Anayewaponza ni marekaniJapan wameshapoteana kwenye ship building industry
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayewaponza ni marekaniJapan wameshapoteana kwenye ship building industry
Marekani kama jini ukimshiriki tu imekula kwako
Marekani wapuuzi sana ila na wanaomfata nadhani ni wapuuzi zaidi. Mfano saizi kawawekea vikwazo vya semi conductors China ila pia kawazuia Uholanzi, Japan, South Korea na Taiwan nao wasifanye biashara na China. Saizi haya mataifa yanalia kupungua kwa mauzo ya semi conductors maana China ndo alikuwa mteja mkubwa. Kesho na kesho kutwa China akishafikia uwezo wa kutengeneza chip zenye viwango sawa na vya hawa wengine anachofanya anali flood soko na hizi chip na hamna mtu atahitaji tena chip za Taiwan, Japan wala SK kwanini isitokee kama kinachotokea leo kwa meli na magari ya umeme!
Uko sahihi mkuuSafar yake ndio hii iloisha jana ilipiga safar ya week nzima?
Umesema vyema, na sasa hivi anawaponza kwenye Electric Vehicle, makampuni ya Japan yamekuwa wagumu sana kuadopt electric vehicle tech
NAKAZIAMarekani wapuuzi sana ila na wanaomfata nadhani ni wapuuzi zaidi. Mfano saizi kawawekea vikwazo vya semi conductors China ila pia kawazuia Uholanzi, Japan, South Korea na Taiwan nao wasifanye biashara na China. Saizi haya mataifa yanalia kupungua kwa mauzo ya semi conductors maana China ndo alikuwa mteja mkubwa. Kesho na kesho kutwa China akishafikia uwezo wa kutengeneza chip zenye viwango sawa na vya hawa wengine anachofanya anali flood soko na hizi chip na hamna mtu atahitaji tena chip za Taiwan, Japan wala SK kwanini isitokee kama kinachotokea leo kwa meli na magari ya umeme!
Hata kwenye mabasi ya kichina interior decoration ni 🔥🔥🔥finishing za kichina huwa ni unyama mwingi.
Hu Jintao alikuwa na sera nzuri aliweka msingi wa scientific outlook on development ambayo Xi anaitumia pia ila hakuwa ngangari kama Xi ndiao maana wakati wa utawala wa Hu Jintao rushwa ilishamiri sana miongoni mwa viongozi wa CPCIla sijajua kwanini naamini haya maendeleo ya China kwasasa yamechagizwa na bwana jintao
Au sijui sababu jamaa nilikua namkubali tuuu Jintao nilikua namuelewa sanaaaaaaaa
Imetembea asee si habaUko sahihi mkuu
Ilianza safari J3 mwaka mpya kutokea China (Shanghai)-South Korea (Jeju)-Japan (Nagasaki & Fukuoka)
1169 neutical mile
Aaah hapa sasa nimekuelewaHu Jintao alikuwa na sera nzuri aliweka msingi wa scientific outlook on development ambayo Xi anaitumia pia ila hakuwa ngangari kama Xi ndiao maana wakati wa utawala wa Hu Jintao rushwa ilishamiri sana miongoni mwa viongozi wa CPC
Hu Jintao alitawala kipindi cha akina Bush na Obama ambao hawakuwa na sera kandamizi kwa China. Wakati huo GDP ya Marekani ilikuwa mara 3 ya China. Kwa hiyo hawakuiona China tishio
Xi kasimama imara kipindi kigumu sana ambacho Marekani na washirika wake wana sera za kuikandamiza China yenye uchumi mkubwa zaidi na teknolojia kubwa chini ya Xi Jinping na wanashindwa
Xi kadhibiti sana rushwa ndani ya CPC kitu ambacho Hu Jintao alishindwa
Xi Jinping yuko strong sana
wanatisha hawa jamaa.Hata kwenye mabasi ya kichina interior decoration ni 🔥🔥🔥
Imezinduliwa rasmi kuanza kupiga biz rasmiImetembea asee si haba
Safi jamaa wameupiga mwingi sana lile dude kali sana ujueImezinduliwa rasmi kuanza kupiga biz rasmi
wanatisha hawa jamaa.
Dude limesimama aisee sio poa.Safi jamaa wameupiga mwingi sana lile dude kali sana ujue
Sahihi kabisaAaah hapa sasa nimekuelewa
Kwatafsiri isio rasmi kama hu angekutana na kipindi kama hiki anachokutana nacho xi kutoka kwa mabepari ingekua rahisi jamaa kutema bunge
Hapo kwa xi nakua na misimamo nakazia
Ni waarabu hao sio wachinaBandari yake ya kwanza Afrika iwe DPW / TPA Dar.