi na kwa kasi - hayo si maneno yangu tafuteni kwenye reliable mtapata.
Bottom line is: msipende pende kubeza beza mataifa shindani na USA kijeshi mkafikiri yatakuwa ni walkover in case jeshi la Merikani likihamua kuzishambulia kijeshi - Uchina ya leo sio ya mwaka wa 1947 mambo yamekwisha badirika sana Diniani, kwa bahati mbaya Uncle SAM haonekani kulitambua hilo, bado ana-wallow kwenye cold war mentality - sina shaka safari hii matokeo ya vita huko Ukraine ndio yatamzidua kutoka kwenye usingizi wa pono baada kupoteza taxpayer's money pamoja na silaha lukuki akijaribu kumsaidia Zelensky na jeshi lake wasizame.
Vita sio baikoko. Urusi walifika just few kilometres from Kyiv ila walikwama . Hii vita inapigwa mbungi ya maana aiseeHii style ya China inanikumbusha wakati RUSSIA anajitayarisha kuivamia UKRAINE alipanga zana zake za kivita hatari kabisa kwenye border ya UKRAINE zikiwa na urefu mkubwa hakika ile aggressive aliye ionyesha mwanzo DUNIA nzima ilijua within few days UKRAINE itakuwa chini ya RUSSIA leo ni mwezi wa August ana hangaika toka vita ianze mwezi FEBRUARY ukiwachilia mbali na support aliye kuwa nayo kule kwenye majimbo ya DONBASE na LUHANSK lkn ngoma nzito hadi leo .
Sija ibeza Merikani, nataka members to know the other side of the story ambazo niza kweli - nimeona kuna baadhi ya watu wanakasirika kweli kweli mpaka wanafikia hatua ya kutumia lugha chafu/kutukana watu,kisa? Umeigusa their omnipotent and omnipresent NATION - ni hilo tu na wala hawana hoja mbadala zaidi ya matusi tu na majibu ya mkato - yaani badala ya jukwaa kutumika kuelimishana na kubadirishana mawazo linageuzwa kuwa jukwaa la mipasho kama taabaru za Khadija Kopa - tofauti kabisa na jamiiforums ya zamani ambayo watu walikuwa wana heshimiana, we mtu ambaye wala hakujui anakwambia eti unavuta bang!! Akili gani hizi?? Cha kushangaza wasimamizi wa JF they don't take any punitive action to contain tabia hii ambayo imeanza kuota mizizi, so sad.Vipi wewe unavyopenda kuibeza marekani, afu unajiona uko sahihi ila wanaobeza hao uwapendao ndo hawako sahihi.
Wewe umekuwa kinara wa kuhamasisha uvamizi wa urusi dhidi ya Ukraine..,unafikia hatua kutoa ushauri kwa vikosi vya Putin kufanya haraka sana kuipindua serikali Halali ya rais zelensiky huko Ukraine..,unashangilia mauaji haramu yanayofanywa na vikosi vya Putin ukidhani wanamkomoa rais zelensiky [emoji848] alafu unategemea watu watumie lugha ya staha dhidi yako?????Sija ibeza Merikani, nataka members to know the other side of the story ambazo niza kweli - nimeona kuna baadhi ya watu wanakasirika kweli kweli mpaka wanafikia hatua ya kutumia lugha chafu/kutukana watu,kisa? Umeigusa their omnipotent and omnipresent NATION - ni hilo tu na wala hawana hoja mbadala zaidi ya matusi tu na majibu ya mkato - yaani badala ya jukwaa kutumika kuelimishana na kubadirishana mawazo linageuzwa kuwa jukwaa la mipasho kama taabaru za Khadija Kopa - tofauti kabisa na jamiiforums ya zamani ambayo watu walikuwa wana heshimiana, we mtu ambaye wala hakujui anakwambia eti unavuta bang!! Akili gani hizi?? Cha kushangaza wasimamizi wa JF they don't take any punitive action to contain tabia hii ambayo imeanza kuota mizizi, so sad.
Hata wewe na wenzio huwa mnaelezea na kusifu tu uwezo wa China na Russia, Sasa hao unaowalaumu nao wanapost uwezo uliotukuka wa US ili nyie mjue upande mwingine wa story.Sija ibeza Merikani, nataka members to know the other side of the story ambazo niza kweli - nimeona kuna baadhi ya watu wanakasirika kweli kweli mpaka wanafikia hatua ya kutumia lugha chafu/kutukana watu,kisa? Umeigusa their omnipotent and omnipresent NATION - ni hilo tu na wala hawana hoja mbadala zaidi ya matusi tu na majibu ya mkato - yaani badala ya jukwaa kutumika kuelimishana na kubadirishana mawazo linageuzwa kuwa jukwaa la mipasho kama taabaru za Khadija Kopa - tofauti kabisa na jamiiforums ya zamani ambayo watu walikuwa wana heshimiana, we mtu ambaye wala hakujui anakwambia eti unavuta bang!! Akili gani hizi?? Cha kushangaza wasimamizi wa JF they don't take any punitive action to contain tabia hii ambayo imeanza kuota mizizi, so sad.
