Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Kuna wazazi wanajisemea kimyakimya "kaniambia,kanifanyia, nikimuambia hivi hataki eeeh ngoja nione atafika wapi".
Wengine anatamani pato lako apangie yeye. Akikuona umevaa nguo nzuri yeye hana roho inamuuma anakulaani kimyakimya. Mfano unamwmbia unajenga wakati alitamani uwape na wao hela wale vizuri, wavae vizuri, wajenge nyumba nzuri wao kwanza HUTOBOI. Wanakuwa tu hawakuombei mema.
Wengine anatamani pato lako apangie yeye. Akikuona umevaa nguo nzuri yeye hana roho inamuuma anakulaani kimyakimya. Mfano unamwmbia unajenga wakati alitamani uwape na wao hela wale vizuri, wavae vizuri, wajenge nyumba nzuri wao kwanza HUTOBOI. Wanakuwa tu hawakuombei mema.