Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
- #41
Check your fact boy,
Treni za Tazara zinaongozwa na nani? Ni hao wachina,delay , derailment , wizi , kila kitu hovyo.
Na mambo mengi njiani huko hadi Kapiri mposhi.wanapiga deal zao.
Kubeba abiria ni mwamvuli tu.
Nazungumzia za kwao China, kwa upande wa TAZARA sijui sana mabadiliko yaliyofanyika na kinachoendelea. Kwani management yote ni Wachina?