Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa masahihishoSio jicho la husda ni kijicho
Nawambiaga watu ukiwa unatafutanmaisha ukijua bado hujatusua wala huna any power nyuma yako..
Jitenge na Ndugu na wote wanaokujua yani wanaojua chimbuko lako,nenda mbali kasake maisha yako.
Kuna kitu kama hiyo inamtokea mdogo angu kwa namna yake, sababu naijua na siwezi mwambia Hachelewi niambia "kaka dunia imekuharibu" ukizingatia Asili yetu ulokole ndio kabisa.
Maisha haya ukitaka ufanikiwe kaa mbali na wanaokujua.
Watu huniambia silogeki Lakini hapana si kweli mimi ni mtu ambae sitaki kuzoeleka wala kujulikana wala ile Urafiki wa ndaniiii maana najua adui hupitia humo humo.
Watu huja serious na kuniomba niwapeleke kwa mganga wangu lakini hakuna siri kubwa ktk hii dunia kama Kuwa JESHI LA MTU MMOJA.
Wazazi,Ndugu,marafiki ni wamuhimu katika maisha yetu lakini katika upande na maswala ya mafanikio Binafsi hao watu wana asilimia chache sana za wewe kufanikiwa.
Ili ufike mbali zaidi ni lazima ujitenge na wote hao sehemu wasiokujua ANZA utaona utakavyofanya kila kitu kinafunguka.
Kuna watu wananifata PM kuniambia kila kazi wanayojaribu kufanya inakufa,biashara zina kufa Nawambiaga Hii SIRI ya kujitenga lakini wananchukulia kama nakosa cha kuwashauri, ila kuna faida kubwa sana kuishi na jamiii isiyojua wewe ni nani.
Unakua kama umezaliwa UPYA.
Namshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.
Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.
Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.
Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.
Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.
Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.
Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.
Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto
Naamini kuna hekima kubwa katika hili na spiritually kujitenga na watu ni kitu kikubwa naelewa how it may work. Pia usipende kurudi ulipofanya kazi siku zilizopita, always go forward na tafuta watu wapya na makazi mapya.Nawambiaga watu ukiwa unatafutanmaisha ukijua bado hujatusua wala huna any power nyuma yako..
Jitenge na Ndugu na wote wanaokujua yani wanaojua chimbuko lako,nenda mbali kasake maisha yako.
Kuna kitu kama hiyo inamtokea mdogo angu kwa namna yake, sababu naijua na siwezi mwambia Hachelewi niambia "kaka dunia imekuharibu" ukizingatia Asili yetu ulokole ndio kabisa.
Maisha haya ukitaka ufanikiwe kaa mbali na wanaokujua.
Watu huniambia silogeki Lakini hapana si kweli mimi ni mtu ambae sitaki kuzoeleka wala kujulikana wala ile Urafiki wa ndaniiii maana najua adui hupitia humo humo.
Watu huja serious na kuniomba niwapeleke kwa mganga wangu lakini hakuna siri kubwa ktk hii dunia kama Kuwa JESHI LA MTU MMOJA.
Wazazi,Ndugu,marafiki ni wamuhimu katika maisha yetu lakini katika upande na maswala ya mafanikio Binafsi hao watu wana asilimia chache sana za wewe kufanikiwa.
Ili ufike mbali zaidi ni lazima ujitenge na wote hao sehemu wasiokujua ANZA utaona utakavyofanya kila kitu kinafunguka.
Kuna watu wananifata PM kuniambia kila kazi wanayojaribu kufanya inakufa,biashara zina kufa Nawambiaga Hii SIRI ya kujitenga lakini wananchukulia kama nakosa cha kuwashauri, ila kuna faida kubwa sana kuishi na jamiii isiyojua wewe ni nani.
Unakua kama umezaliwa UPYA.
nkushauri njia ya kijasusi!!!!.....mtafute mkemia,ongea nae akupe NUSU KAPUTI{dawa}...then, hamisha maji yote yaliyo ndani mwake hasa chumbani na sebuleni kwake,then tafuta ile pump ya kupulizia dawa ya wadudu shambani{dawa ya mimea}....then changanya maji kiasi kidogo na nusu kaputi,weka ndani ya ile pump{huo mchanganyiko}........then mvizie kalala alaf nyatia chumba alicholala then pulizia hiyo dawa chumbani{hakikisha umevaa mask bila ivo na wewe utalala}........nilisema hamisha maji kwa sababu maji yatanyonya hiyo sumu na itakua haina madhara!!!...okay?...ukishapulizia dawa chumbani mwake subiri kama dk 15 then ingia chumbani mwake kwa kujiamini kwani hana fahamu tena!! anza UJASUSI kwa kusachi kila sehemu{alaf hakikisha umeweka mashine ya kurekodi chini ya kitanda chake kwa akiamka anakua na maruerue na atakua akiropoka ovyo hasa akizinduka na kukuta chumba kimepekuliwa--atazungumza kila ki2}.....anyway pekua hasa chini ya kitanda na kwnye kila kona ya chumba na nguo zake za zamani ambazo havai,,lazma utaona ki2 ama hirizi..n.k.......then kwa vile nusu kaputi itakua imemchosha sana,basi lazma atalala nje mkekani ili apate hewa safo{oxygen} au ataenda kuomba ushauri kw a PANGA LA SHABA mwenzake,hapo ndo fursa ya kuingia chumbani mwake nakuchukua TAPE RECORDER yako...tafuta sehem tulivu usikilize,,hautaamini masikio yako,,,,ukishapata ushahidi wa kutosha itisha kikao cha ukoo!!Nawambiaga watu ukiwa unatafutanmaisha ukijua bado hujatusua wala huna any power nyuma yako..
Jitenge na Ndugu na wote wanaokujua yani wanaojua chimbuko lako,nenda mbali kasake maisha yako.
Kuna kitu kama hiyo inamtokea mdogo angu kwa namna yake, sababu naijua na siwezi mwambia Hachelewi niambia "kaka dunia imekuharibu" ukizingatia Asili yetu ulokole ndio kabisa.
Maisha haya ukitaka ufanikiwe kaa mbali na wanaokujua.
Watu huniambia silogeki Lakini hapana si kweli mimi ni mtu ambae sitaki kuzoeleka wala kujulikana wala ile Urafiki wa ndaniiii maana najua adui hupitia humo humo.
Watu huja serious na kuniomba niwapeleke kwa mganga wangu lakini hakuna siri kubwa ktk hii dunia kama Kuwa JESHI LA MTU MMOJA.
Wazazi,Ndugu,marafiki ni wamuhimu katika maisha yetu lakini katika upande na maswala ya mafanikio Binafsi hao watu wana asilimia chache sana za wewe kufanikiwa.
Ili ufike mbali zaidi ni lazima ujitenge na wote hao sehemu wasiokujua ANZA utaona utakavyofanya kila kitu kinafunguka.
Kuna watu wananifata PM kuniambia kila kazi wanayojaribu kufanya inakufa,biashara zina kufa Nawambiaga Hii SIRI ya kujitenga lakini wananchukulia kama nakosa cha kuwashauri, ila kuna faida kubwa sana kuishi na jamiii isiyojua wewe ni nani.
Unakua kama umezaliwa UPYA.
