China yatia pembeni deni la Kenya hadi baadaye, mlisubiri sana kuona tukidondoka

China yatia pembeni deni la Kenya hadi baadaye, mlisubiri sana kuona tukidondoka

Halafu omba omba wenu wamekua kero huku, yaani siju mna gundu nyie, raslimali zote hizo lakini nchi ukata kila mahali, aidha itakua ujamaa uliwalemaza mkawa wazembe au sijui CCM au sijui nini haswa, huwa mnatia huruma kwa kweli. Haileti mantiki kanch kadogo kama Kenya kawazidi kiuchumi mara mbili, ilhali hatuna madini na hata zaidi ya nusu ya nchi yetu ni kame tupu....nyie aidha mumelaaniwa.
Wewe ni mfano wa ombaomba wa Kenya humu jukwaani.............ungenipigia hayo makelele kama ningekua sijawahi kufika huko ningesononeka sana ila nawafaham vyema sana makapuku nyie hakuna kitu ,huo utajiri unaopigia kelele ni wakina Kenyata tu na baadhi ya wazungu nyie wala githeri mifi matupu ndo maana mna roho nyeusi sababu mnapigika na maisha magumu......karibu mtakuja ya Jf tuwaondolee stress za kushinda kwenye nyumba za mabati na kwenda kujipooza kwenye mall ukitoka na ka pakti ka unga wakushindia nusu mwaka
 
Wewe ni mfano wa ombaomba wa Kenya humu jukwaani.............ungenipigia hayo makelele kama ningekua sijawahi kufika huko ningesononeka sana ila nawafaham vyema sana makapuku nyie hakuna kitu ,huo utajiri unaopigia kelele ni wakina Kenyata tu na baadhi ya wazungu nyie wala githeri mifi matupu ndo maana mna roho nyeusi sababu mnapigika na maisha magumu......karibu mtakuja ya Jf tuwaondolee stress za kushinda kwenye nyumba za mabati na kwenda kujipooza kwenye mall ukitoka na ka pakti ka unga wakushindia nusu mwaka

Huwa tunawasaidia maana kila wakifukuzwa wanakwenda na kuitana ndugu kwa ndugu kwa kweli mnatia huruma halafu ujue Afrika yote hii nyie ndio taifa ambalo raia wake wanakwenda kwenye taifa jirani kuomba omba, tumezungukwa na mataifa ambayo wamepigana kila siku lakini hatujaona wananchi wao wakiwa kero kwenye barabara zetu.....yaani huo uzembe wenu ni aibu ya Afrika hii.
Halafu baada ya kuwapiga double kiuchumi pengo linazidi kuongezeka, juzi tumewapiga double kwenye mapato ya KRA, hehehe hadi raha nakenua men hapa, kumbuka tunawazidi kuongea English pia watu wa ze ze ze
 
Huwa tunawasaidia maana kila wakifukuzwa wanakwenda na kuitana ndugu kwa ndugu kwa kweli mnatia huruma halafu ujue Afrika yote hii nyie ndio taifa ambalo raia wake wanakwenda kwenye taifa jirani kuomba omba, tumezungukwa na mataifa ambayo wamepigana kila siku lakini hatujaona wananchi wao wakiwa kero kwenye barabara zetu.....yaani huo uzembe wenu ni aibu ya Afrika hii.
Halafu baada ya kuwapiga double kiuchumi pengo linazidi kuongezeka, juzi tumewapiga double kwenye mapato ya KRA, hehehe hadi raha nakenua men hapa, kumbuka tunawazidi kuongea English pia watu wa ze ze ze
Oya ombaomba umeandika nini hapa embu tafisiri kwa kinyaturu nikuelewe maana maelezo yako naona yamejaa njaa tu au uliandika kipindi unajisaidia kwenye mfuko baada ya kushiba githeri.........kwa msaada wa watu wa jf
 
Oya ombaomba umeandika nini hapa embu tafisiri kwa kinyaturu nikuelewe maana maelezo yako naona yamejaa njaa tu au uliandika kipindi unajisaidia kwenye mfuko baada ya kushiba githeri.........kwa msaada wa watu wa jf

Hehehe hadi raha....halafu kipindi cha Kikwete kidogo mlikua mnajongea ila kwa sasa ndio buriani, tumewapiga double double kielimu, kijeshi, kiuchumi, miundo mbinu....tatizo ndio mtajaza sana omba omba huku...hivi kwa kweli tatizo nini haswa

Ona mnavyozidi kuwa aibu ya Afrika Abiria wakwama Kiteto kutokana na ubovu wa Barabara
 
Hehehe hadi raha....halafu kipindi cha Kikwete kidogo mlikua mnajongea ila kwa sasa ndio buriani, tumewapiga double double kielimu, kijeshi, kiuchumi, miundo mbinu....tatizo ndio mtajaza sana omba omba huku...hivi kwa kweli tatizo nini haswa

Ona mnavyozidi kuwa aibu ya Afrika Abiria wakwama Kiteto kutokana na ubovu wa Barabara
Kwa sasa tunawapapasa na ndo maana kila wakati mnaleta povu huku.....enzi za Kikwete mlikua mnashirikiana na hao mafisadi kwa sasa mmebinywa hizo wowowo mnajua huku pachungu mnaishia tu kutoa mapovu..........we sema umepita kila kitu ila mie najua wakenya mna hali mbaya saaaana utapiamlo unakusumbua we endelea kuhesabu mali za mzungu mwisho wa siku katulize masaburi kwenye fulu suti lako
 
Hahaha. Aki this is good news. Kuna watu walikuwa wanangojea tushindwe kulipa ili waanze kutuchekelea.

Cc Geza Ulole ichoboy01
Ni habari nzuri lakini siyo nzuri sana maana mdeni wako akikuongezea muda unakuwa bado hujisikia poa anaweza kukwambia ufanye kitu usichotaka kufanya ukafanya kwasababu tu unadaiwa.
Siui lini Afrika tutatoka huku tulipo.
 
Hii itawauma sana, ukizingtia juzi wamemlilia sana Mchina awasamehe deni la kitambo lililoshindikana, hadi wamemuita ndugu wa damu.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
COVID-19 ilivyolipuka mlichukua pesa kibao haya vp sasa imeisha? Pesa mlizonywea soup na kachori mtazilipa mpende msipende hakuna pesa za bure,hamkujua mnakula pesa zenu wenyewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mpaka siku utakata tiketi ya kuteleza kwa SGR na uipachike humu ndio uje tuongee, vinginevyo hayo mengine ni ngonjera na sijakuzoea kuwa mtu wa ngonjera.

Hiyo 54.7% kwa ulimwengu wa wachumi haina tofauti na nusu.
Nusu haina ulimwengu wowote nusu ni 50 tu
 
Watanzania karibu wote wanaombea Kenya mabaya lakini dua la kuku halimpati mwewe.
Ni akili mbaya sana. Natamani sana EAC, tuwe tunaelewana na kuweka mikakati ya pamoja ya kiuchumi ambayo itahakikisha kila nchi inadominate sekta fulani. Hakika dunia ingetujua sisi ni kina nani. Tuna kila kitu cha kutufanya tuwe region yenye nguvu zaidi afrika. Ila tumebaki kusigana sisi wenyewe. Hata katika maisha ya kawaida, inapendeza majirani mkiwa vizuri kiuchumi kwa pamoja.
 
Hao wangeikopesha tanzania tungewazungusha mpaka wasuse
 
Back
Top Bottom