Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

Namshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.

Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.

Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.

Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.

Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.

Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.

Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.

Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.
Huenda sio mama yako mzazi huyo ,fuatilia vizuri.

Kama hujajenga, nenda ukapange mbali sana ikiwezekana hama mkoa.
 
A
Mimi pia nina tatizo hili. Ni mwaka wa pili tangu nifahamu kwamba Kila ninachomshirikisha mama kinafeli. Kwa sasa najikusanya nihame mkoa kwa siri na kamwe sirudi hata nikisikia amefariki siji kumzika.

Nimejaribu ku Link dots hata huu umaskini unaotuandama unasababishwa na yeye.
Aisee
 
Kila nikipata pesa nikitaka kununua gari nikimhusisha ndg yangu wa kuzaliwa mpango unakwama.

Siku Moja nilikuwa na 2m jamaa office mate akanambia nimpe anipe balloon yake.

Nikamhusisha bro angu ikayeyuka. Nikapotezea.

Nikafight kujinyima Sana nikaipata 10m nikamhusisha Kwa sababu ana access kupata nice cars Kwa bei nafuu. Ili niachane na mawazo ya vi IST, vtz, sijui nini.

Mm nipenz wa Nissan diesel... Ile 10 ikayeyuka nikawahi kununua plot...japo Kwa mil 5 Tano imetumika

Yaani ninatamani siku aone tu usafiri huo
 
Pole sana ! Omba kwa ajili ya vita iliyopo ndani yenu kupitia mama Yako mzazi ! Mungu akuongoze zaidi ...akupe maarifa na hekima zaidi jinsi ya kuamuaa na kuhakikisha usimukwaze mama !! AU AKIJA SEHEMU YOYOTE SEMA MANENO HAYA KIMOYO MOYO "Mungu najua wewe unawajua wazuri wangu na wabaya wangu,Na vunja roho ya uharibifu kwa kile chocolate nilichokianzisha kwa jina la Yesu kristo Amen" .... Mkaribishe kwa Tabasamu lote ila Imani iweke kwa Muumba wako !!


Aweke imani kwa Yesu au Mungu??
 
Namshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.

Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.

Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.

Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.

Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.

Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.

Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.

Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.
Mimi nikiwaza jambo Zuri afu ndani yake nikamuimagine wife lazima hilo jambo lifeli yani...ila nikijifanyia tu bila kumuwaza lazima litiki
 
Namshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.

Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.

Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.

Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.

Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.

Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.

Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.

Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.
Kwa kuwa haujaomba maoni yetu.
Hebu tueleze mahusiano yako na mama kimsingi yapoje?

Ulipogundua kuwa kila unachomhusisha lazima kiende mrama, kwa nini unaendelea kumhusisha bila kukoma?

Tunaaminije kama huu uzi siyo utunzi?
 
Namshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.

Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.

Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.

Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.

Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.

Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.

Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.

Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.


Umeeleza funguo moja ya shida zako kutoka kwa mama yako.

Kumbuka mama ni mama tu licha ya shida na madhila unayopitianaye, anastahili kila kitu kichaacho kitoka kwako kama mtoto kwa mzazi.

Kama mama yako hana "kijicho" kutoka kwa Mungu basi anacho kijicho si kwako bali kwa mkeo na watoto wako na ndio maana kila jambo lako zuri hataki lifanikiwe kwakuwa anaona wafaidika watakuwa mkeo na watoto wako ambao hawapendi.

Kijicho kutoka kwa Mungu ni kipi??---ni hivi; kuna watu wameumbwa kwamba kitu chochote kizuri akikisifia tu muda mfupi kitu hicho kitaharibika au kitapata madhara nk, mfano mtoto mrembo akipita mbele ya mtu wa aina hiyo na mtu huyo akamsifia basi baadaye huyo mto atadhurika au anaweza kupatwa ugonjwa nk, hicho ndicho kijicho kutoka kwa Mungu, kimetoka kwa Mungu kwasababu mtu huyo kazaliwa akiwa na hali hiyo ya"kijicho"wala sio kosa lake, nadhani mama yako hayupo hivyo, kama ni hivyo basi jitahidi kumuepuka kama jinsi ulivyomuepuka ulipojenga nyumba yako.
 
Namshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.

Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.

Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.

Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.

Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.

Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.

Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.

Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.
Nisamee mkuu kwa kauli yangu mbaya ntakayoitumia ila mama ako kama sio mshirikina basi kuna namna
 
Kuna watu wakiambiwa mama zao wachawi wanakuja juu,
Sasa mimi huwa najiuliza Kwanini ukatae kuwa mama yako au bibi yako kuwa mchawi?
Kwani wachawi hawazai?

Eti ooh kama mchawi angemuua tangu Mdogo [emoji848]

Inategemea na zamu ya kulipa fidia ndipo utakapokuja kutolewa zamu uliwe nyama na wachawi wenzie.
 
Miongoni wa mitihani mizito ni pamoja na kuoa au kuolewa na Mchawi.

Na usizani hata ukijua utaachana nae kirahisi [emoji108]

Maana vifungo vyao huwa ni vigumu kuliko maelezo.

Ma wachawi wengi kuua mtoto wake au mwenzi wake huwa ni swala la muda tu!

Pia kuoa au kuolewa kwenye familia za kichawi ni mtihani mkubwa.

Na kuishi jirani na mchawi.

Vinginevyo na wewe uwe mshirikina Kweli Kweli na ujizindike na watoto wako vinginevyo usipime!
 
Back
Top Bottom