Hakuna kitu kama hicho labda anashambulia GobaTayar china wameshashambulia East of Taiwan ngoja tuone hizo HIMMARS
I think china should end taiwan drama by this time taking the island. No legal problems at all as the highest jurisprudence bodies in this world the united nations especialy recognise taiwan as a renegade province of china. Taiwan generals should help the island avoid distruction from war caused just by greed of politicians representing western interests.China has begun large-scale military sea and air exercises around the self-ruled island of Taiwan, hours after US House Speaker Nancy Pelosi’s departure from Taipei.
State media reported the live-fire drills in six areas around Taiwan got underway at noon local time (04:00 GMT) and will continue until the same time on August 7.View attachment 2313755
Unaibeza HIMARS zimeletwa 8 Tu Ukraine zimebadiri upepo umesema mrusi anazo HIMARS zake zinaitwa tornado mbona hatuzioni? Pamoja na misifa kedekede uzoipa hiyo tornado mbona Russia kakwama Kwa HIMARS za USA ?....Acha mahaba HIMARS za USA zimeleta mageuzi kwenye Vita ya Ukraine wewe bishana Russia wanalijua Hilo ndio maana wamepoa...Sija ibeza Merikani, nataka members to know the other side of the story ambazo niza kweli - nimeona kuna baadhi ya watu wanakasirika kweli kweli mpaka wanafikia hatua ya kutumia lugha chafu/kutukana watu,kisa? Umeigusa their omnipotent and omnipresent NATION - ni hilo tu na wala hawana hoja mbadala zaidi ya matusi tu na majibu ya mkato - yaani badala ya jukwaa kutumika kuelimishana na kubadirishana mawazo linageuzwa kuwa jukwaa la mipasho kama taabaru za Khadija Kopa - tofauti kabisa na jamiiforums ya zamani ambayo watu walikuwa wana heshimiana, we mtu ambaye wala hakujui anakwambia eti unavuta bang!! Akili gani hizi?? Cha kushangaza wasimamizi wa JF they don't take any punitive action to contain tabia hii ambayo imeanza kuota mizizi, so sad.
We jamaa natamani nijue jinsia yako maana Una chuki za kike sana unaichukia Sana USA Naona jamaa hapo juu kataja HIMARS wewe umekuja na maelezo mareefu kuonyesha China pia inayo hizo HIMARS kama za USA ila zake ni Bora Sana....Wakati mwingine tujifunze kuweka akiba ya maneno - kwani unafikiri Wachina na Warusi hawana GPS/GLONNAS guided rockets/shells Systems a.k.a. HIMARS ambazo ni bora zaidi kuliko hizo za Wamerikani au Uingereza. Mfano: ya Warusi inajulikana kama Tornado 9A52-4 ina lenga kwa shabaha zaidi (bull's eye), inabeba mara mbili idadi ya roketi zinazo bebwa na HIMARS, na range yake vile vile ni mara mbili na kikubwa zaidi Warusi hata Wachina wanazo maelfu ya silaha hizo na sio za kuokoteza kuokoteza kama za Zelensky.
Nilisha wambia kwamba mwanzoni mwa 1950s jeshi la Wachina waliwahi kupigana vikali na Jeshi la Merikani mpaka jeshi la Merikani wakarudishwa nyuma kutoka mji wa Pyongyang Korea kaskazini mpaka 38 parallel yaani latitude ya 38 kasikazini -chukueni ramani ebu angalieni umbali uliopo kutoka Pyongyang mpaka 38 parallel ndio mtaona kwamba Wachina si watu wa mchezo mchezo.
Mpaka sasa ni karibu miaka sabini imekwisha pita tangu vita isitishwe na umoja wa Mataifa, that was then,je,mnafikiri hivi sasa Uchina hipo umbali gani kwenye masuala ya silaha za maangamizi zinazo bebwa na land-based and submarine based ICBM, kumbuka Wachina walilipua bom lao la kwanza type ya thermonuclear mwaka 1960,siku hizi wanaunda ndege za kivita (jet fighters) ambazo hata jeshi la Amerika limekiri kwamba baadhi ya ndege hizo zinazidi za Kimerikani kiufundi na kwa kasi - hayo si maneno yangu tafuteni kwenye reliable mtapata.
Bottom line is: msipende pende kubeza beza mataifa shindani na USA kijeshi mkafikiri yatakuwa ni walkover in case jeshi la Merikani likihamua kuzishambulia kijeshi - Uchina ya leo sio ya mwaka wa 1947 mambo yamekwisha badirika sana Diniani, kwa bahati mbaya Uncle SAM haonekani kulitambua hilo, bado ana-wallow kwenye cold war mentality - sina shaka safari hii matokeo ya vita huko Ukraine ndio yatamzidua kutoka kwenye usingizi wa pono baada kupoteza taxpayer's money pamoja na silaha lukuki akijaribu kumsaidia Zelensky na jeshi lake wasizame.
