Chini ya utawala wa Magufuli, Taifa limepata hasara ya mabilioni na pia upotevu mkubwa wa fedha uliozua utata

Chini ya utawala wa Magufuli, Taifa limepata hasara ya mabilioni na pia upotevu mkubwa wa fedha uliozua utata

Stupid! Cooked stories from same people. Tunajua Chadema mliumia na mengi ila hapa hatutoangalia sura bali nani anasimama na ukweli bila hila. Mtaelewa baadae ...

Nilijua na wewe ni CHADEMA. Sio?
 
We Kenge..umesahau EPA, ESCROW, IPTL, TWIGA, GAS ILIOUZWA WA WACHINA, WATUMISH HEWA, DAWA ZA KULEVYA, RICHMOND.
Kaa kimya..leo tunaona madaraja, flyover, meli zilizonunuliwa, ukarabati wa shule kongwe, viwanja vya ndege, ndege 11..watoto wamasoma buree..
Wakat hizo pesa za escrow zilipopigwaa hayo yote hayakuwepo.
Kaa kimyaa nyau kabisaa ww..

Bila shaka ukinikabidhi shillingi milioni 100 nikujengee nyumba, nikajenga ya milioni 50 na kukukabidhi, utaipokea na kunisifu sana kwa vile nyumba “unaiona”, sio?
 
We Kenge..umesahau EPA, ESCROW, IPTL, TWIGA, GAS ILIOUZWA WA WACHINA, WATUMISH HEWA, DAWA ZA KULEVYA, RICHMOND.
Kaa kimya..leo tunaona madaraja, flyover, meli zilizonunuliwa, ukarabati wa shule kongwe, viwanja vya ndege, ndege 11..watoto wamasoma buree..
Wakat hizo pesa za escrow zilipopigwaa hayo yote hayakuwepo.
Kaa kimyaa nyau kabisaa ww..
Uwazi na uhuru wa vyombo vya habari pamoja na bunge imara lisiloingiliwa na serikali vilifanya ujue haya yote chini ya jakaya. Ila awamu ya tano tumeona vyombo vya habari na upinzani ukiminywa pia uwazi ulikosekanika kabisa. Tungeyajulia wapi hayo hakuna ruhusa hata ya kufanya takwimu wala mikutano ya kisiasa.
 
Hiyo mirad inaoperate au haioperate? Meli zinasafirisha watu hazisafirishi? Viwanja vya ndege havijakarabitiwa? Shule watoto hawasomi bure?? Vituo vya afya havipo? Acha ushamba mzee..heri utuibie wakat huo huo tunaona tunapata huduma za kijamii hata kama sio bora lakin ni heri kuliko kuzikosa kabisa..awamu zilizopita hela zilikuwa zinapigwa na bado watu wanalia huduma mbovu za serikal..ww ni mmoja kati ya watz wajinga ambao mwalimu asisitiza tuuondoe huo ujinga ila ww bado uko nao mwingi mno.
I am very dissappointed by your views. I gues if you are a graduate probably you are from Yohana University. You are completely incompatible with the current trend especially in the economic percel.

Aisee. Nimeona hoja yako kwamba JPM alituibia naye lakini alituletea maendeleo. Sawa.

Tatizo linalojitokeza sasa ni kuwa aliingia kwa ukali sana na kudai tumeibiwa sana katika awamu zilizopita. Kwamba yeye amekuja kuinyoosha nchi na kufagia ufisadi na mafisadi wote na kuhakikisha nchi inaendelea na inaweza hata kuwa donor country.

Alisimamisha haki nyingi za watumishi wa umma na wananchi kwa ujumla hadi kazi ya kusafisha nchi ikamilike. Na alidai katoa maisha yake mhanga kupambana na mafisadi kwa ajili ya wanyonge wa nchi hii.

Duniani kote alijulikana kama “a no nonsense anti corruption, anti graft” president.

Bila shaka utaelewa, kwa nini watu wanashangaa kujua kuwa hata yeye alikuwa “mpigaji”. Labda isiwe kweli.
 
Back
Top Bottom