Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

Kuna wengine hadi huruma,
Sijui ni nini! [emoji848]
Mume mkewe mchawi basi huyo Mwanaume wa watu ni mtu wa kuugua tu mara sukari mara vile.
Yaani almanusura za mara Kwa mara kukata moto.

Sema ndugu zake wameshajua kwa hiyo jamaa akishazidiwa wanatia timu na Mganga ndio pona yake!

Na wanajua mchawi ndie anayelala na kula nae.

Lakini kumuacha inakuwa ni ishu wakati yamkini ndio ingekuwa pona yake mazima.

Halafu unakuta ni kikosi kazi na ndugu zake wote wanaongeza nguvu za kutaka kumuua Mwanaume !
 
Mwanangu nataka nikwambie Kuna mtu kakutumia Kimavi mama yako kupitia mama yako Mimi Kuna Mbwa mmoja Tena mama yangu mkubwa dada yake kabisa na mama yangu alitaka kufanya ujinga huo Yani Kila akija kunifanyia uchawi namnasa ila anakuwa kaongozana. A mama yangu nawafokea mbaya

Baadae nikaanAza is mama anausika uwezi amini nilimwita mama nikamchana akalia sana nikaamini hajui lolote ila dada yake ni mwanga kweli ila hakuamini kama dada yake ananiloga Sasa changamoto mama mkubwa anaenda kwa ndugu anasema anaona Mimi kama nimerogwa hao ndugu wanachama kama karogwa nenda kamlague weee SI mama yake mkubwa anakaa kimnya.

Yote kwa yote mwamba uchawi upo na watu wanatumia picha na kvuri Cha mama yako maana ni very simpo

Kwa mambo zaidi namwalika ndugu Mshana Jr aje amwage undezi hapa.
Hilo tatizo alilo nalo mamake linaitwa uchawi kizaliA.SHIBOMONDELA.
 
Kuna ule msemo unasema hakuna kama mama kila nikiutafakari naona kuna watu wana bahati sana,lkn kuna sisi wengine tunapitia machungu sana kwa mama zetu na inakuwa ni siri tu unaitunza moyoni bila kumwambia mtu yeyote!,yaani hadi inafika kipindi unajiuliza huyu ni mama yangu kweli!?

Asee hili jambo umelisema kwa hisia kali sana na nimekuelewa!
 
Mwanangu nataka nikwambie Kuna mtu kakutumia Kimavi mama yako kupitia mama yako Mimi Kuna Mbwa mmoja Tena mama yangu mkubwa dada yake kabisa na mama yangu alitaka kufanya ujinga huo Yani Kila akija kunifanyia uchawi namnasa ila anakuwa kaongozana. A mama yangu nawafokea mbaya

Baadae nikaanAza is mama anausika uwezi amini nilimwita mama nikamchana akalia sana nikaamini hajui lolote ila dada yake ni mwanga kweli ila hakuamini kama dada yake ananiloga Sasa changamoto mama mkubwa anaenda kwa ndugu anasema anaona Mimi kama nimerogwa hao ndugu wanachama kama karogwa nenda kamlague weee SI mama yake mkubwa anakaa kimnya.

Yote kwa yote mwamba uchawi upo na watu wanatumia picha na kvuri Cha mama yako maana ni very simpo

Kwa mambo zaidi namwalika ndugu Mshana Jr aje amwage undezi hapa.
Hakika nakubaliana NAWW mama ndiyo mtu pekee anaye mpenda hawezi kumuumiza
 
Miongoni wa mitihani mizito ni pamoja na kuoa au kuolewa na Mchawi.

Na usizani hata ukijua utaachana nae kirahisi [emoji108]

Maana vifungo vyao huwa ni vigumu kuliko maelezo.

Ma wachawi wengi kuua mtoto wake au mwenzi wake huwa ni swala la muda tu!

Pia kuoa au kuolewa kwenye familia za kichawi ni mtihani mkubwa.

Na kuishi jirani na mchawi.

Vinginevyo na wewe uwe mshirikina Kweli Kweli na ujizindike na watoto wako vinginevyo usipime!
Acha tu asikuambie mtu
 
Aisee acha tu kumuhusisha km umegundua hilo.

Binafsi huwa naota namfokea bi mkubwa tena ile serious kabisa!
Yani kila ndoto akiwemo yeye basi nakua namfokea kuhusu jambo fulani.
Sijui inaamaanisha nini ingawa katika maisha ya kawaida mama ananikubali na mie namkubali ile sana yani dah.
Ajabu sijawahi kuota namfokea mzee hata siku moja!
 
a
Kuna wengine hadi huruma,
Sijui ni nini! [emoji848]
Mume mkewe mchawi basi huyo Mwanaume wa watu ni mtu wa kuugua tu mara sukari mara vile.
Yaani almanusura za mara Kwa mara kukata moto.

Sema ndugu zake wameshajua kwa hiyo jamaa akishazidiwa wanatia timu na Mganga ndio pona yake!

Na wanajua mchawi ndie anayelala na kula nae.

Lakini kumuacha inakuwa ni ishu wakati yamkini ndio ingekuwa pona yake mazima.

Halafu unakuta ni kikosi kazi na ndugu zake wote wanaongeza nguvu za kutaka kumuua Mwanaume !
aisee! dunia ina mengi ya kuongofya
 
Kwa kuwa haujaomba maoni yetu.
Hebu tueleze mahusiano yako na mama kimsingi yapoje?

Ulipogundua kuwa kila unachomhusisha lazima kiende mrama, kwa nini unaendelea kumhusisha bila kukoma?

Tunaaminije kama huu uzi siyo utunzi?
Sina haja ya kukuaminisha chochote wewe . Kwanza sikujui, nimeandika hapa ili nipate ya kunifaa. Nyie wachawi wenzake najua hapa hamkosekani
 
Kuna watu wakiambiwa mama zao wachawi wanakuja juu,
Sasa mimi huwa najiuliza Kwanini ukatae kuwa mama yako au bibi yako kuwa mchawi?
Kwani wachawi hawazai?

Eti ooh kama mchawi angemuua tangu Mdogo [emoji848]

Inategemea na zamu ya kulipa fidia ndipo utakapokuja kutolewa zamu uliwe nyama na wachawi wenzie.
HUU NDO UKWELI MCHUNGU
 
Sina haja ya kukuaminisha chochote wewe . Kwanza sikujui, nimeandika hapa ili nipate ya kunifaa. Nyie wachawi wenzake najua hapa hamkosekani
Jibu lako linatosha kabiss kuondoa dukuduku la mahusiano yako na mama.

Laana inakusumbua acha kumsingizia mama.

Tubu na umuomne mama radhi. Inaonesha una mpango wa kumdhuru mama yako ndo umekuja kusaka mashabiki humu
 
Back
Top Bottom