Uchaguzi 2020 Chini ya CHADEMA, elimu ya msingi itakuwa miaka tisa

Uchaguzi 2020 Chini ya CHADEMA, elimu ya msingi itakuwa miaka tisa

Ni kweli mhitimu wa darasa la saba anatakiwa atoke na ujuzi wa ufundi na ujasiliamali ili apambane na mazingira yanayomzunguka... kuna kipindi Mwalimu Nyerere alianzisha FDC ambayo wenzetu waliokuwa hawachaguliwi darasa la saba basi walijiunga na vyuo hivi vya ufundi stadi kwa bei chee nafikiri karibu na bure - vilikuwa kila wilaya.

Hongera CDM kwa Sera nzuri ya Elimu - kwa mfano vijana wanaomaliza darasa la saba kwa sasa at age ya 14 - 15 ambao hawaendeei na masomo hawana mfumo rasmi ambao unawatambua na wanatakiwa kwenda kujiunga nao, so at that very young age, wanaishia mijini kufanya kazi za uyaya na u bamedi na wavulana kuuza masharti na soksi mabarabarani.

Serikali ina wajibu wa kuwalinda hawa watoto kwa kuwapa mfumo bora wa elimu itakayowawezesha kujifunza Ujuzi wowote ili kupambana na hali ya maisha na si kuwaacha wanarandaranda mitaani - hawa bado ni watoto wa Serikali. (Umma)
 
..Nimeuliza toka shule ya msingi mpaka chuo kikuu ni miaka mingapi?

..ukiweza kutupatia majibu ndiyo sasa tutaweza kusema vijana wetu watazeekea mashule au la.
Sasaa kama na wewe huelewi shule ya msingi ya Tanzania wanaaanza wakiwa na umri ganiii? Siuko kwenye dhiki Kali kwelii.
 
Ni kweli mhitimu wa darasa la saba anatakiwa atoke na ujuzi wa ufundi na ujasiliamali ili apambane na mazingira yanayomzunguka... kuna kipindi Mwalimu Nyerere alianzisha FDC ambayo wenzetu waliokuwa hawachaguliwi darasa la saba basi walijiunga na vyuo hivi vya ufundi stadi kwa bei chee nafikiri karibu na bure - vilikuwa kila wilaya.

Hongera CDM kwa Sera nzuri ya Elimu - kwa mfano vijana wanaomaliza darasa la saba kwa sasa at age ya 14 - 15 ambao hawaendeei na masomo hawana mfumo rasmi ambao unawatambua na wanatakiwa kwenda kujiunga nao, so at that very young age, wanaishia mijini kufanya kazi za uyaya na u bamedi na wavulana kuuza masharti na soksi mabarabarani.

Serikali ina wajibu wa kuwalinda hawa watoto kwa kuwapa mfumo bora wa elimu itakayowawezesha kujifunza Ujuzi wowote ili kupambana na hali ya maisha na si kuwaacha wanarandaranda mitaani - hawa bado ni watoto wa Serikali. (Umma)
Hizo shule za kuanza darasa la kwanza mto to akiwa amebarehe na kuvunja ungo mtasomesha watoto wenu hukohukoooo,
Ndiomaaaanaa mlisimamisha mishipa saana watoto washule za msingi wazalishwe wakiwabado wako masomoni, kumbe na mkakati wakuwasomesha wakiwa wamevunja ungo mlishaandaa tayariiiii.
Poleni saana.
 
..toka darasa la kwanza mpaka chuo kikuu ni miaka mingapi?

..hilo ndilo suala la msingi na kuuliza hapa.

NB:

..kuna nchi shahada ya kwanza ni miaka 3.

..kwingine shahada ya kwanza ni miaka 4.
Huwa inakuwa miaka 18 kwa maana ya
7, 4, 2, 3/4/5. Plus 1 ya shule ya swali so almost 9 years.
 
Huwa inakuwa miaka 18 kwa maana ya
7, 4, 2, 3/4/5. Plus 1 ya shule ya swali so almost 9 years.

..asante sana.

..lakini huo ni mfumo ambao uko sasa hivi.

..sasa hivi ni miaka 13 toka darasa la kwanza mpaka kuingia/kuanza chuo kikuu.

..kuna baadhi ya nchi unasoma miaka 12 ndipo unapata nafasi kuingia chuo kikuu.

..ninachotaka kujua mfumo unaopendekezwa ukoje? Unachukua miaka mingapi toka darasa la kwanza mpaka kuingia chuo kikuu?