Macho ya America yapo pale,ikirushwa hata gurunet moja,ikaingia Taiwan,aisee hayo ma HIMMARS,mbona Mchina atalia,yeye amuache Urusi apigane tu kule,asiombee yamkute nayeye.
Maajabu gani?? Zelensky na jeshi lake la KINAZI (Azov) linavaa mpaka beji za Hitler, limeua zaidi ya Waukraine 14,000 wenye asili ya Urusi bila sababu za msingi kosa lao eti hawakubaliani na mapinduzi yaliyo iondoa madarakani Serikali iliyo kuwa umechaguliwa ki-demokrasia na raia wa Ukraine, mapinduzi hayo yalichochewa na US mpaka wabunge wa Merikani(McCaine,Nulad na engine) wakawa wanafunga safari kutoka Merikani kuja Ukraine kuchochea mapinduzi na vurugu, swali ni,je,Wabunge wa Urusi au Uchina wanaweza kudiriki kuingia Merikani na kuchochea vurugu??Wewe umekuwa kinara wa kuhamasisha uvamizi wa urusi dhidi ya Ukraine..,unafikia hatua kutoa ushauri kwa vikosi vya Putin kufanya haraka sana kuipindua serikali Halali ya rais zelensiky huko Ukraine..,unashangilia mauaji haramu yanayofanywa na vikosi vya Putin ukidhani wanamkomoa rais zelensiky [emoji848] alafu unategemea watu watumie lugha ya staha dhidi yako?????
Hivi akinamama waliopoteza watoto wao huko Ukraine, ndugu na jamaa waliopoteza wapendwa wao ,unafikiri watatumia lugha gani dhidi yako wakiona unasapoti waziwazi kabisa unyama uliofanywa na vikosi vya Putin????
SI watakuona wewe ni shetani kabisa uliyevaa mwili wa binadamu???
Unashabikikia udhalim unaofanywa dhidi ya taifa huru alafu unategemea uheshimiwe?? Maajabu haya[emoji848]
Mkuu nadhani una tatizo kidogo la uwelewa yakinifu wa lugha ya kiingereza.Mkuu tayar umesharusha missiles za kutosha mashariki mwa Taiwan ngoja nitafute ile video niweke hapa
Tafuta pesa, hacha ushabiki maandazi kama una KAZI ya kufanya nenda kwy CRDB MarathonMkuu tayar umesharusha missiles za kutosha mashariki mwa Taiwan ngoja nitafute ile video niweke hapa
Mastory ya uongo uongo tuuu. Miaka 70 ya wapi? Wewe Acha kambaWakati mwingine tujifunze kuweka akiba ya maneno - kwani unafikiri Wachina na Warusi hawana GPS/GLONNAS guided rockets/shells Systems a.k.a. HIMARS ambazo ni bora zaidi kuliko hizo za Wamerikani au Uingereza. Mfano: ya Warusi inajulikana kama Tornado 9A52-4 ina lenga kwa shabaha zaidi (bull's eye), inabeba mara mbili idadi ya roketi zinazo bebwa na HIMARS, na range yake vile vile ni mara mbili na kikubwa zaidi Warusi hata Wachina wanazo maelfu ya silaha hizo na sio za kuokoteza kuokoteza kama za Zelensky.
Nilisha wambia kwamba mwanzoni mwa 1950s jeshi la Wachina waliwahi kupigana vikali na Jeshi la Merikani mpaka jeshi la Merikani wakarudishwa nyuma kutoka mji wa Pyongyang Korea kaskazini mpaka 38 parallel yaani latitude ya 38 kasikazini -chukueni ramani ebu angalieni umbali uliopo kutoka Pyongyang mpaka 38 parallel ndio mtaona kwamba Wachina si watu wa mchezo mchezo.
Mpaka sasa ni karibu miaka sabini imekwisha pita tangu vita isitishwe na umoja wa Mataifa, that was then,je,mnafikiri hivi sasa Uchina hipo umbali gani kwenye masuala ya silaha za maangamizi zinazo bebwa na land-based and submarine based ICBM, kumbuka Wachina walilipua bom lao la kwanza type ya thermonuclear mwaka 1960,siku hizi wanaunda ndege za kivita (jet fighters) ambazo hata jeshi la Amerika limekiri kwamba baadhi ya ndege hizo zinazidi za Kimerikani kiufundi na kwa kasi - hayo si maneno yangu tafuteni kwenye reliable mtapata.
Bottom line is: msipende pende kubeza beza mataifa shindani na USA kijeshi mkafikiri yatakuwa ni walkover in case jeshi la Merikani likihamua kuzishambulia kijeshi - Uchina ya leo sio ya mwaka wa 1947 mambo yamekwisha badirika sana Diniani, kwa bahati mbaya Uncle SAM haonekani kulitambua hilo, bado ana-wallow kwenye cold war mentality - sina shaka safari hii matokeo ya vita huko Ukraine ndio yatamzidua kutoka kwenye usingizi wa pono baada kupoteza taxpayer's money pamoja na silaha lukuki akijaribu kumsaidia Zelensky na jeshi lake wasizame.