🤣🤣🤣🤣😂Bora russia afe na heshima yake, kuliko huyu mandonga, ipo siku atakuja kushikwa makalio kabisa na kukaa kimya kisa uchumi.
Ajue kabisa marekani ni kama kifo, akikutaka hakosi sababu, wapi ZTE, wapi HUAWEI, Huu ni mfano mdogo kwao.
Marekani hana rafiki wwa kudumu wala adui wa kudumu, yeye muhimu ni maslahi yake tu.
Putin kajivika mabomu, halafu. Kamkumbatia mtu, nachomoa pinn tufe wote
Uwezekanao wa PRC kuanzisha vita na ROC sio sasa hivi na PRC wamelikwepa hilo. Ila kwa mujibu wa CIA inawezekana kutokea 2025 .Sidhani kama yapo mkuu, wengi hawaifahamu historia ya China na Taiwan
Ila nakuuliza Bwana Deng, wewe uliamini kweli kwa ziara ya Pelosi Taiwan, China ingelianzisha vita kweli?
Kuna mambo mengine ambayo China inajua kuhusu uhusiano wa Taiwan na US, hili la Pelosi naliona no dogo kwa kuanzisha vita.
Marekani kushiriki vita ya PRC na ROC kwa kupeleka jeshi hicho kitu hawezi kufanya Ila kupeleka silaha ndio atafanya lakini sio kupeleka jeshi kuwasaidia ROC kupambana na PRC.Mshana,wengi hawajui kuna makubaliano ya China na USA mwaka 1979, katika makubaliano hayo US iliondoa base yake (USTD) United States Taiwan Defense Command iliyokuwepo toka 1954,kuwa China haitaishambulia Taiwan.
Marekani ina Military base kubwa kama Kadena na iliyoko Okinawa ambayo ni kui monitor China kama kuna choko choko na Taiwan.
Na ndio maana policy ya China toka awali ilikuwa ni Peacefully Unification juu ya Taiwan.
Huku kujaribu kutunisha misuli kwa China sasa hivi kunatokana na wao kujiona sasa wana ubavu wa kijeshi, na China inajua wazi kuivamia Taiwan itakuwa inavunja makubaliano ya 1979.
Wabongo tuna ushabiki mpaka kwenye vitu visivyotuhusu.
"US VS THEM" mentality kila sehemu.
Ushabiki wa kitoto namna hii unatufanya tushindwe kujadili hali ya mambo kama ilivyo.
Inapaswa uifahamu China kwanza, kisha utaelewa jinsi gani inafanya kazi, Matumizi ya nguvu kwanza sio tabia ya China, tofauti na Marekani (Na washirika wake wa Ulaya Magharibi) ambao wao Ubeberu na matumizi ya nguvu kwa masilahi yao ndio kitu kikuu (imperialism).
China wangekuwa na mindest ya US, Africa tungetawaliwa na Wachina kwanza kabla ya wazungu. Mchina anafanya biashara tangu karne ya 13, kipindi ambacho hata karatasi bado hazijafika Ulaya.
Hio reaction ya China kuivamia Taiwan baada ya ujio wa Nancy Pelosi, ndio kItu ambacho Strategists wa US walichokitaka
Lengo wapate justification ya kupambana na China vita ya kiuchumi, ikumbukwe kuwa Mataifa yoyote yenye silaha za Nyukilia, kamwe haziwezi kuingia vitani, hii ni kwa sababu ya MAD Doctrine ( Uhakika kuwa vita yoyote kati yao, itayarudisha matifa yao na dunia nzima zama za mawe)
So namna pekee ya kupambana ni through proxy war (Mfano Russia na Marekani over ukraine) na vita ya kiuchumi kama US na washirika wake hivi karibuni walivyofanya kwa Russia na Russia alivyoitikia kwa ku cut gas supply na kuwa karibu zaidi na BRICS members haswa China.
Kama ilivyokua British Empire kabla yake Marekani inadondoka, uchumi wa marekani umening'inia juu ya kamba nyembamba sana ya "Petro dollar system" inayo mpa upendeleo marekani wa ku print pesa out of nothing na kuendelea ku fund jeshi lake, so nchi pekee inayotishia Petro dollar system ni adui yake kama China
China anaifahamu hii trick, so kafanya kile unachotegemea kwa mwenye busara kufanya.
Badala ya kuivamia Taiwan kama USA alivyotaka, (Proxy war nyingine kati ya USA na China uwanja ukiwa Taiwan) China badala yake kawaonyesha Wamarekani kuwa in case of taiwan hawatokua na uwezo wa kuchangisha pesa ya kutuma silaha kama walivyofanya kwa Ukraine, cause unlike Russia sisi tunauwezo wa kukizunguka kisiwa kizima ndani ya siku chache tu.
