Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Wewe mwanaume ujue maana ya Shanga, halafu mwanamke asijue kweli fani ya ukungwi na unyakanga zimevamiwa Mpaka na wanaume .
Wewe mwanaume ujue maana ya Shanga, halafu mwanamke asijue kweli fani ya ukungwi na unyakanga zimevamiwa Mpaka na wanaume .
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nyekundu: ukimkuta mwanamke amevaa shanga ya rangi hii unatakiwa kuelewa kwamba mwanamke huyu yupo kwenye hedhi, kwahiyo wewe fanya mengine lakini sio kutumbukia unless yeye mwenyewe amekuruhusu na wewe uwe na uwezo wa kutumbukia hata akiwa kwenye hedhi (kitu ambacho kiafya akishauriwi).
Nyeupe: ukimkuta mwanamke amevaa shanga nyeupe hiihumaanisha hana tatizo lolote litakalomfanya asikupe raha ya sita kwa sita, kwahiyo ukitaka tu muda wowote unapata.
Nyeusi: ukimkuta mwanamke amevaa rangi nyeusi hii humaanisha ya kwamba yupo tayari kukupa raha za sita kwa sita lakini uwanja wake haujakatwa majani, kwa hiyo chaguo ni lako kama unataka kutumia siku nzima kutafuta goli haya, ama kama utamsaidia kumkatia majani uwanjani vizuri zaidi ama kama huwezi yote basi mpe muda akate mwenyewe
Nk: pia shanga hulainisha kiuno na kukifanya kiwe kilain pia hushepu kiuno hupendezesha kiuno nimoja ya kivutio unapo kua chumbani na mwenza wako langi so tija ni mapendeleo yako tu kama unapenda rangi gani
HUU MCHEZO NILIACHA MIAKA 20 ILIOPITA!View attachment 410269
Naweza kusema ni state of mind pale unapoona kiuno cha kike shanga zimeonekana kidoogo! Kile kimuhemuhe na ashiki unayopata na mawazo yako unakoyapeleka.
Shanga ni kivutio cha asili kwenye mapenzi kitandani lakini si kila mmoja wetu ni mpenzi wa shanga ama anajua kuzitumia vema na akaburudika.
Shanga hazivaliwi tu kama kuvaa, kuna rangi kuna idadi... Mara nyingi huwezi kukuta binti kavaa shanga nyeupe.... Shanga kwa uchache huvaliwa 3 na kwa wingi kabisa 32.
Si kila kiuno cha mwanamke kinafaa kuvishwa shanga, ni lazima kiuno kibebe umbo la kike hapo ndio shanga zitaleta maana na hasa zikipata fundi wa kuzichezea (kama jr[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85])
Na si kila mpenzi ni mpenzi wa shanga kwahiyo shanga hazivaliwi kama fasheni kama tunavyowaona mabinti wengi siku hizi wakiwa na ushanga mmoja wa gold shaba ama madini mengine.
Mwanamke mtundu na mwizi wa mahaba anajua vema kuziviringa chini ya kiuno cha mwanaume na mwanaume akachanganyikiwa kabisa! matumizi ya shanga ni sanaa ya aina yake kabisa ni ufundi ni utundu.
Usivae ushanga/shanga kama hujui matumizi yake utatia aibu na wewe kama hujui jinsi ya kucheza nazo ziache kama zilivyo kaka utajikuta umezikata zote na kupewa adhabu ya kuziokota na kuunga zote.
Kitu kingine muhimu kabisa kwenye shanga ni usafi mwanamke mchafu daima havai shanga zitamnukia azidi kuonekana wa hovyo.
Je wako anazo kiunoni? Ngapi? Unajua kuzitumia?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ya Tanga waachieni wajuzi wake asijekwambia anataka kunku ukajua ni nyama ya kuku[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sawa tutakaribia, watoto wa Tanga mna mbwembwe bana na mnajua maana ya mapenziKaribu Tanga mapz, yalipozaliwa. Wanaume wa dar hawazijui hz wanakuona kama mganga lakini wenyewe tunajua habari zake
Manufaa atayaona mwanaume alievaliwaHUU MCHEZO NILIACHA MIAKA 20 ILIOPITA!
HAUNA FAIDA WALA MANUFAA NI SAWA NA KUVAA SHANGA SHINGONI WAKATI MPENZI/MUMEO ANAKUPA RAHA CHINI!
HAVIINGILIANI!
hamna kitu... haviingiliani na shimo / tobo analolitafuta!Manufaa atayaona mwanaume alievaliwa
Aiseeh naomba somo hili nimfundishe mmBinafsi nazipenda ila sijui matumizi yake... kaka jr ningeomba kama inawezekana japo ka clip tuu cha jinsi ya kuzitumia... I real wish jaman mana kiuno kipo[emoji85] [emoji28] [emoji28] ila sasa matumiz sijuiiiiiii
Kwangu huwa naziona ni kama hirizi za waganga wa kienyeji.[/QUOTE. Ahaaaa ahaaaa hata mimi sijuagi matumizi yake but