Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Hahaha hana hio ni Mali ya kampuniBasi tuambie formula ya kutengeneza Pepsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hana hio ni Mali ya kampuniBasi tuambie formula ya kutengeneza Pepsi
Hayo umeyasema wewe😅Wanapika huku wanapigana mkuyege
Na uswahilini utamuuzia nani?Ntakuwa napunja kama wao
Kujua viwango ndo kipengeleNdio maana ikaitwa secret recipe hata kuku wao huoni ladha tofauti?
Unaweza kujua wanaweka nini ila weka wewe sasa
Hebu fanya jaribio hili kwa watu wawili wape viungo sawa na hata mafuta na kiasi kimoja
Yaani vyote vifanane halafu waambie wapike lazima utaona utofauti ingawa kila kitu ni kile kile hapo ndio inaingia siri ya mapishi mkuu
Kweli kabisa na hapo ndio wengi wanakimbiwaKujua viwango ndo kipengele
Inawezekana maana chips za kina ChoiceVariable kama viazi vya kuchemsha tu.Viazi vinatoja south africa vule sio hivi vya mbeya
Mama nitilie wa bongo Royco mchuzi mix na nazi tu vinatosha.Kweli kabisa unachosema ila la kuongezea tu sisi tunajua viungo tulivyo navyo na tulivyozoea tu na hakuna wa kujiongeza
Kuna msomali nilimuona youtube jamaa kasoma nje kaamua kwenda kenya na kuchukua shamba kubwa na amelifanya la kumwagilia
Amepanda Celery, parsley, Dill, caraway, coriander na vingine nimesahau
Yaani kwa sasa anasafirisha uk na Germany
Sasa hata sisi tungevitambulisha nchini kwa wingi mpaka mama ntilie na mahotelini wakatumia nafikiri mapishi na ladha ingebadilika kabisa
Aise viungo vinabadili dish
Duh ata mm naonMwachi unaona kila kona nipo? Mm msaka Tonge tu..
Hii kazi nilipiga miez kadhaa nikaacha. Nilisota sana na hii kaz ya upishi.. ujinga wa zanzibar mahotelini makubwa sana mishahara midogo tu laki 3 mpaka 4.5Ahaha
Duh ata mm naon
Weka picha hapaWadau naomba kufahamu kama kuna anaejua chips zile zinatengenezwaje sio kwa utamu ule.
Nataka kukaangaa mithili ya KFC ili niuze sana uswahilini
Shukran
Ah kuna watu wapo wanalipwa lk2 tyHii kazi nilipiga miez kadhaa nikaacha. Nilisota sana na hii kaz ya upishi.. ujinga wa zanzibar mahotelini makubwa sana mishahara midogo tu laki 3 mpaka 4.5
Ah kuna watu wapo wanalipwa lk2 ty
DarDar au? Zanzibar sheria ziko straight kwenye mishahara yao mana kuna bodi zinawapigania
Dar Food production haina hela mana hata watu wa restaurant awaited, mawaitres mabarman na barlady wanalipwa mpaka 150. Zanzibar sekta hii ni kubwa sana. Huku resta analipwa elf 5 kwa siku na hakuna tip wala nnHapa
Dar
Kwahy unatushauri nini sisi vijana wasakatongeDar Food production haina hela mana hata watu wa restaurant awaited, mawaitres mabarman na barlady wanalipwa mpaka 150. Zanzibar sekta hii ni kubwa sana. Huku resta analipwa elf 5 kwa siku na hakuna tip wala nn
Nenden sauzi afrika au kuwen mawinga tuKwahy unatushauri nini sisi vijana wasakatonge
Ahaahah iyo winga ipo poaNenden sauzi afrika au kuwen mawinga tu
Njaa tu! Mawinga tunajuta kuzaliwa 😆Ahaahah iyo winga ipo poa
hahha acha uongNjaa tu! Mawinga tunajuta kuzaliwa 😆