China yawawekea vikwazo viongozi 28 wa Trump ndani yake yupo Mike Pompeo

China yawawekea vikwazo viongozi 28 wa Trump ndani yake yupo Mike Pompeo

Pompeo aliyeajwa kwa jina na Biden katika hotuba baada ya kuapishwa. Amemtaja kama mtu aliyeharibu mahusiano na nchi marafiki na Marekani. Ameahidi kurudisha mahusiano na nchi za Kiislam...
Huyu naye asilete za kujifanya kujua, awe macho na fundamentalism ya waislamu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... kwa akili ya Lumumbas family wanaiona mizani ya Pompeo kuzuiwa China ni sawa na uzito Viongozi wa "Tanzania team Lumumba" kuzuiwa USA

Jambo ambalo ni sawa na mizani ya kuita mataifa ya magharibi MABEBERU hali ya kuwa CCM inahangaika kuvunja katiba kwa kuwapa uongozi wa kamati za bunge wapinzani waliofukuzwa kwenye chama chao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kitu ambacho ni sawa na kichekesho cha CHINA kusujudu ili HUAWEI iweze kufanya kazi na GOOGLE

AMA KWELI UKISTAAJABU YA CHINA UTASHANGAA YA CCM YA LUMUMBA

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Zuio la USA linabaki PALEPALE.
Huwezi kufurahi aliyekuua akifa.Its illogical.Tanzania mnaitegemea sana USA ,lakini USA haiitegemei sana China. Mpaka viongozi wakuu wa chi wanalalia vyandarua vilivyoandikwa USAIDS. Au kwa hisani ya watu wa Marekani.
Acha kupotosha mkuu.
Ety USA haimtegemei mchina.......
China ni kama maji usipoyanywa unayaoga.

China ni soko tosha kwa bidhaa zinazozalishwa duniani ikiwemo hao wamarekani wako unaofikiri wamekamilika.
 
Zuio la USA linabaki PALEPALE.
Huwezi kufurahi aliyekuua akifa.Its illogical.Tanzania mnaitegemea sana USA ,lakini USA haiitegemei sana China. Mpaka viongozi wakuu wa chi wanalalia vyandarua vilivyoandikwa USAIDS. Au kwa hisani ya watu wa Marekani.
Tuna safari ndefu sana kufika kanani, hapa naona kwa akili yako fupi umeshuka nondo? Et USA haitegemei CHINA, are you serious?
 
Pompeo aliyeajwa kwa jina na Biden katika hotuba baada ya kuapishwa. Amemtaja kama mtu aliyeharibu mahusiano na nchi marafiki na Marekani. Ameahidi kurudisha mahusiano na nchi za Kiislam. Na moja ya kazi ya kwanza aliyofanya baada ya kuapishwa, ni kufutwa mara moja, azimio la nchi za Kiislam na nyingine zilizoitwa za kiharifu. Ameahidi kurudisha mahusiano mema na China.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]... sawaaaa lakini sio mahusiano na "SHIT HOLES COUNTRIES" kama Tanzania na Uganda sijui Kenya kwa 2022

Na kama unabisha subiri uone Bieden atakavyo kazia kuhusu Tanzania na Uganda shubaaaamit this time tutasoma namba kwa kirumi !!!

Miongoni mwa mvua za rasharasha tumesitisha mafunzo ya JKT kwa tangazo linaloumiza roho eti "walionyumbani msije na mlio kambini ondokeni"
 
Nyie hamjui mwingiliano wa kibiashara uliopo kati ya china na makampuni ya kimarekeni ndo maana mnasema hivyo.
Kwani hao aliowawekea vikwazo vya visa wanaenda marekani kufanya nini? Kama ni shopping watu wanaenda Dubai, India, china, nk
China??

Kwa hio mtu kama Obama, Bush, Clinton. Condoleza.

Wanaenda China na Russia????
Thubutuu.

Hizo nchi hazina sheria. Hata jamaa wa alibaba wameshamuua.

Huko hawaendi kabisa unaweza ukachinjwa.
Tena wana hasira na mambo yanayoendela Hongkong
 
China nao wamesubiri muda wake ueshe ndipo wapanue kinywa au ni kujikosha 😂😂😂 sasa ataenda kutafuta nini China? Iphone?
Kwani watanzania wataenda kutafuta nini Marekani?
China ni sehemu ya biashara kwa kila taifa, sasa marekani kuna biashara gani?
 
Kwani watanzania wataenda kutafuta nini marekani?
China ni sehemu ya biashara kwa kila taifa, sasa marekani kuna biashara gani?
Ndio maana hawatakiwi kwenda, sasa sijui why wanalazimisha.
 
Acha kupotosha mkuu.
Ety USA haimtegemei mchina.......
China ni kama maji usipoyanywa unayaoga.

China ni soko tosha kwa bidhaa zinazozalishwa duniani ikiwemo hao wamarekani wako unaofikiri wamekamilika.
US ilipoweka zuio la baadhi ya bidhaa toka China, ukuaji wa uchumi ianguka toka 7% mpaka 2%. China ililipiza kwa kuweka zuio la baadhi ya bidhaa toka US, lakini uchumi wa US haukuonesha kutetereka kwa aina yoyote.
 
Back
Top Bottom