Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Leo huduma zote za TEHAMA zinazotumia Microsoft Windows zilikumbana na hii changamoto kwenye screen za computer ilikuwa ni 'bluescreen'
Huduma nyingi zinazotumia Microsoft Windows kama usafiri wa ndege, biashara, mashirika ya utangazaji zimeathirika sana leo zote zilisimama kwa muda.
Microsoft wanafanya kazi na kampuni ya kutengeneza antivirus ya CrowdStrike moja ya kazi ya hiyo antivirus ni kuzuia hackers.
Kwa mujibu wa CrowdStrike imekiri kwamba tatizo hilo lilisababishwa na updating ya programu ya anti-virus inayoitwa Falcon Sensor ambayo imeundwa kulinda vifaa vinavyotumia Operating System ya Microsoft Windows dhidi ya mashambulizi mabaya kama ya hackers.
Kwa hiyo wakati wa kuupdate kukotokea mvurugiko au outage kwa wanaotumia Microsoft Windows.
Upande wa China haikuwa hivyo kwa sababu huduma nyingi hasa katika mashirika ya serikali ziliachana na Microsoft Windows na kutumia China-made Operating System (OS) iitwayo NeoKylin.
Hivyo huduma za usafiri wa anga, benki n.k hazikuathirika.
Hii ni kwa sababu tangu mwaka 2015 China walikuja na mpango wa miaka kumi (2015–2025) unaoitwa Made in China 2025 (MIC25) wa kutotegemea teknolojia za kutoka nje bali kuendeleza na kutumia teknolojia za ndani.
Mojawapo ya eneo lililoguswa ni kujitegemea katika mifumo ya I.T (TEHAMA) hii ilitia ndani kuachana na utegemezi wa Microsoft Windows.
www.jamiiforums.com/threads/made-in-china-2025-mpango-wa-china-wa-kujitegemea-kiteknolojia-wafikia-asilimia-88.2220546/
Microsoft wanafanya kazi na kampuni ya kutengeneza antivirus ya CrowdStrike moja ya kazi ya hiyo antivirus ni kuzuia hackers.
Kwa mujibu wa CrowdStrike imekiri kwamba tatizo hilo lilisababishwa na updating ya programu ya anti-virus inayoitwa Falcon Sensor ambayo imeundwa kulinda vifaa vinavyotumia Operating System ya Microsoft Windows dhidi ya mashambulizi mabaya kama ya hackers.
Kwa hiyo wakati wa kuupdate kukotokea mvurugiko au outage kwa wanaotumia Microsoft Windows.
Upande wa China haikuwa hivyo kwa sababu huduma nyingi hasa katika mashirika ya serikali ziliachana na Microsoft Windows na kutumia China-made Operating System (OS) iitwayo NeoKylin.
Hivyo huduma za usafiri wa anga, benki n.k hazikuathirika.
Hii ni kwa sababu tangu mwaka 2015 China walikuja na mpango wa miaka kumi (2015–2025) unaoitwa Made in China 2025 (MIC25) wa kutotegemea teknolojia za kutoka nje bali kuendeleza na kutumia teknolojia za ndani.
Mojawapo ya eneo lililoguswa ni kujitegemea katika mifumo ya I.T (TEHAMA) hii ilitia ndani kuachana na utegemezi wa Microsoft Windows.
www.jamiiforums.com/threads/made-in-china-2025-mpango-wa-china-wa-kujitegemea-kiteknolojia-wafikia-asilimia-88.2220546/
CREDIT:www.scmp.com/tech/big-tech/article/3271171/microsoft-outage-leaves-china-largely-untouched-tech-self-sufficiency-campaign-pays