China yaingiza vifaru mitaani kuzuia watu wasitoe pesa Bank

China yaingiza vifaru mitaani kuzuia watu wasitoe pesa Bank

Nimeamini kuna watuCIA, MOSSAD weusi/weupe/vibaraka/wanafiki/vibarua/wa-ramba viatu/vizabizabina wana tumiwa na Westerners kusambaza propaganda zao!!

Tunajua mko Dunia nzima!! jamani! ma-idealist wa JF muwe macho km siyo kuwa makini sana na watu km hawa!...swali Utawajuaje hao sasa?

1. kwa Maneno yao! yaso tija kwa mweusi!
2.Kujipendekeza ktk kiwango cha kuji dhalilisha! mfano aweza itetea USA hadi ankatoa povu au akajifia!
3.wana visentesi vifupi vifupi vilivyo kolezwa wino ili kila mtu aone! pia asichoke kusoma!
4.wanatanguliza maneno ya kejeli/kujidharau kwa msomaji kwanza! ili kupoteza lengo lao!
5.Hawanaga majina ya Kibantu..km utambulisho wa avata zao!!
6.Huwaga hawajibu chochote hasa ukiwashambulia kuhusu walivyo! ...iukweli!
7. Ni wapoleee!.kwa asili hawanaga maneno mengi kwa kuwa wanaamini KGB inawawinda! popote!
8. wanatamani sana kupotezea weusi wasiunge mkono serikali ya Urusi!
9. kila mahali wana machale mnooo! .........

subiri wana JF muone kitu cha ajabu nataka niwaonyeshee hapa leo! ndo mjue kumbe computer waweza onana na unaye jibizana nae! lkn yeye asikutambue! km computer yako haina nitawawekea kitu muone!!

humu mie naonaga wengine wako uchi kabisaa! ! wengine wanaoga !! wengine wanashuka kufanya mambo yetu yale tena wakubwaaa! hee!ee! ndani ya daladala ndo wengi!

wengine huwa nawambia kabisa mahali alipo lkn anaangazia kwenye Gari humo humo!...mpaka wamefika mahali wanapeana jina la avatar yangu!! sasa huwaga najiuliza hivi hawa wabongo hawajui hii tech. ilivo au??
futa utumbo huu
 
Pesa zimegeuzwa uwekezaji kibabe [emoji23][emoji23][emoji23] dah na mtu animbie Demokrasia utawala mbaya....Sasa Serikali ya China kwanini is bail out makampuni yake kama walivyofanya West katika anguko la kiuchumi katika tasisi zao za ki Fedha miaka ile 2007 kama sikosei

ambapo ilikuwa completely act ya Socialism kwa nchi za kimagharibi zinazofuatisha Capitalism kwa kufuatisha human mode of Production.....lakini it's completely evil of Udikteta Uchwara kwa Nchi za Kijamaa ambazo Zina adopt imperialism
 
Yaani hapa unajiona una akili mingi kwelii.....
kudadaaadeki!! ukiona hivi umenikubali!! weye subiri tunawaumbua soon! kuna watu kibao wameniona in box lkn weye ukija na avatara nyingine tu nakubamaba! ndo utajua kuumbe mambo iko huku!
 
kudadaaadeki!! ukiona hivi umenikubali!! weye subiri tunawaumbua soon! kuna watu kibao wameniona in box lkn weye ukija na avatara nyingine tu nakubamaba! ndo utajua kuumbe mambo iko huku!
Kula kulala wewe ujui chochote

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom