Chips zina nguvu kuliko ugali

Kwenye kombe la dunia timu za wala ugali (African) ndio legelege na zinakata pumzi fasta, za kizungu ndio zinatawala

Imagine Timu ya wala ugali (Tanzania) ipambane na timu ya wazungu (Ujerumani)
 
ebu tupe reference ya hivo vizio vyako
 
Mbona wasukuma wako vzr sana kinguvu za mwili ukilinganisha na wanaume wa dsm.

Hoja yako mbona haijakaa sawa.

#MaendeleoHayanaChama
Katazame ugali anaokula msukuma katazame na ugali wanaokula wanaume wa dsm ndio uje kulinganisha hivyo vitu hp
 
Reactions: Cyb
Unalingaisha nguvu ya viazi vibichi na vilivokaangwa na mafuta (achilia mbali ya transformer)
 
Aisee wengine bila kula Ugali tunaona kama hatujala...
 
Ngoja mkuu HAYA LAND na instanbul waje akupige ndoige [emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…