So huwezi kutoa au kuingiza kitu bila kuivaa PLA.
So kama USA wapo tayari kurudi karne ya 7 kisa Taiwan, that's ok.
Lete hio comment yangu?Yaan uwa mnaboa sana na uwezo wenu mkubwa wa kugeuza geuza maneno..
I'm sure mtu akidig comment zako kabla ujio wa Pelosi ndani Taiwan na unachokisema sasa ni vitu viwili tofauti.
Kwamba China haina matumizi ya mabavu!!.dah.
Then ndiye alitishia marekani asicheze na Moto, US haikusema chochote zaidi ya kusema Pelosi atatua ndani ya tawain.
Sio Marekani tu mkuu, siasa ndivyo ilivyo, inasukumwa na maslahi...Bora russia afe na heshima yake, kuliko huyu mandonga, ipo siku atakuja kushikwa makalio kabisa na kukaa kimya kisa uchumi.
Ajue kabisa marekani ni kama kifo, akikutaka hakosi sababu, wapi ZTE, wapi HUAWEI, Huu ni mfano mdogo kwao.
Marekani hana rafiki wwa kudumu wala adui wa kudumu, yeye muhimu ni maslahi yake tu.
Putin kajivika mabomu, halafu. Kamkumbatia mtu, nachomoa pinn tufe wote
Hapa hatujadili kitimu, hapa tunajadili fact. Then ikiwa wewe una timu yako weka fact mbele si timu yako.Lete hio comment yangu?
Au unahisi mimi ni team China, na wewe ni team USA so tupo vitani?
Hiko ndio nilichokisema hapo juu, Ushabiki
Ushabiki unakufanya ujibu kishabiki bila hoja.
Beijing waliweka wazi kuwa ujio wa Nancy Taiwan ni hatarishi, kwanini?
Nchi 181 kati ya 191 ikiwemo Marekani zinaitambua Taiwan kama jimbo lingine la China, so Taiwan sio Nchi na haina uhuru binafsi
Hivyo hivyo Rais Nixon, 1979 aliahidi kuienzi hii One China Policy
So kilichotokea safari hii, ni ukiukwaji wa hii sera.
Na hii inatokea katikati ya mzozo wa Russia na Ukraine
Sawa sawa aje kiongozi mkubwa kutoka falme za kiaarabu afike zanzibar bila Magogoni kupata taarifa yoyote ya ndani ukiacha "Oya kiongozi wetu anakuja Zanzibar", Lazima Magogoni watilie mashaka
Kwanini? kwasababu Zanzibar ni sehemu ya Tanzania
Wengi tulishangaa kwa Kaulit za ya China,ilikuwa ni kali sio mbali na tangazo la vita, ilishangaza wengi kuona haikufanya kama ilivyotamka.Hapa hatujadili kitimu, hapa tunajadili fact. Then ikiwa wewe una timu yako weka fact mbele si timu yako.
Fact ni kwamba China ilisema ataijibu vikali marekani endapo Pelosi akikanyaga Taiwan unachokiandika wewe hapa sio kile China iliwai kukisema.
Uwezekano wa njia soft upo acha ubishi uchumi mnono wa china ni kigezo, hata ...china inaweza kupandikiza watu wake wenye kuipenda china kama ilivyokuwa kwa ukraine kuna wakati viongozi walikuwa upande wa urussi figisu za USA zikasababisha kuja viongozi walio kinyume na urusi ...hivyo kuna mbinu nyingi sana ...kinachofanya taiwani hadi sasa kuto kurudi china ni USA tu ..na nyota ya USA inakwenda kufifia siku kwa siku na nguvu ya dola inakwenda kupotea shika haya maneno yanguKwahiyo na wewe kwa akili yako China ataichukua Taiwan kwa njia soft?
China hatoichukia Taiwan iwe kwa njia ya amani ama vita huo ndo ukweli na China anaumia mno akifikiria kwamba hana namna ya kuichukua Taiwan.
7bu ni BASHA KONGWEKwa nini US anapenda tabia ya kuwashika wanaume wenzake makalio
Iko hiviSi tuliaminishwa China ni super power now days .?
