China yaingiza vifaru mitaani kuzuia watu wasitoe pesa Bank

futa utumbo huu
 
Pesa zimegeuzwa uwekezaji kibabe [emoji23][emoji23][emoji23] dah na mtu animbie Demokrasia utawala mbaya....Sasa Serikali ya China kwanini is bail out makampuni yake kama walivyofanya West katika anguko la kiuchumi katika tasisi zao za ki Fedha miaka ile 2007 kama sikosei

ambapo ilikuwa completely act ya Socialism kwa nchi za kimagharibi zinazofuatisha Capitalism kwa kufuatisha human mode of Production.....lakini it's completely evil of Udikteta Uchwara kwa Nchi za Kijamaa ambazo Zina adopt imperialism
 
Yaani hapa unajiona una akili mingi kwelii.....
kudadaaadeki!! ukiona hivi umenikubali!! weye subiri tunawaumbua soon! kuna watu kibao wameniona in box lkn weye ukija na avatara nyingine tu nakubamaba! ndo utajua kuumbe mambo iko huku!
 
kudadaaadeki!! ukiona hivi umenikubali!! weye subiri tunawaumbua soon! kuna watu kibao wameniona in box lkn weye ukija na avatara nyingine tu nakubamaba! ndo utajua kuumbe mambo iko huku!
Kula kulala wewe ujui chochote

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…