Coffee
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,304
- 1,312
Kabisa kabisa. Ajiongeze kwa kweli.Mama yako kuna kitu anafanya siyo bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kabisa. Ajiongeze kwa kweli.Mama yako kuna kitu anafanya siyo bure.
[emoji23][emoji23][emoji23]Na wakwako ni mchawi pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kwa sababu Taifa linaongozwa na Mama mwenye laana.
View attachment 2195614
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejuaje wakati humjui jamani
Mama angu sio mchawi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani nimefuatilia tangu kipindi nasoma, siku nikimuambia tarehe ya mitihani huwa ananiambia ataniaombea, huo mtihani hata kama ni mrahisi lazima nifeli. Siku nisipomuambia nitafauli hata kama huo mtihani ni mgumu
Michongo mingi ya kitaa nikimshirikisha lazima iende tofauti.
Mwaka huu nimekuja kuhitimisha kwamba mawazo yangu ni sahihi baada ya kufanya jaribio hili; Nimemshirikisha kwamba nitaotesha alizeti ekari 2 kwenye shamba la nyumbani akaniunga mkono. Nikanunua mbegu ya alizeti inayotosha ekari 4 nikaotesha ekari mbili hapo nyumbani, then nikaotesha ekari 2 kwa siri kwenye shamba la kukodi hapo jirani na shamba letu. Cha ajabu ile ya shamba la nyumbani haikuota lakini ile niliyootesha kwa siri imeota yote na inaendeleanvizuri kabisa. Kumbuka haya mashamba yamekaribiana sana; jiografia ni moja na tabia ya nchi ni moja. Hapo ndipo ni kahakikisha kwamba mawazo yangu ya mda mrefu ni ya kweli.
Mafya wa kiroho.Pole sana, mama ni mafya...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We Kuna kitu unataka kusema kuhusu bi mkubwa wako, Ila unataka ututumie sisi kutamka.
[emoji23][emoji23][emoji23]kimavi kinakuaje? toa mifano mwamba
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaahh we jamaaa , Dinazarde pole kwa hii shida 🤣🤣Na wakwako ni mchawi pia
Mshukuru Mungu umejua, kuna watu wamebeba roho za mauti kwa kujua au bila wao kujua.Namshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.
Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.
Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.
Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.
Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.
Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.
Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.
Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.
sana, unaweza tembea barabarani ukakwapuliwa simu na kibaka ukadhani ni tukio nasibu tu, kumbe kuna mtu mahali kashakushughulikia!Kuzimu teknoliji ni pana sana
Kuna wakt nilimshirikisha rfk angu San mshikaji wangu kuhusu kuanza ujenzi wa nyumba yangu Arusha kule na Ni yey peke ake nimemuambia uwezi amini sjijanga hyo nyumba mpk sasHata kitu ukiwaambia marafiki au ndugu huwa hakifanikiwi sijui kwanin
AhahahahMimi pia nina tatizo hili. Ni mwaka wa pili tangu nifahamu kwamba Kila ninachomshirikisha mama kinafeli. Kwa sasa najikusanya nihame mkoa kwa siri na kamwe sirudi hata nikisikia amefariki siji kumzika.
Nimejaribu ku Link dots hata huu umaskini unaotuandama unasababishwa na yeye.
Wapyempyi duuHata kitu ukiwaambia marafiki au ndugu huwa hakifanikiwi sijui kwanin
Jamaa kanichekesha kinoma[emoji23][emoji23][emoji23] umejuaje wakati humjui jamani
Mama angu sio mchawi
Kweli aisee bujibuji uko vizuri.Inanikumbusha kisa cha Isaka na Yakobo. Mzazi anaweza kuiba baraka zako usifanikiwe
Nakuja unitabirie.wewe ni nabiiInanikumbusha kisa cha Isaka na Yakobo. Mzazi anaweza kuiba baraka zako usifanikiwe