Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
- Thread starter
-
- #181
Kuishi Tanzania ni laanaSiye tunasubiri Mei Mosi watu wakimbize kuku na wengine washindane kuvutana.
Qatar wameipa kandarasi kampuni ya China kutengeneza meli kubwa ya kubeba LNG yenye thamani ya $ 5.4 billionSiye tunasubiri Mei Mosi watu wakimbize kuku na wengine washindane kuvutana.
Ongezea na wengine watavaa magunia wakimbizaneSiye tunasubiri Mei Mosi watu wakimbize kuku na wengine washindane kuvutana.
Weka picha zakeChina’s second homegrown cruise ship enters final assembly phase at dock, eyeing delivery by end-2026. Analysts and industry insiders said the progress made in the second homegrown large cruise ship attests to China's growing manufacturing capacity in building top-class vessels and will further contribute to the development of China's cruise ship industry.
Hii sasa kufuruQatar wameipa kandarasi kampuni ya China kutengeneza meli kubwa ya kubeba LNG yenye thamani ya $ 5.4 billion
Kwenye Tshs ni trilioni 13
Bajeti ya Tanzania mwaka wa fedha 2024/2025 itakuwa Tsh trilioni 49
Kampuni hiyo ya China ikitengeneza meli 3 za aina hiyo wanakaribia kupata bajeti ya Tanzania
Tsh Triilion 25Hii sasa kufuru
Na hii ndio kampuni ileile ilipewa order na kampuni ya Ufarasa CMA CGM kutengeneza meli za LNG zenye thamani ya US$ 4 BLN
Kwa hiyo jamaa order 2 tu wameingiza mtonyo wa karibu US$ 10 bln
Kibongo bongo ni sawa ni Shilingi ngapi?
Iko dock Shanghai kupigwa final assembly hii itakuwa kubwa kuliko Adora Magic CityWeka picha zake
Hatari sanaTsh Triilion 25
Zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania mwaka wa fedha 2024/2025
Asante kwa habari pichaIko dock Shanghai kupigwa final assembly hii iyakuwa kubwa kuliko Adora Magic City
View attachment 2977016
View attachment 2977017
It is what it isHatari sana
Nani anasababisha hivyo vita?Alaf ikitokea vita inapigwa missile moja inazama ndani ya maji habari yake inaishia hapo.
YeahIt is what it is
😄😄 Mwamba anapenda vita kama MarekaniNani anasababisha hivyo vita?
Ubabaishaji mtupuSisi tunaunda meli na Songoro marine
Ubabaishaji
Kampuni kama MSL sidhani kama ina wazo hata la kuunda mtumbwi