Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshukuru Mungu umejua, kuna watu wamebeba roho za mauti kwa kujua au bila wao kujua.
Roho za mauti huua mawazo mipango malengo yote ya mafanikio.
 
Inasemekana mama hutoa laana baba hutoa baraka, kwa hiyo hata iweje mama hawezi toa baraka ndio maana baba nae hawezi toa laana ipo hivyo
 
Hata kitu ukiwaambia marafiki au ndugu huwa hakifanikiwi sijui kwanin
Kuna wakt nilimshirikisha rfk angu San mshikaji wangu kuhusu kuanza ujenzi wa nyumba yangu Arusha kule na Ni yey peke ake nimemuambia uwezi amini sjijanga hyo nyumba mpk sas

Ajbu nadhani ndani ya week moja baadae aliambia na yey anataka kujenga ktk kiwanja chake alivhopewa na Bab ake kule Moro na alikuwa Hana Kaz yoyote ile Yuko nyumban tu ajabu hat yey pia hukujenga mpk sasa ingawa sas HV Ana kazi yake

Ukweli Ni kuwa mamb ya maendeleo haipazwi kutangazwa kwa watu iwe hat mke wakt mwingine mshirikishe
 
Ahahahah
 
Mleta mada fanya kimya kimya kuna ulazima gani kumwambia kila kitu unachofanya wewe kwa faida yako,mkeo na wanao?
Kuna vijana wengine useless kila anachofanya lazima apige simu kwao kuwahadithia,yaani hata akijisaidia pembeni ya choo lazima wazazi/ndugu zake wajue.
Ndio mwanzo wa kupigwa vipapai na kuchukua magundu ya wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…