KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #161
AiseeMshukuru Mungu umejua, kuna watu wamebeba roho za mauti kwa kujua au bila wao kujua.
Roho za mauti huua mawazo mipango malengo yote ya mafanikio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeMshukuru Mungu umejua, kuna watu wamebeba roho za mauti kwa kujua au bila wao kujua.
Roho za mauti huua mawazo mipango malengo yote ya mafanikio.
Hata kitu ukiwaambia marafiki au ndugu huwa hakifanikiwi sijui kwanin
Hatari sana, sasa nimeamini wewe kweli ni fearless fighterMwaka huu nimekuja kuhitimisha kwamba mawazo yangu ni sahihi baada ya kufanya jaribio hili; Nimemshirikisha kwamba nitaotesha alizeti ekari 2 kwenye shamba la nyumbani akaniunga mkono. Nikanunua mbegu ya alizeti inayotosha ekari 4 nikaotesha ekari mbili hapo nyumbani, then nikaotesha ekari 2 kwa siri kwenye shamba la kukodi hapo jirani na shamba letu. Cha ajabu ile ya shamba la nyumbani haikuota lakini ile niliyootesha kwa siri imeota yote na inaendeleanvizuri kabisa. Kumbuka haya mashamba yamekaribiana sana; jiografia ni moja na tabia ya nchi ni moja. Hapo ndipo ni kahakikisha kwamba mawazo yangu ya mda mrefu ni ya kweli.
mkuu unapenda sana chocolate eeenh?Pole sana ! Omba kwa ajili ya vita iliyopo ndani yenu kupitia mama Yako mzazi ! Mungu akuongoze zaidi ...akupe maarifa na hekima zaidi jinsi ya kuamuaa na kuhakikisha usimukwaze mama !! AU AKIJA SEHEMU YOYOTE SEMA MANENO HAYA KIMOYO MOYO "Mungu najua wewe unawajua wazuri wangu na wabaya wangu,Na vunja roho ya uharibifu kwa kile chocolate nilichokianzisha kwa jina la Yesu kristo Amen" .... Mkaribishe kwa Tabasamu lote ila Imani iweke kwa Muumba wako !!
Hapa napiligilia msumari wa 8inchKama haina ulazima usimuhusishe na chochote kile hasa kama kinahusu maendeleo yako binafsi also jitahidi kufanya ibada labda mama ana roho ya mikosi.
Kujifanya kama huamini ushirikina upo wakati hata kwenye maandiko matakatifu umeandikwa na umesha elezwa katika visa vingi tu hakika wewe utakuwa unataka kutuzingua.If you believe in God, Mlaani shetani na upambane kutoa sadaka na kufanya amali njema.
Usiruhusu mawazo ya kishirikina. That is your Mom for crying out loud.
Huyo Kaka yako teja Mama yako kumpenda haimaanishi anything other than a Mother's pure love for her kids na ukizingatia hali ya kaka yako.
Praying for you and your Mom.
Kuna kina mama ni mama zetu sawa ila wana mambo ya hovyo sana nanhasa wakijiingiza kwenye hayo mambo ya ushirikina.Mhhhh,pamoja na hayo bado nakataa mama hana baya!Ebu uanze kusaliii sasa Mungu atakuonyesha ýote
Ajichanganye na raia asikie watu wanavyofeli mara kama zote....atajua sio uchawi wala maza ahusiki ajakutana na ishu yake moja tu atakayopiga maishaaongee nn na hao raia ww ndio tufungue.
Umeongea kweli wengine wakifeli wanatafuta mchawi wakati c Mara zote Kuna kuwa na mchawiAjichanganye na raia asikie watu wanavyofeli mara kama zote....atajua sio uchawi wala maza ahusiki ajakutana na ishu yake moja tu atakayopiga maisha
Hiyo fitna siyo wewe,inaonekana umepandikizwa na mke wako.Kama mama yako angekuwa mbaya kwa nini asingekudhuru ukiwa bado mdogo?umejitambua sasa hivi unapata nguvu za kumshutumu mama yako?Namshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.
Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.
Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.
Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.
Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.
Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.
Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.
Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.
Baki na unachokiamini hulazimishwi chochote.Kujifanya kama huamini ushirikina upo wakati hata kwenye maandiko matakatifu umeandikwa na umesha elezwa katika visa vingi tu hakika wewe utakuwa unataka kutuzingua.
Mmenielewa jamani?Inanikumbusha kisa cha Isaka na Yakobo. Mzazi anaweza kuiba baraka zako usifanikiwe
HaleluyaaaMimi ni mwana wa manabii
Safi kabisa mkuu ndivyo hilivyo, muhimu sasa ni kufanya kimya kimya baada ya kufanikisha ndio anampa storySomemtimes wazazi ukiwaonyesha mipango yako mizuri hawachelewi kwenda kuyatangaza kwa watu wengne eiza ndugu zak au mashoga zake ndo hapo wakati mwingine vipengele vinavyoanzia
I ❤ UHaleluyaaa
Nile mahindi me kuku?? Niletee muhogo bna.I [emoji173] U
I miss you
Nina debe moja la mahindi sijui nikuletee lini mpenzi wangu?
Ndio ki a nani?Wapyempyi duu