China yaingiza vifaru mitaani kuzuia watu wasitoe pesa Bank

China yaingiza vifaru mitaani kuzuia watu wasitoe pesa Bank

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Katika kile kinachoonekana kama kutumia nguvu kuulinda mfumo wa pesa usianguke mazima nchi ya Uchina imelazimika kuingiza vifaru vya kijeshi& wanajeshi waliojihami kwa siraha mtaani kuzizunguka bank ili kuwatisha wateja wa bank hizo zenye mgogoro toka mwezi April wasitoe pesa zao na kusababisha bank hizo kufilisika


 
Katika kile kinachoonekana kama kutumia nguvu kuulinda mfumo wa pesa usianguke mazima nchi ya Uchina imelazimika kuingiza vifaru vya kijeshi& wanajeshi waliojihami kwa siraha mtaani kuzizunguka bank ili kuwatisha wateja wa bank hizo zenye mgogoro toka mwezi April wasitoe pesa zao na kusababisha bank hizo kufilisika



Always westernier are negative against others
 
Katika kile kinachoonekana kama kutumia nguvu kuulinda mfumo wa pesa usianguke mazima nchi ya Uchina imelazimika kuingiza vifaru vya kijeshi& wanajeshi waliojihami kwa siraha mtaani kuzizunguka bank ili kuwatisha wateja wa bank hizo zenye mgogoro toka mwezi April wasitoe pesa zao na kusababisha bank hizo kufilisika



Habari za uongo . acha upotoshaji
 
Kuna wajinga watasema hii imesababishwa na westerners
Nimeamini kuna watuCIA, MOSSAD weusi/weupe/vibaraka/wanafiki/vibarua/wa-ramba viatu/vizabizabina wana tumiwa na Westerners kusambaza propaganda zao!!

Tunajua mko Dunia nzima!! jamani! ma-idealist wa JF muwe macho km siyo kuwa makini sana na watu km hawa!...swali Utawajuaje hao sasa?

1. kwa Maneno yao! yaso tija kwa mweusi!
2.Kujipendekeza ktk kiwango cha kuji dhalilisha! mfano aweza itetea USA hadi ankatoa povu au akajifia!
3.wana visentesi vifupi vifupi vilivyo kolezwa wino ili kila mtu aone! pia asichoke kusoma!
4.wanatanguliza maneno ya kejeli/kujidharau kwa msomaji kwanza! ili kupoteza lengo lao!
5.Hawanaga majina ya Kibantu..km utambulisho wa avata zao!!
6.Huwaga hawajibu chochote hasa ukiwashambulia kuhusu walivyo! ...iukweli!
7. Ni wapoleee!.kwa asili hawanaga maneno mengi kwa kuwa wanaamini KGB inawawinda! popote!
8. wanatamani sana kupotezea weusi wasiunge mkono serikali ya Urusi!
9. kila mahali wana machale mnooo! .........

subiri wana JF muone kitu cha ajabu nataka niwaonyeshee hapa leo! ndo mjue kumbe computer waweza onana na unaye jibizana nae! lkn yeye asikutambue! km computer yako haina nitawawekea kitu muone!!

humu mie naonaga wengine wako uchi kabisaa! ! wengine wanaoga !! wengine wanashuka kufanya mambo yetu yale tena wakubwaaa! hee!ee! ndani ya daladala ndo wengi!

wengine huwa nawambia kabisa mahali alipo lkn anaangazia kwenye Gari humo humo!...mpaka wamefika mahali wanapeana jina la avatar yangu!! sasa huwaga najiuliza hivi hawa wabongo hawajui hii tech. ilivo au??
 
Nimeamini kuna watuCIA, MOSSAD weusi/weupe/vibaraka/wanafiki/vibarua/wa-ramba viatu/vizabizabina wana tumiwa na Westerners kusambaza propaganda zao!!

Tunajua mko Dunia nzima!! jamani! ma-idealist wa JF muwe macho km siyo kuwa makini sana na watu km hawa!...swali Utawajuaje hao sasa?

