Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

Hata kitu ukiwaambia marafiki au ndugu huwa hakifanikiwi sijui kwanin

Jambo lako lifanye watu washtukie wanaliona tu bs Ndio dawa...
Mtu wa kumshirikisha ni mumeo tu au mkeo bs kama mna maelewano mazuri..
 
Mwaka huu nimekuja kuhitimisha kwamba mawazo yangu ni sahihi baada ya kufanya jaribio hili; Nimemshirikisha kwamba nitaotesha alizeti ekari 2 kwenye shamba la nyumbani akaniunga mkono. Nikanunua mbegu ya alizeti inayotosha ekari 4 nikaotesha ekari mbili hapo nyumbani, then nikaotesha ekari 2 kwa siri kwenye shamba la kukodi hapo jirani na shamba letu. Cha ajabu ile ya shamba la nyumbani haikuota lakini ile niliyootesha kwa siri imeota yote na inaendeleanvizuri kabisa. Kumbuka haya mashamba yamekaribiana sana; jiografia ni moja na tabia ya nchi ni moja. Hapo ndipo ni kahakikisha kwamba mawazo yangu ya mda mrefu ni ya kweli.
Hatari sana, sasa nimeamini wewe kweli ni fearless fighter
 
Pole sana ! Omba kwa ajili ya vita iliyopo ndani yenu kupitia mama Yako mzazi ! Mungu akuongoze zaidi ...akupe maarifa na hekima zaidi jinsi ya kuamuaa na kuhakikisha usimukwaze mama !! AU AKIJA SEHEMU YOYOTE SEMA MANENO HAYA KIMOYO MOYO "Mungu najua wewe unawajua wazuri wangu na wabaya wangu,Na vunja roho ya uharibifu kwa kile chocolate nilichokianzisha kwa jina la Yesu kristo Amen" .... Mkaribishe kwa Tabasamu lote ila Imani iweke kwa Muumba wako !!
mkuu unapenda sana chocolate eeenh?
 
If you believe in God, Mlaani shetani na upambane kutoa sadaka na kufanya amali njema.

Usiruhusu mawazo ya kishirikina. That is your Mom for crying out loud.

Huyo Kaka yako teja Mama yako kumpenda haimaanishi anything other than a Mother's pure love for her kids na ukizingatia hali ya kaka yako.

Praying for you and your Mom.
Kujifanya kama huamini ushirikina upo wakati hata kwenye maandiko matakatifu umeandikwa na umesha elezwa katika visa vingi tu hakika wewe utakuwa unataka kutuzingua.
 
Aisee duniani kuna changamoto sana wakati Wengine unana kabisa bila maombi ya mama hakika mambo yangekua magumu sana sio tu kwangu hata kwa ndugu zangu.. Mama yangu ni zaidi ya baraka kwenye maisha yangu Mungu ampe maisha marefu
 
Namshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.

Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.

Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.

Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.

Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.

Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.

Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.

Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.
Hiyo fitna siyo wewe,inaonekana umepandikizwa na mke wako.Kama mama yako angekuwa mbaya kwa nini asingekudhuru ukiwa bado mdogo?umejitambua sasa hivi unapata nguvu za kumshutumu mama yako?
 
Somemtimes wazazi ukiwaonyesha mipango yako mizuri hawachelewi kwenda kuyatangaza kwa watu wengne eiza ndugu zak au mashoga zake ndo hapo wakati mwingine vipengele vinavyoanzia
Safi kabisa mkuu ndivyo hilivyo, muhimu sasa ni kufanya kimya kimya baada ya kufanikisha ndio anampa story
 
Back
Top Bottom