Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Mkuu angalia process ya kutengeneza Frozen fries . Kikawaida KFC wananunua hivyo viazi kama sijakosea vinatoka Egpty kwa huku kwetu, kuna Mashine ina Menya then inakata halafu inachemsha ama kukaanga kidogo sana kama sekunde kadhaa kuua wadudu halafu vinaingia kwenye Freezer kugandishwa.Wadau naomba kufahamu kama kuna anaejua chips zile zinatengenezwaje sio kwa utamu ule.
Nataka kukaangaa mithili ya KFC ili niuze sana uswahilini
Shukran
Kutoka hapo ndio vinauzwa sasa kwenye Makampuni kama KFC, Mc donald na wengineo.
Kuelewa Zaidi tembelea supermarket yoyote nenda upande wa MA fridge/freezer tafuta hizo frozen fries nunua halafu kakaange nyumbani.
Zipo kama hivi
So utofauti na chips za kawaida mtaani ni huko kuchemsha kidogo na kuzigandisha kabla ya kuzikaanga.