voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,935
Wewe huyajui masuala ya uchumi wa kimataifa. Nenda google uamgalie kati ya China na Marekani nani anadaiwa kiasi kikubwa cha deni?Zuio la USA linabaki PALEPALE.
Huwezi kufurahi aliyekuua akifa. Its illogical. Tanzania mnaitegemea sana USA lakini USA haiitegemei sana China. Mpaka viongozi wakuu wa Nchi wanalalia vyandarua vilivyoandikwa USAIDS. Au kwa hisani ya watu wa Marekani.
Kisha uelewe kwamba marekani imefanya uwekezaji mkubwa ndani ya China kwa sababu ya cheap labour na human resource.
Bidhaa nyingi unazonunua marekani hasa electronics zinatokea china under licence production.
Wewe kaa ukitafuta habari duniani acha kujifungia KINONDONI.
Ufipa.