Kuna wajinga watasema hii imesababishwa na westerners
Nimeamini kuna watuCIA, MOSSAD weusi/weupe/vibaraka/wanafiki/vibarua/wa-ramba viatu/vizabizabina wana tumiwa na Westerners kusambaza propaganda zao!!
Tunajua mko Dunia nzima!! jamani! ma-idealist wa JF muwe macho km siyo kuwa makini sana na watu km hawa!...swali Utawajuaje hao sasa?
1. kwa Maneno yao! yaso tija kwa mweusi!
2.Kujipendekeza ktk kiwango cha kuji dhalilisha! mfano aweza itetea USA hadi ankatoa povu au akajifia!
3.wana visentesi vifupi vifupi vilivyo kolezwa wino ili kila mtu aone! pia asichoke kusoma!
4.wanatanguliza maneno ya kejeli/kujidharau kwa msomaji kwanza! ili kupoteza lengo lao!
5.Hawanaga majina ya Kibantu..km utambulisho wa avata zao!!
6.Huwaga hawajibu chochote hasa ukiwashambulia kuhusu walivyo! ...iukweli!
7. Ni wapoleee!.kwa asili hawanaga maneno mengi kwa kuwa wanaamini KGB inawawinda! popote!
8. wanatamani sana kupotezea weusi wasiunge mkono serikali ya Urusi!
9. kila mahali wana machale mnooo! .........
subiri wana JF muone kitu cha ajabu nataka niwaonyeshee hapa leo! ndo mjue kumbe computer waweza onana na unaye jibizana nae! lkn yeye asikutambue! km computer yako haina nitawawekea kitu muone!!
humu mie naonaga wengine wako uchi kabisaa! ! wengine wanaoga !! wengine wanashuka kufanya mambo yetu yale tena wakubwaaa! hee!ee! ndani ya daladala ndo wengi!
wengine huwa nawambia kabisa mahali alipo lkn anaangazia kwenye Gari humo humo!...mpaka wamefika mahali wanapeana jina la avatar yangu!! sasa huwaga najiuliza hivi hawa wabongo hawajui hii tech. ilivo au??