China yaonywa katu isithubutu kuipa Urusi msaada wa silaha, itakiona

China yaonywa katu isithubutu kuipa Urusi msaada wa silaha, itakiona

Huyo Mchina alitisha kwamba Taiwan isitembelewe na mkuu yeyote wa Marekani, akaishia kupiga bahari mabomu.
Mchina alitishwa na mmarekani mmoja na akanyamaza. Mama wa miaka 82. Bibi Nancy Peloso alimtisha mchina. Akaishia kukata mauno kwy maji Kama Fally Pupaa
 
Akipeleka silaha kwa Russia, bihashara zote anazofanya na wazungu zimekufa. Kuanzia bihashara ya Android, window operating system, Java, Intel na Research zote zimekufa. China atakoma na uchumi wa Copy & Paste
Tutaona.
 
China hawezi akafanya ujinga uliofanywa na Urusi, maana ataathirika hata zaidi ya Urusi maana wenyewe Wachina ni zaidi ya bilioni na hawana raslimali za kutosha kwao, huwa wako makini sana hawataki kujiingiza kwenye ujinga.
Urusi wana liinchi libwaku, sio rahisi uwaone wanatoka kutangatanga duniani wakitafuta riziki, kwa namna wamebanwa sasa hivi, ingekua Mchina angekua ameomba po.
Kwanza nashukuru umemkubali mrusi japo kimoyomoyo.Hayo mengine tuache macho na masikio wazi.
 
China hawezi akafanya ujinga uliofanywa na Urusi, maana ataathirika hata zaidi ya Urusi maana wenyewe Wachina ni zaidi ya bilioni na hawana raslimali za kutosha kwao, huwa wako makini sana hawataki kujiingiza kwenye ujinga.
Urusi wana liinchi libwaku, sio rahisi uwaone wanatoka kutangatanga duniani wakitafuta riziki, kwa namna wamebanwa sasa hivi, ingekua Mchina angekua ameomba po.
Mkuu umesema ukweli . Uchumi wa china inategemea USA na Ulaya . China mjanja sana hataki Upuuzi . Nasikia Russia wanaongozwa na ubwa PUTIN
 
Kwanza nashukuru umemkubali mrusi japo kimoyomoyo.Hayo mengine tuache macho na masikio wazi.

Mrusi nilikua namkubali kipindi alikua anatembeza kichapo kwa yale magaidi yenu ya huko ISIS, nakumbuka Putin aliwahi kutoa kauli kali sana dhidi yenu, ila kwa sasa kawa mpuzi.
 
Mrusi nilikua namkubali kipindi alikua anatembeza kichapo kwa yale magaidi yenu ya huko ISIS, nakumbuka Putin aliwahi kutoa kauli kali sana dhidi yenu, ila kwa sasa kawa mpuzi.
Ugaidi ni ugaidi tu, Dunia ya leo sio ya kushikana sharubu.Ila nashauri wewe mimi na waafrika zikiwemo jamii zisizo za kizungu.Tuwatambue wazungu kwanza kisha tukishawatambua tuache nafsi zetu huru.Mimi ni shabiki tu.Tena shabiki maandazi.
 
Ugaidi ni ugaidi tu, Dunia ya leo sio ya kushikana sharubu.Ila nashauri wewe mimi na waafrika zikiwemo jamii zisizo za kizungu.Tuwatambue wazungu kwanza kisha tukishawatambua tuache nafsi zetu huru.Mimi ni shabiki tu.Tena shabiki maandazi.

Ugaidi sio ugaidi tu, maana dunia ya leo inapambana na magaidi wa dini walioaminishwa vitu vya ajabu, huu sio ugaidi wa kawaida.
 
Ugaidi sio ugaidi tu, maana dunia ya leo inapambana na magaidi wa dini walioaminishwa vitu vya ajabu, huu sio ugaidi wa kawaida.
Ugaidi wa kawaida ilipaswa usitoke na damu za watu.Toka zamani za utumwa wazungu walikuwa magaidi, ukiacja waarabu ambao kwa upuuzi wao wakashirikishwa kinyumbu na kutambulika.Hakuna mwenye haki ya kutoa uhai wa mtu.
 
Mrusi nilikua namkubali kipindi alikua anatembeza kichapo kwa yale magaidi yenu ya huko ISIS, nakumbuka Putin aliwahi kutoa kauli kali sana dhidi yenu, ila kwa sasa kawa mpuzi.
Ha ha ha ha

Alisema sio kazi yake kuwahukumu magaidi ila anawahisha kuwapeleka kwa huyo allah.
 
Ugaidi wa kawaida ilipaswa usitoke na damu za watu.Toka zamani za utumwa wazungu walikuwa magaidi, ukiacja waarabu ambao kwa upuuzi wao wakashirikishwa kinyumbu na kutambulika.Hakuna mwenye haki ya kutoa uhai wa mtu.

Ugaidi wa kulazimishana dini ni hovyo sana maana masuala ya imani ni ya mtu binafsi, mnachinja atu kualazimisha udini ya mwarabu.
 
Back
Top Bottom