Aseeeeeenkushauri njia ya kijasusi!!!!.....mtafute mkemia,ongea nae akupe NUSU KAPUTI{dawa}...then, hamisha maji yote yaliyo ndani mwake hasa chumbani na sebuleni kwake,then tafuta ile pump ya kupulizia dawa ya wadudu shambani{dawa ya mimea}....then changanya maji kiasi kidogo na nusu kaputi,weka ndani ya ile pump{huo mchanganyiko}........then mvizie kalala alaf nyatia chumba alicholala then pulizia hiyo dawa chumbani{hakikisha umevaa mask bila ivo na wewe utalala}........nilisema hamisha maji kwa sababu maji yatanyonya hiyo sumu na itakua haina madhara!!!...okay?...ukishapulizia dawa chumbani mwake subiri kama dk 15 then ingia chumbani mwake kwa kujiamini kwani hana fahamu tena!! anza UJASUSI kwa kusachi kila sehemu{alaf hakikisha umeweka mashine ya kurekodi chini ya kitanda chake kwa akiamka anakua na maruerue na atakua akiropoka ovyo hasa akizinduka na kukuta chumba kimepekuliwa--atazungumza kila ki2}.....anyway pekua hasa chini ya kitanda na kwnye kila kona ya chumba na nguo zake za zamani ambazo havai,,lazma utaona ki2 ama hirizi..n.k.......then kwa vile nusu kaputi itakua imemchosha sana,basi lazma atalala nje mkekani ili apate hewa safo{oxygen} au ataenda kuomba ushauri kw a PANGA LA SHABA mwenzake,hapo ndo fursa ya kuingia chumbani mwake nakuchukua TAPE RECORDER yako...tafuta sehem tulivu usikilize,,hautaamini masikio yako,,,,ukishapata ushahidi wa kutosha itisha kikao cha ukoo!!
fafanua zaidi khs mchawi kivuliAnaweza akawa mchawi 💯% au mchawi kivuli yaani kutumiwa na wachawi pasipo yeye kujua kama anatumika.
DuhNamshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.
Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.
Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.
Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.
Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.
Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.
Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.
Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.
AminaDuh
Either anatumiwa na adui or
Ana roho ya mauti(ya kuua vitu)
Kabla ya kumyooshea kidole,Acha kumhusisha na Chochote, la pili Anza kuomba juu ya Hilo, muulize Mungu,utajua tu
Karibu
AminaDuh
Either anatumiwa na adui or
Ana roho ya mauti(ya kuua vitu)
Kabla ya kumyooshea kidole,Acha kumhusisha na Chochote, la pili Anza kuomba juu ya Hilo, muulize Mungu,utajua tu
Karibu
nkushauri njia ya kijasusi!!!!.....mtafute mkemia,ongea nae akupe NUSU KAPUTI{dawa}...then, hamisha maji yote yaliyo ndani mwake hasa chumbani na sebuleni kwake,then tafuta ile pump ya kupulizia dawa ya wadudu shambani{dawa ya mimea}....then changanya maji kiasi kidogo na nusu kaputi,weka ndani ya ile pump{huo mchanganyiko}........then mvizie kalala alaf nyatia chumba alicholala then pulizia hiyo dawa chumbani{hakikisha umevaa mask bila ivo na wewe utalala}........nilisema hamisha maji kwa sababu maji yatanyonya hiyo sumu na itakua haina madhara!!!...okay?...ukishapulizia dawa chumbani mwake subiri kama dk 15 then ingia chumbani mwake kwa kujiamini kwani hana fahamu tena!! anza UJASUSI kwa kusachi kila sehemu{alaf hakikisha umeweka mashine ya kurekodi chini ya kitanda chake kwa akiamka anakua na maruerue na atakua akiropoka ovyo hasa akizinduka na kukuta chumba kimepekuliwa--atazungumza kila ki2}.....anyway pekua hasa chini ya kitanda na kwnye kila kona ya chumba na nguo zake za zamani ambazo havai,,lazma utaona ki2 ama hirizi..n.k.......then kwa vile nusu kaputi itakua imemchosha sana,basi lazma atalala nje mkekani ili apate hewa safo{oxygen} au ataenda kuomba ushauri kw a PANGA LA SHABA mwenzake,hapo ndo fursa ya kuingia chumbani mwake nakuchukua TAPE RECORDER yako...tafuta sehem tulivu usikilize,,hautaamini masikio yako,,,,ukishapata ushahidi wa kutosha itisha kikao cha ukoo!!
Vitu vyako ungekua unaandika kwa jina lake kama HakimiNamshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.
Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.
Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.
Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.
Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.
Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.
Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.
Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.
Asante sana broVitu vyako ungekua unaandika kwa jina lake kama Hakimi
Cha msingi kabla ya Chochote we Anza kuomba!Amina