Wakati unachangia jambo usiwe unakunywa pembeni bia zenu local hizo umeandika nnChina haogopi vikwazo ....lengo la china la kwanza ni kuipata taiwani kama ilivyo na maendeleo yake na technology yake kubwa ya mambo mbalimbali ...na USA kesha jua kuwa kwa vyovyote taiwani lazima itarudi mikononi mwa china siku moja tu hivyo USA HATAKI UCHUMI WA TAIWANI NA TECHNOLOGY YAKE VIWE SEHEMU YA CHINA HIVYO ANATAKA CHINA IKICHUKUA TAIWANI ITUMIKE NJIA YA VITA KAMA UKRAINE ILI TSIWANI IGEUKE MAJIVU WAKATI CHINA KAICHUKUA .....MCHINA ANA TAMANI TAIWAN KAMA ILIVYO NA UTAJIRI WAKE SIYO MAJIVU NDIYO MAANA UNAMWONA MCHINA KUTOKUTUMIA NGUVU ZA KIJESHI KUKWEPA LENGO LA MAREKANI
Wao si taifa kubwa lenye uchumi imara unaoifikia marekani wakiwashe. Tujue nani mbabeIko hivi
Ogopa sana vita ya kiuchumi ndugu yangu vikwazo sio kazi ndogo
Hawa wachina wakutane na kitu hutakiwi kutumia swift na pia exim bank ipigwe kikwazo duniani
Lazima wachina waundondoshe ukomust hatutakuja kuusikia madarakani ile utabakia kwenye makaratasi
Mwenyewe unaona umeandikaaaaaa[emoji51]Wabongo tuna ushabiki mpaka kwenye vitu visivyotuhusu.
"US VS THEM" mentality kila sehemu.
Ushabiki wa kitoto namna hii unatufanya tushindwe kujadili hali ya mambo kama ilivyo.
Inapaswa uifahamu China kwanza, kisha utaelewa jinsi gani inafanya kazi, Matumizi ya nguvu kwanza sio tabia ya China, tofauti na Marekani (Na washirika wake wa Ulaya Magharibi) ambao wao Ubeberu na matumizi ya nguvu kwa masilahi yao ndio kitu kikuu (imperialism).
China wangekuwa na mindest ya US, Africa tungetawaliwa na Wachina kwanza kabla ya wazungu. Mchina anafanya biashara tangu karne ya 13, kipindi ambacho hata karatasi bado hazijafika Ulaya.
Hio reaction ya China kuivamia Taiwan baada ya ujio wa Nancy Pelosi, ndio kItu ambacho Strategists wa US walichokitaka
Lengo wapate justification ya kupambana na China vita ya kiuchumi, ikumbukwe kuwa Mataifa yoyote yenye silaha za Nyukilia, kamwe haziwezi kuingia vitani, hii ni kwa sababu ya MAD Doctrine ( Uhakika kuwa vita yoyote kati yao, itayarudisha matifa yao na dunia nzima zama za mawe)
So namna pekee ya kupambana ni through proxy war (Mfano Russia na Marekani over ukraine) na vita ya kiuchumi kama US na washirika wake hivi karibuni walivyofanya kwa Russia na Russia alivyoitikia kwa ku cut gas supply na kuwa karibu zaidi na BRICS members haswa China.
Kama ilivyokua British Empire kabla yake Marekani inadondoka, uchumi wa marekani umening'inia juu ya kamba nyembamba sana ya "Petro dollar system" inayo mpa upendeleo marekani wa ku print pesa out of nothing na kuendelea ku fund jeshi lake, so nchi pekee inayotishia Petro dollar system ni adui yake kama China
China anaifahamu hii trick, so kafanya kile unachotegemea kwa mwenye busara kufanya.
Badala ya kuivamia Taiwan kama USA alivyotaka, (Proxy war nyingine kati ya USA na China uwanja ukiwa Taiwan) China badala yake kawaonyesha Wamarekani kuwa in case of taiwan hawatokua na uwezo wa kuchangisha pesa ya kutuma silaha kama walivyofanya kwa Ukraine, cause unlike Russia sisi tunauwezo wa kukizunguka kisiwa kizima ndani ya siku chache tu.
So huwezi kutoa au kuingiza kitu bila kuivaa PLA.
So kama USA wapo tayari kurudi karne ya 7 kisa Taiwan, that's ok.
Sikia hii mbusiii ya ccm [emoji115]kweli ccm ni mafii kabisa[emoji90][emoji90][emoji90]Wakati unachangia jambo usiwe unakunywa pembeni bia zenu local hizo umeandika nn
Unasifia uoga wa kipumbavu, ngoja wanaume waanze kujimegea pembezoni si washaliona taifa la makuku.Mchina kacheza sana, kaona vita ni hasara....kakaa pembeni, hii ndio inaitwa AKILI