ChinaTech: Sehemu kubwa ya China haijaathirika na mvurugiko wa TEHEMA (IT) uliotokea leo duniani kote kwenye Microsoft Windows

ChinaTech: Sehemu kubwa ya China haijaathirika na mvurugiko wa TEHEMA (IT) uliotokea leo duniani kote kwenye Microsoft Windows

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Leo huduma zote za TEHAMA zinazotumia Microsoft Windows zilikumbana na hii changamoto kwenye screen za computer ilikuwa ni 'bluescreen'

20240719_195450.jpg

20240719_193515.jpg

20240720_000755.jpg

20240720_000757.jpg

Huduma nyingi zinazotumia Microsoft Windows kama usafiri wa ndege, biashara, mashirika ya utangazaji zimeathirika sana leo zote zilisimama kwa muda.

Microsoft wanafanya kazi na kampuni ya kutengeneza antivirus ya CrowdStrike moja ya kazi ya hiyo antivirus ni kuzuia hackers.

Kwa mujibu wa CrowdStrike imekiri kwamba tatizo hilo lilisababishwa na updating ya programu ya anti-virus inayoitwa Falcon Sensor ambayo imeundwa kulinda vifaa vinavyotumia Operating System ya Microsoft Windows dhidi ya mashambulizi mabaya kama ya hackers.

Kwa hiyo wakati wa kuupdate kukotokea mvurugiko au outage kwa wanaotumia Microsoft Windows.

Upande wa China haikuwa hivyo kwa sababu huduma nyingi hasa katika mashirika ya serikali ziliachana na Microsoft Windows na kutumia China-made Operating System (OS) iitwayo NeoKylin.

Hivyo huduma za usafiri wa anga, benki n.k hazikuathirika.

Hii ni kwa sababu tangu mwaka 2015 China walikuja na mpango wa miaka kumi (2015–2025) unaoitwa Made in China 2025 (MIC25) wa kutotegemea teknolojia za kutoka nje bali kuendeleza na kutumia teknolojia za ndani.

Mojawapo ya eneo lililoguswa ni kujitegemea katika mifumo ya I.T (TEHAMA) hii ilitia ndani kuachana na utegemezi wa Microsoft Windows.


www.jamiiforums.com/threads/made-in-china-2025-mpango-wa-china-wa-kujitegemea-kiteknolojia-wafikia-asilimia-88.2220546/



CREDIT:www.scmp.com/tech/big-tech/article/3271171/microsoft-outage-leaves-china-largely-untouched-tech-self-sufficiency-campaign-pays
 
Nini kilitokea leo kwani
Microsoft wanafanya kazi na kampuni ya kubtengeneza antivirus ya CrowdStrike moja ya kazi ya hiyo antivirus ni kuzuia hackers

Kwa mujibu wa Crowdstrike imekiri kwamba tatizo hilo lilisababishwa na updating ya programu hiyo ya anti-virus ambayo imeundwa kulinda vifaa vinavyotumia Microsoft Windows dhidi ya mashambulizi mabaya kama ya hackers

Kwa hiyo wakati wa kuupdate kukotokea outage
 
Microsoft wanafanya kazi na kampubi ya kubtengeneza antivirus ya CrowdStrike moja ya kazi ya hiyo antivirus ni kuzuia hackers

Kwa mujibu wa Crowdstrike imekiri kwamba tatizo hilo lilisababishwa na updating ya programu hiyo ya anti-virus ambayo imeundwa kulinda vifaa vinavyotumia Microsoft Windows dhidi ya mashambulizi mabaya kama ya hackers

Kwa hiyo wakati wa kuupdate kukotokea outage
Crowdstrike wanafanya kazi na deep state ya Marekani

Leo walikuwa wanakusanya taarifa za watumiaji mbalimbali duniani

This is a cyber attack iliyobarikiwa na serikali ya Marekani sio ya kuichukulia poa
 
Crowdstrike wanafanya kazi na deep state ya Marekani

Leo walikuwa wanakusanya taarifa za watumiaji mbalimbali duniani

This is a cyber attack iliyobarikiwa na serikali ya Marekani sio ya kuichukulia poa
Wengi wamehusianisha tukio la leo na ulichoandika

CrowdStrike is a deep state agent
 
Leo huduma zote za TEHAMA zinazotumia Microsoft Windows zilikumbana na hii changamoto kwenye screen za computer ilikuwa ni 'bluescreen'

View attachment 3046558
View attachment 3046559


Huduma nyingi zinazotumia Microsoft Windows kama usafiri wa ndege, biashara, mashirika ya utangazaji zimeathirika sana leo zote zilisimama kwa muda.

