Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Zilimkatikia dada mmoja posta mpya, wakati tukigombania dalala, watoto wa kihuni acha waanze, dada amwemwaga lazi, chachandu inamwagika. Mdada hakuinua uso.
Mimi hapa ndio wanapo niudhi. Kwanini uvae shanga sehemu isiyo husika?? Hao ninwashamba na wanafata mkumbo. Unakuta mtu kavaa kwenye dala dala blouse fupi at kashika bombs au ofisini.... Za kazi gani? Matokeo yake zinaanguka. Shanga zinasehemu yake.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] sasa unakutana na mwanamke ana kiuno kigumu kama peremende utafikiri anapasua mawe...[emoji85] [emoji87] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
duh...hahahahhah!
 
Hapa kwetu kwa mtogole mpaka vitoto vya kike vidogo vinavyeshwa. Eti kuumba viuno vyao. Hatarii.
 
Weekend jf inakuaga ya moto
Cjui kwann hua nachelewa

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…