1. kwa Maneno yao! yaso tija kwa mweusi!
2.Kujipendekeza ktk kiwango cha kuji dhalilisha! mfano aweza itetea USA hadi ankatoa povu au akajifia!
3.wana visentesi vifupi vifupi vilivyo kolezwa wino ili kila mtu aone! pia asichoke kusoma!
4.wanatanguliza maneno ya kejeli/kujidharau kwa msomaji kwanza! ili kupoteza lengo lao!
5.Hawanaga majina ya Kibantu..km utambulisho wa avata zao!!
6.Huwaga hawajibu chochote hasa ukiwashambulia kuhusu walivyo! ...iukweli!
7. Ni wapoleee!.kwa asili hawanaga maneno mengi kwa kuwa wanaamini KGB inawawinda! popote!
8. wanatamani sana kupotezea weusi wasiunge mkono serikali ya Urusi!
9. kila mahali wana machale mnooo! .........

subiri wana JF muone kitu cha ajabu nataka niwaonyeshee hapa leo! ndo mjue kumbe computer waweza onana na unaye jibizana nae! lkn yeye asikutambue! km computer yako haina nitawawekea kitu muone!!

humu mie naonaga wengine wako uchi kabisaa! ! wengine wanaoga !! wengine wanashuka kufanya mambo yetu yale tena wakubwaaa! hee!ee! ndani ya daladala ndo wengi!

wengine huwa nawambia kabisa mahali alipo lkn anaangazia kwenye Gari humo humo!...mpaka wamefika mahali wanapeana jina la avatar yangu!! sasa huwaga najiuliza hivi hawa wabongo hawajui hii tech. ilivo au??
Hii ni nini umeandika
 
Nimeamini kuna watuCIA, MOSSAD weusi/weupe/vibaraka/wanafiki/vibarua/wa-ramba viatu/vizabizabina wana tumiwa na Westerners kusambaza propaganda zao!!

Tunajua mko Dunia nzima!! jamani! ma-idealist wa JF muwe macho km siyo kuwa makini sana na watu km hawa!...swali Utawajuaje hao sasa?

1. kwa Maneno yao! yaso tija kwa mweusi!
2.Kujipendekeza ktk kiwango cha kuji dhalilisha! mfano aweza itetea USA hadi ankatoa povu au akajifia!
3.wana visentesi vifupi vifupi vilivyo kolezwa wino ili kila mtu aone! pia asichoke kusoma!
4.wanatanguliza maneno ya kejeli/kujidharau kwa msomaji kwanza! ili kupoteza lengo lao!
5.Hawanaga majina ya Kibantu..km utambulisho wa avata zao!!
6.Huwaga hawajibu chochote hasa ukiwashambulia kuhusu walivyo! ...iukweli!
7. Ni wapoleee!.kwa asili hawanaga maneno mengi kwa kuwa wanaamini KGB inawawinda! popote!
8. wanatamani sana kupotezea weusi wasiunge mkono serikali ya Urusi!
9. kila mahali wana machale mnooo! .........

subiri wana JF muone kitu cha ajabu nataka niwaonyeshee hapa leo! ndo mjue kumbe computer waweza onana na unaye jibizana nae! lkn yeye asikutambue! km computer yako haina nitawawekea kitu muone!!

humu mie naonaga wengine wako uchi kabisaa! ! wengine wanaoga !! wengine wanashuka kufanya mambo yetu yale tena wakubwaaa! hee!ee! ndani ya daladala ndo wengi!

wengine huwa nawambia kabisa mahali alipo lkn anaangazia kwenye Gari humo humo!...mpaka wamefika mahali wanapeana jina la avatar yangu!! sasa huwaga najiuliza hivi hawa wabongo hawajui hii tech. ilivo au??
Sasa kupanga si kuchagua, wewe endelea kukomaa na dikteita Putin hakuna anayekukataza.

Yaani hapa unajiona una akili mingi kwelii.....
 
Back
Top Bottom