Microsoft wanafanya kazi na kampuni ya kutengeneza antivirus ya CrowdStrike moja ya kazi ya hiyo antivirus ni kuzuia hackers.

Kwa mujibu wa CrowdStrike imekiri kwamba tatizo hilo lilisababishwa na updating ya programu hiyo ya anti-virus ambayo imeundwa kulinda vifaa vinavyotumia Microsoft Windows dhidi ya mashambulizi mabaya kama ya hackers.

Kwa hiyo wakati wa kuupdate kukotokea mvurugiko au outage kwa wanaotumia Microsoft Windows.

Upande wa China haikuwa hivyo kwa sababu huduma nyingi hasa katika mashirika ya serikali ziliachana na Microsoft Windows na kutumia China-made Operating System (OS)

Hivyo huduma za usafiri wa anga, benki n.k hazikuathirika.

Hii ni kwa sababu tangu mwaka 2015 China walikuja na mpango wa miaka kumi (2015–2025) unaoitwa Made in China 2025 (MIC25) wa kutotegemea teknolojia za kutoka nje bali kuendeleza na kutumia teknolojia za ndani.

Mojawapo ya eneo lililoguswa ni kujitegemea katika mifumo ya I.T (TEHAMA) hii ilitia ndani kuachana na utegemezi wa Microsoft Windows.


www.jamiiforums.com/threads/made-in-china-2025-mpango-wa-china-wa-kujitegemea-kiteknolojia-wafikia-asilimia-88.2220546/



CREDIT:www.scmp.com/tech/big-tech/article/3271171/microsoft-outage-leaves-china-largely-untouched-tech-self-sufficiency-campaign-pays
Kwani apple waliharibikiwa?
 
  • Thanks
Reactions: I M
Mchina aliona mbali
Watamuelewa tu
Dunia ni kijiji, tunategemeana. Kiwanja cha ndege kilichopo Ulaya kikifungwa kwa muda, hata ndege za shirika la ndege la China hazitatua. Vivyo hivyo, kiwanja cha ndege kilichopo China kikiwa kipo wazi, bado hakuna ndege za mashirika ya Ulaya zitakazoenda China
 
Si Kweli China pia wanatumia Microsoft windows, kilicho tokea ni issue ya hio Ant virus ulioitaja na sio windows per se, hivyo China haijaathirika sababu haitumii hio Anti virus na sio kwamba China haijaathirika sababu haitumii windows.

Google hii term "Windows 10 Zhuangongban"

Hio ni specific version ya windows 10 ambayo inatumiwa na Serikali ya China, ili China watumie windows Wali demand Microsoft wawape China source code ya windows, na ili Microsoft ku comply na hio demand Waka develop windows kwa ajili ya serikali ya China tu.

China wana Phase out Intel, Amd na Microsoft ila bado kuwa self sustained kwenye hizo software/Hardware.
 
Si Kweli China pia wanatumia Microsoft windows, kilicho tokea ni issue ya hio Ant virus ulioitaja na sio windows per se, hivyo China haijaathirika sababu haitumii hio Anti virus na sio kwamba China haijaathirika sababu haitumii windows.

Google hii term "Windows 10 Zhuangongban"

Hio ni specific version ya windows 10 ambayo inatumiwa na Serikali ya China, ili China watumie windows Wali demand Microsoft wawape China source code ya windows, na ili Microsoft ku comply na hio demand Waka develop windows kwa ajili ya serikali ya China tu.

China wana Phase out Intel, Amd na Microsoft ila bado kuwa self sustained kwenye hizo software/Hardware.
Good👍
 
Kwahiyo mchina akitaka kutuma kitu USA kitu ambacho mtu wa USA hawezi kupokea kwa wakati hiyo sio hasara?

Vp wasafiri waliotaka kutoka au kwenda China? Hiyo sio hasara.

Zamani TTCL walikua wanamkatia mtu mawasiliano kabisa kama hajafanya malipo, kwa kufanya hivyo hata yule aliyepo hewani nae anakosa mtu wa kumpigia so wote wanakosa mawasiliano. TTCL nao wanakosa mapato. Wakagundua huu ni ujinga

It's a two way street. Fungueni bongo zenu
 
Back
Top Bottom