NB:

..Nazungumzia kuingia, sio kumaliza chuo kikuu.
 
una miaka 4 uko chekechea???? mtu ana miaka 16 ashaanza kupokea mshahara mbele, wengine washasajiliwa mpaka club kubwa! kwan mna kwama wap cdm
kuna mtanzania anaitwa Neema Sumari miaka 24 ame graduate Phd uko kwa wenzetu, sisi tunawaza kumkaririsha mtoto miaka tisa primary, mambo ya hovyo kabisa. kwanini wasingemtafuta kishimba akawashauri?
 
Nimeisoma ilani ya CHADEMA sura ya tano ibara ya saba kifungu "e" nimekiambatanisha hapa chini, kinasema ili kuboresha elimu shule ya msingi itakuwa miaka tisa, binafsi ningependa shule ya msingi iwe miaka mitano, lengo la shule ya msingi kama lilivyo ainishwa na Friedrich Froebel ni kumuandaa mtoto kuanza maisha ya elimu na sio kumpa stadi za maisha.

Halafu kifungu "f" wanasema wata integrate na elimu ya ufundi yaani mwanangu anapenda kuwa daktari unaanza na kumfundisha uchomeleaji vyuma, naona sio sawa. Hebu tuiache elimu kama ilivyoasisiwa na akina Friedrich Froebel na Johann Friedrich Oberlin. Pamoja na kasoro ndogondogo ilani ina mambo mazuri pia ni bora wakatumia muda wao kuyaelezea.View attachment 1556345
Nursery 2 years + primary 7 years = 9 years.

Kwa sasa kuna wanaosoma 7 years (hakuna shule ya awali)
Wengine 8 years = Shule ya awali mwaka mmoja
Wengine 9 years = Shule ya awali miaka miwili
Wengine 10 years = Shule ya awali miaka mitatu.

Wazo la 9 years litafanya watoto wote wasome shule za awali
 
..hao ni wale ma-GENIOUS.

..mtoto wa kawaida anakwenda hivyo nilivyokueleza.

..sisi miaka yetu watoto walikuwa wanaanza darasa la kwanza wakiwa na miaka 9.

..tulikuwa tunapimwa kwa kushika sikio; mkono wa kulia uguse sikio la kushoto ndipo uandikishwe shule.


mkuu elimu ni direction tu sio sheria, ukubwa wa elimu unaanza pale unapomaliza shule ndo unajua alieelimika na aliemeza mitihani
 
..asante sana.

..lakini huo ni mfumo ambao uko sasa hivi.

..sasa hivi ni miaka 13 toka darasa la kwanza mpaka kuingia/kuanza chuo kikuu.

..kuna baadhi ya nchi unasoma miaka 12 ndipo unapata nafasi kuingia chuo kikuu.

..ninachotaka kujua mfumo unaopendekezwa ukoje? Unachukua miaka mingapi toka darasa la kwanza mpaka kuingia chuo kikuu?

NB:

..Nazungumzia kuingia, sio kumaliza chuo kikuu.
kulingana na chapter 5.7 kifungu "E" cha ilani yao wanazungumzia elimu ya msingi, na kifungu f wanasema wataiunganisha na veta, mambo ya kijinga tu.
 
Nursery 2 years + primary 7 years = 9 years.

Kwa sasa kuna wanaosoma 7 years (hakuna shule ya awali)
Wengine 8 years = Shule ya awali mwaka mmoja
Wengine 9 years = Shule ya awali miaka miwili
Wengine 10 years = Shule ya awali miaka mitatu.

Wazo la 9 years litafanya watoto wote wasome shule za awali
kimsingi mtoto ananza vidudu akiwa na umri wa miaka mitatu na anasoma miaka miwili. anasoma chekechea akiwa na miaka mitano anasoma miwili then anaanza darasa la kwanza akiwa na miaka sita hasa kwa watoto wanaosoma private school, kasoro shule za wakatoliki muda mwingine humlazimu mtoto kusoma pre-primary hivyo anaanza primary na miaka saba.
 
kuna mtanzania anaitwa Neema Sumari miaka 24 ame graduate Phd uko kwa wenzetu, sisi tunawaza kumkaririsha mtoto miaka tisa primary, mambo ya hovyo kabisa. kwanini wasingemtafuta kishimba akawashauri?
Elimu ya "msingi" umeelewa maana yake?
 
..asante sana.

..lakini huo ni mfumo ambao uko sasa hivi.

