Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya karibu upate uzoefu, au unahitaji mwenyeji?Hili jukwaa linaonekana kwenye forum list tu hivyo hata U20 kama miye tunaingia tu.
InategemeaWewe huwa unakubali haraka au unazungusha zunguha kidogo ?
Unajua mtongozaji hawezikutongoza kama hakuna mtongozwaji[emoji28][emoji28]Mmmh unataka utongozwe ? Wewe ni Me au Ke?[emoji3]
Wewe una maoni gami hapo. Tuwaelewaje wa haraka au wa kalendaMmh..haya
Nop siwezi kupotea humu,ntajifunza hata bila mwenyeji🙏Haya karibu upate uzoefu, au unahitaji mwenyeji?
😂😂😂 "ni nani mtongozaji masia" in picha la yesu voice'sUnajua mtongozaji hawezikutongoza kama hakuna mtongozwaji[emoji28][emoji28]
[emoji3][emoji3]basi karibu, unataka kuingia mpaka chumbani au utaishia sebuleni?Nop siwezi kupotea humu,ntajifunza hata bila mwenyeji[emoji120]
Naonaga wengine ndo wanajisifia hivyoMmmh unataka utongozwe ? Wewe ni Me au Ke?😀
Wewe kama unataka mtongozo sema niwaite watongazaji waje[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] "ni nani mtongozaji masia" in picha la yesu voice's
Ok kumbe ulikua unaongelea nafsi ya pili uwingi sawa 🙂Naonaga wengine ndo wanajisifia hivyo
Naishia nje tu mlangoni,huko kwingine ntakuwa nasogea taratibu.[emoji3][emoji3]basi karibu, unataka kuingia mpaka chumbani au utaishia sebuleni?
Hapana mkuu mimi nimeshamaliza kutongozana sikunyingi sana.Wewe kama unataka mtongozo sema niwaite watongazaji waje[emoji16]
Haya pouwaNaishia nje tu mlangoni,huko kwingine ntakuwa nasogea taratibu.
Kutongozana au kutongozwa?Hapana mkuu mimi nimeshamaliza kutongozana sikunyingi sana.
Huo ni unyambulishaji tu kwenye lugha maana iko palepale si kutongoza, kutongozwa, kutongoziana, kutongozana yote sawa.Kutongozana au kutongozwa?
Haya mama hongeraHuo ni unyambulishaji tu kwenye lugha maana iko palepale si kutongoza, kutongozwa, kutongoziana, kutongozana yote sawa.