ChinaTech: Sehemu kubwa ya China haijaathirika na mvurugiko wa TEHEMA (IT) uliotokea leo duniani kote kwenye Microsoft Windows

ChinaTech: Sehemu kubwa ya China haijaathirika na mvurugiko wa TEHEMA (IT) uliotokea leo duniani kote kwenye Microsoft Windows

Kwahiyo mchina akitaka kutuma kitu USA kitu ambacho mtu wa USA hawezi kupokea kwa wakati hiyo sio hasara?

Vp wasafiri waliotaka kutoka au kwenda China? Hiyo sio hasara.

Zamani TTCL walikua wanamkatia mtu mawasiliano kabisa kama hajafanya malipo, kwa kufanya hivyo hata yule aliyepo hewani nae anakosa mtu wa kumpigia so wote wanakosa mawasiliano. TTCL nao wanakosa mapato. Wakagundua huu ni ujinga

It's a two way street. Fungueni bongo zenu
China ina watu 1.4 billion wote wanahitaji huduma sio lazima iwe na Marekani. Nchi haiwezi kusimama kisa tu mtoa huduma Mmarekani amefeli. Ndio maana walikuja na alternative
 
Si Kweli China pia wanatumia Microsoft windows, kilicho tokea ni issue ya hio Ant virus ulioitaja na sio windows per se, hivyo China haijaathirika sababu haitumii hio Anti virus na sio kwamba China haijaathirika sababu haitumii windows.

Google hii term "Windows 10 Zhuangongban"

Hio ni specific version ya windows 10 ambayo inatumiwa na Serikali ya China, ili China watumie windows Wali demand Microsoft wawape China source code ya windows, na ili Microsoft ku comply na hio demand Waka develop windows kwa ajili ya serikali ya China tu.

China wana Phase out Intel, Amd na Microsoft ila bado kuwa self sustained kwenye hizo software/Hardware.
Urusu hatumii windo 10 ana oparating systeam yake ya astra linux
 
Urusu hatumii windo 10 ana oparating systeam yake ya astra linux
You will be suprised amount of win xp zinazotumika na serikali na Majeshi Duniani

za9nk84l3u191.png

Angalia hio pc ya Putin hapo.

Astral inaweza tumika na Serikali na Windows pia inatumika. Unafikiri kila mtu ni mtaalam wa ku deal na line za linux?
 
You will be suprised amount of win xp zinazotumika na serikali na Majeshi Duniani

View attachment 3046710
Angalia hio pc ya Putin hapo.

Astral inaweza tumika na Serikali na Windows pia inatumika. Unafikiri kila mtu ni mtaalam wa ku deal na line za linux?
Hiyo Desktop isikudanganye mkuu.

Russia waliamua kuachana na Western Products kitambo na ndo wakaunda hiyo Astra Linux ambayo yatumiwa na jeshi hadi watu wa Intel.

Hiyo yaitwa lowering dependence on western products and import substitution industrialization. Hivyo mifumo yake yote ya elimu, afya na huduma zote za serikali zatumia Astra Linux.

Server zake zote zatumia Huawei ya mchina.

Windows XP sasa hivi ni history na Microsoft waliacha kutengeneza Patches tangia 2019 ila kuna nchi kama Armenia bado watumia XP hivyohivyo kwa kuwa na unofficial patches ambazo Microsoft wamesisitiza kuwa zaleta "compatibility issues".
 
China ina watu 1.4 billion wote wanahitaji huduma sio lazima iwe na Marekani. Nchi haiwezi kusimama kisa tu mtoa huduma Mmarekani amefeli. Ndio maana walikuja na alternative

Hakuna nchi imesimama. Disruption zipo ila nchi haisimamai. Tupo USA hapa shughuli zinaendelea kama kawaida.

About 1k flights tu zimekua cancelled worldwide, kwa akili yako ndege zinazoruka kwa siku duniani ni elfu1 tu?

JF, x, fb, tiko tiko nk zote zipo hewani.

Hakuna nchi imesimama. Ni hitilafu tu.
 
Hakuna nchi imesimama. Disruption zipo ila nchi haisimamai. Tupo USA hapa shughuli zinaendelea kama kawaida.

About 1k flights tu zimekua cancelled worldwide, kwa akili yako ndege zinazoruka kwa siku duniani ni elfu1 tu?

JF, x, fb, tiko tiko nk zote zipo hewani.

Hakuna nchi imesimama. Ni hitilafu tu.
Sawa zinaendelea ila kuna maeneo ambayo yameathirika na hiyo outage

From airports and ATM machines to grocery stores and even vending machines! etc

Bado mnatumia TikTok?
 
It is a long process and time consuming.

Ila kama nchi twaweza kuanza kufanyia kazi wazo lako.

Kwa sababu huko mbele litapotokea gharika kubwa la tehama kwa kweli nchi za Afrika zitaja pata shida kubwa.
Self dependence kwenye tech ni muhimu sana hasa kwa upande wa haya mataifa makubwa
 
Sawa zinaendelea ila kuna maeneo ambayo yameathirika na hiyo outage

From airports and ATM machines to grocery stores and even vending machines! etc

Bado mnatumia TikTok?

Wanaotumia tiko tiko Ipo hewani kama ada. Kama JF ilivyo hewani pamoja na changamoto zinazoendelea.
 
Crowdstrike wanafanya kazi na deep state ya Marekani

Leo walikuwa wanakusanya taarifa za watumiaji mbalimbali duniani

This is a cyber attack iliyobarikiwa na serikali ya Marekani sio ya kuichukulia poa
Upo sahihi hata mimi nimewaza hivyo hivyo...
Kama inaweza kutokea hitilafu huko makao makuu ikaathiri Duniani kote basi hakuna usalama wa Data za mtumiaji yeyote wa vifaa vinavyotumia OS za Windows Duniani.
 
Watu wengi wakisikia neno "Self Dependence" hushangaashangaa tu.
Kwa siku 4 viongozi wa CPC walikuwa na mkutano na hawajaruhusu media yoyote kupata taarifa ya kikao hicho cha siri. Ila mojawapo ya ajenda ilikuwa ni

šŸ”¹Focus on education, talent, science & technology

Linapokuja suala la self dependence kwenye sci-tech China wako serious sana
 
Back
Top Bottom