Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
🙅♂️Ubuntu yetu tu tumeipotezea, si rahisi kukuta mtu ofisini anaitumia kwa application za kazi za kawaida. Windows tamu, you will never walk alone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙅♂️Ubuntu yetu tu tumeipotezea, si rahisi kukuta mtu ofisini anaitumia kwa application za kazi za kawaida. Windows tamu, you will never walk alone
Kwani apple waliharibokiwa?
kwamba china imejitenga na dunia ndio maana haijaathirika?
International Transactions za bank zilkuwa fresh tu..
Ndege zimetua Europe kutokea china bila shida..
Msemaji, tuwekee taarifa ya serikali ya china inayothibitisha kauli yako.
Wewe ndio mtaalamu hapa umemaliza tuachane na wajamaa wa china wanaoililia USA kila siku, wanataka credit za bure wakati hawastahiliSi Kweli China pia wanatumia Microsoft windows, kilicho tokea ni issue ya hio Ant virus ulioitaja na sio windows per se, hivyo China haijaathirika sababu haitumii hio Anti virus na sio kwamba China haijaathirika sababu haitumii windows.
Google hii term "Windows 10 Zhuangongban"
Hio ni specific version ya windows 10 ambayo inatumiwa na Serikali ya China, ili China watumie windows Wali demand Microsoft wawape China source code ya windows, na ili Microsoft ku comply na hio demand Waka develop windows kwa ajili ya serikali ya China tu.
China wana Phase out Intel, Amd na Microsoft ila bado kuwa self sustained kwenye hizo software/Hardware.
Walikuwa wakikusanya ilhali CrowdStrike wana wateja zaidi ya 24,000 Duniani kote?Crowdstrike wanafanya kazi na deep state ya Marekani
Leo walikuwa wanakusanya taarifa za watumiaji mbalimbali duniani
This is a cyber attack iliyobarikiwa na serikali ya Marekani sio ya kuichukulia poa
Source : Kituo Cha Daladala Simu2000.Crowdstrike wanafanya kazi na deep state ya Marekani
Leo walikuwa wanakusanya taarifa za watumiaji mbalimbali duniani
This is a cyber attack iliyobarikiwa na serikali ya Marekani sio ya kuichukulia poa
Si Kweli China pia wanatumia Microsoft windows, kilicho tokea ni issue ya hio Ant virus ulioitaja na sio windows per se, hivyo China haijaathirika sababu haitumii hio Anti virus na sio kwamba China haijaathirika sababu haitumii windows.
Google hii term "Windows 10 Zhuangongban"
Hio ni specific version ya windows 10 ambayo inatumiwa na Serikali ya China, ili China watumie windows Wali demand Microsoft wawape China source code ya windows, na ili Microsoft ku comply na hio demand Waka develop windows kwa ajili ya serikali ya China tu.
China wana Phase out Intel, Amd na Microsoft ila bado kuwa self sustained kwenye hizo software/Hardware.
CrowdStrike watumia Falcon ndo program yao mama katika kufanya monitoring ya matishio (Threats) kwenye mifumo ya Tehama.Microsoft wanafanya kazi na kampuni ya kubtengeneza antivirus ya CrowdStrike moja ya kazi ya hiyo antivirus ni kuzuia hackers
Kwa mujibu wa Crowdstrike imekiri kwamba tatizo hilo lilisababishwa na updating ya programu hiyo ya anti-virus ambayo imeundwa kulinda vifaa vinavyotumia Microsoft Windows dhidi ya mashambulizi mabaya kama ya hackers
Kwa hiyo wakati wa kuupdate kukotokea outage
Sasa mkuu huyu mwandishi katoa maoni yake juu juu tu ...lkn uhalisia unabaki kuwa dunia yte imeathirikaSoma credit mwishoni mwa uzi
CrowdStrike watumia Falcon ndo program yao mama katika kufanya monitoring ya matishio (Threats) kwenye mifumo ya Tehama.
Hivyo kikiwa na shida (malfunctions) kwenye hii Falcon hiyo itaathiri mifumo yote na hichi ndicho kilotokea.
Sasa mkuu huyu mwandishi katoa maoni yake juu juu tu ...lkn uhalisia unabaki kuwa dunia yte imeathirika
kwamba china imejitenga na dunia ndio maana haijaathirika?
International Transactions za bank zilkuwa fresh tu..
Ndege zimetua Europe kutokea china bila shida..
Msemaji, tuwekee taarifa ya serikali ya china inayothibitisha kauli yako.
Tatizo Falcon ina nguvu sana imepewa nafasi ndani ya PC hiyo ni hatari sana. Yaweza kufanya itakavyo na ikaimauru PC kufanya lolote.Falcon Sensor
Ndani ya China huduma ziliendelea kama kawaidaDunia ni kijiji, tunategemeana. Kiwanja cha ndege kilichopo Ulaya kikifungwa kwa muda, hata ndege za shirika la ndege la China hazitatua. Vivyo hivyo, kiwanja cha ndege kilichopo China kikiwa kipo wazi, bado hakuna ndege za mashirika ya Ulaya zitakazoenda China
Wanafanya kazi na serikali ya Marekani kwenye issue za cybersecurityWalikuwa wakikusanya ilhali CrowdStrike wana wateja zaidi ya 24,000 Duniani kote?
Sema nyuma ya pazia wamezuia isisemwe kuwa hili lilikuwa ni shambulizi la kimtandao la majaribio ambalo limelenga kuona "Resilience and Continuity" itawezekana vipi.
Wenzetu bado wako kwenye ile "The Big Reset" hivyo hii outrage ni kama vile pandemic zingine zilotokea.
SawaSource : Kituo Cha Daladala Simu2000.
Hapo la kujifunza ni kwamba wachina wamefanyafanyaje kuwa na mifumo yao ya kipekee kabisa lakini ni ileile kutoka hukohuko USA.Ndani ya China huduma ziliendelea kama kawaida
Sababu Kuna Computer zinatumia Kylin haimaanishi China hakuna Computer za Serikali zisizo tumia Windows, Zote Kylin, Windows na Neo kylin (Ubuntu) zinatumiwa na Serikali ya China.Umesoma uzi umeuelewa?View attachment 3046706
Soma kilichoandikwa kwenye uzi:
"Upande wa China haikuwa hivyo kwa sababu huduma nyingi hasa katika mashirika ya serikali ziliachana na Microsoft Windows."
Hii ndio OS inayotumiwa na serikali ya China
Kwa hiyo mashirika yasiyo ya kiserikali kama private companies kuna ambao wanatumia Microsoft Windows