..sasa hivi ni miaka 13 toka darasa la kwanza mpaka kuingia/kuanza chuo kikuu.

..kuna baadhi ya nchi unasoma miaka 12 ndipo unapata nafasi kuingia chuo kikuu.

..ninachotaka kujua mfumo unaopendekezwa ukoje? Unachukua miaka mingapi toka darasa la kwanza mpaka kuingia chuo kikuu?

NB:

..Nazungumzia kuingia, sio kumaliza chuo kikuu.
Ningekua nipo kwenye vyombo vya uamuzi, ningeifuta elimu ya form five na six, mtu akimaliza form four wenye ufaulu mzuri wanachagua kada zakusomea mfano uhandisi , hio miaka miwili inakuwa nimiaka yamkujenga mtu kwa practical tu, mfano mtu anataka kusomea uhandisi wa magari, Basi anaenda miaka miwili yote kujifunza namna magari yanavyotengenezwa,kama niumeme pia anajifunza namna umeme unavyozalishwa kuanzia mwanzo mpaka mwisho kwa vitendo, kama niujenz pia namna ujenz unavyofanywa kuanzia mwanzo mpaka mwisho, kisha baada yahapo wanafanya mtihani wavitendo tu, watakao faulu wanaenda vyuo vikuu kusoma theory and designing. kwa miaka mitatu, pia unawamonitor wanafunzi kwa mwaka mwingine mmoja wa vitendo baada yahapo wanahitimu, nimezungumzia kada ya uhandisi kwa sababu ndio naifaham vizuri na nafaham mapungufu mengi yaliyopo pamoja na bodi ya Engineers namna inavyoshindwa kusaidia wahitimu.

Pia elimu yamsingi ingekua miaka 6 tu.

Elimu yasasa eti chuo miaka minne ndani yahio minne, field mtu anaenda miezi 8 kwa nn basi wasingefanya theory miaka 3 Kisha baada yahapo waende mwaka mzima field huku wakiwa wanalipwa naserikali fedha zakujikim na nauli. Kisha baada yahapo kule wanakofanya kazi ndani yahuo mwaka mmoja kama wakilizika namtu namna anavyofanya kazi wanaweza mbakisha akapata ajira, wale wasioweza kupata furusa ya ajira kwa sababu uliwajengea uwezo wakifanya kazi miaka miwili kwa vitendo wanaweza rudi wakajiajiri kwa taaluma yao.

Mtu kajengwa miaka 18 shule anarudi ukamwambia eti ajiajir kuuza chips, kwa nini usiwasaidie kama niwahandisi wajiajiri katika uhandisi, maana miaka 18 nisawa namtu anafanya uwekezaji katika elimu, halafu baada yahapo unamtoa katika alichowekeza kwa muda wote huo Kisha unamwambia auze chips ,Mind set yake huyo mtu itakuwaje?.
 
Mimi nimeanza shule "vidudu" na miaka 4,sema kwa vile kwetu ni masupa toluu,mkono ulikuwa unashika sikio vizuri sana.

..halafu ccm inataka kurudisha JKT.

..Ni afadhali vijana wafundishwe ufundi na stadi nyingine mashuleni ili kusiwe na ulazima wa kwenda JKT.
 
..asante sana.

..lakini huo ni mfumo ambao uko sasa hivi.

..sasa hivi ni miaka 13 toka darasa la kwanza mpaka kuingia/kuanza chuo kikuu.

..kuna baadhi ya nchi unasoma miaka 12 ndipo unapata nafasi kuingia chuo kikuu.

..ninachotaka kujua mfumo unaopendekezwa ukoje? Unachukua miaka mingapi toka darasa la kwanza mpaka kuingia chuo kikuu?

NB:

..Nazungumzia kuingia, sio kumaliza chuo kikuu.
mkuu Joka Kuu mfumo huu wa 2+7+4+2+3/4/5 upo kwenye sera ya elimu ya mwaka 1996 pamoja na sera ya elimu ya mwaka 2007.

lakini 2014 serikali iliandaa sera mpya ya elimu ambayo inataka watoto wasome shule ya Msingi kwa miaka 9 mpaka 10 ili kuendana na takwa la makubaliano ya UNESCO na ILO.

hivyo sera mpya ya elimu inataka elimu ya msingi kuwa miaka 9 mpaka 10 na hili liko kwenye utekelezaji wa serikali yenyewe.

hivyo ilani ya CHADEMA iko sawa kulingana na hitaji la ulimwengu wa sasa na sera ya elimu ya taifa.
 
Back
Top Bottom