Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Umetoa tu maelezo ya kawaida kabisa kuhusu shanga bila kufafanua jinsi ya kuzitumia. Baadhi ya maswali kuhusu jinsi ya kuzitumia ni ka ifuatavyo?
1) Zinavaliwa? Na nani na wakati gani?
2) Ni za rangi gani? Kwa sababu gani?
3) Ziko ngapi? Kwa ajili ya nini?
4) Zinapapasika? Kwa jinsi ipi?
5) Zinahesabika? Kwa namna ipi?
6) Zinahamasisha? Kwa njia ipi?
Wanakwepa kujibu haya maswali kwasababu hata wao hawajui matumizi yake.

Wanavaa tu kwasababu ya mazoea au walikuta wazee/wazazi wao wanavaa.

Kama wanajua matumizi yake mbona wanakwepa hayo maswali?

They r useless during intercourse.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na shanga lundoooo, ila sipendi kuvaaa vikorokocho korokocho mwilini.
Mume wangu hajaweka kichwani kabisa, mambo haya, asante mungu.
Labda akifika miaka 60.

Nawashangaa wanawake wanao vaa shanga, kabla ya kuolewa.
Sheria inasema kama hauja olewa hautakiwi kuvaa shanga...............hahahaha, hiyo ndio mila ya kwetu.
Kama wazungu, huwezi kuvaa pete ya ndoa kama hauja olewa.

Wanawake wengi ambao hawajachezwa hawajui maana yake kabisa.


Vile vile huwezi kuvaa shanga kwa kila mwanaume............unaweza kuvaa shanga kwa mwanaume anae jua maana yake, hasie jua maana yake atakuwa haelewi.

Mfano mwanamke akivaa shanga nyekundu kiunoni ni sign, anavuja damu, ana menstruation.

Hauitaji kumwambia mumeo kwa maneno, (oh bwana wewe mimi leo nasiku zangu, sitaki).

Na akivaa shanga nyeupe shingoni, maana yake menstruation isha kwisha. Unaweza kuosha kirungu, hahahaha, ndio maana yake.

Kama mwanaume hajui maana yake, yote inakuwa aina maana yeyote ile. Utapoteza time tu. Bora husivae.

Samahani kwa nitakao wakera,
natambua hairuhusiwi kusema mambo kama haya, lakini sijasema mengi, mawili tu
Ntakutafute umfunde wa kwangu.
Hajui chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakwepa kujibu haya maswali kwasababu hata wao hawajui matumizi yake.

Wanavaa tu kwasababu ya mazoea au walikuta wazee/wazazi wao wanavaa.

Kama wanajua matumizi yake mbona wanakwepa hayo maswali?

They r useless during intercourse.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna mwanamke wangu wa Tanga ambae ndio Fiance wangu anazo niliwai muuliza akanambia zipo za rangi tofauti mfano nyekundu inamaana yupo Katika siku mbaya
Nyeupe inamaana ya usafi
Rangi nyingine nimesahau sema pia uwa zinavaliwa siku maalumu sio kila siku kama wanawake wa skuizi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wanakwepa kujibu haya maswali kwasababu hata wao hawajui matumizi yake.

Wanavaa tu kwasababu ya mazoea au walikuta wazee/wazazi wao wanavaa.

Kama wanajua matumizi yake mbona wanakwepa hayo maswali?

They r useless during intercourse.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuvaa shanga kama hujui kazi yake.
Wengi wanaovaa siku hizi wanafata mkumbo.
Sio kila kabila wana utamaduni wa kuvaa shanga .Lakini pia sio kila wanaovaa shanga wanavaa kwa purpose ya mapenzi.
Kuna makabila wanavalisha mtoto wa kike toka akiwa na umri wa miaka miwili kwa madai ya kumchonga shape/kiuno....Wengine kwasababu wanazojua wao.
Nnakotoka mimi binti akivunja ungo akawekwa ndani na kupewa mafunzo akishafuzu akaiva ndo anapewa shanga kwasabu amefunzwa matumizi yake.
Shanga zina miiko yake...achana na wasichana wa mjini anaevaa shanga akaenda sokoni, kazini au kwenye halaiki ya watu huku kavaa nguo ambayo akiinama au akinyanyua mkono zinaonekana.
Matumizi ya shanga ni practical zaidi huwezi kaa ukahadithiwa kama story ndo maana tunafungiwa ndani na somo/kungwi.
Ni kama kukata kiuino kitandani hufundishwi kwa maneno...unahitaji somo.
Halafuuuuuu....anaetoa siri za kufundwa ndani sie tunamuita MSUNGO. Ndo maana wanao waambia hawawapi maelezo yaliyonyooka.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matumizi ya shanga ni practical zaidi huwezi kaa ukahadithiwa kama story ndo maana tunafungiwa ndani na somo/kungwi.
Ni kama kukata kiuino kitandani hufundishwi kwa maneno...unahitaji somo.
Halafuuuuuu....anaetoa siri za kufundwa ndani sie tunamuita MSUNGO. Ndo maana wanao waambia hawawapi maelezo yaliyonyooka.
Huwezi kuvaa shanga kama hujui kazi yake.
Wengi wanaovaa siku hizi wanafata mkumbo.
Sio kila kabila wana utamaduni wa kuvaa shanga .Lakini pia sio kila wanaovaa shanga wanavaa kwa purpose ya mapenzi.
Kuna makabila wanavalisha mtoto wa kike toka akiwa na umri wa miaka miwili kwa madai ya kumchonga shape/kiuno....Wengine kwasababu wanazojua wao.
Nnakotoka mimi binti akivunja ungo akawekwa ndani na kupewa mafunzo akishafuzu akaiva ndo anapewa shanga kwasabu amefunzwa matumizi yake.
Shanga zina miiko yake...achana na wasichana wa mjini anaevaa shanga akaenda sokoni, kazini au kwenye halaiki ya watu huku kavaa nguo ambayo akiinama au akinyanyua mkono zinaonekana.
Matumizi ya shanga ni practical zaidi huwezi kaa ukahadithiwa kama story ndo maana tunafungiwa ndani na somo/kungwi.
Ni kama kukata kiuino kitandani hufundishwi kwa maneno...unahitaji somo.
Halafuuuuuu....anaetoa siri za kufundwa ndani sie tunamuita MSUNGO. Ndo maana wanao waambia hawawapi maelezo yaliyonyooka.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hongea umbu jangu

Jr[emoji769]
 
Matumizi ya shanga ni practical zaidi huwezi kaa ukahadithiwa kama story ndo maana tunafungiwa ndani na somo/kungwi.
Ni kama kukata kiuino kitandani hufundishwi kwa maneno...unahitaji somo.
Halafuuuuuu....anaetoa siri za kufundwa ndani sie tunamuita MSUNGO. Ndo maana wanao waambia hawawapi maelezo yaliyonyooka. Hongea umbu jangu

Jr[emoji769]
[emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 410269

Naweza kusema ni state of mind pale unapoona kiuno cha kike shanga zimeonekana kidoogo! Kile kimuhemuhe na ashiki unayopata na mawazo yako unakoyapeleka.

Shanga ni kivutio cha asili kwenye mapenzi kitandani lakini si kila mmoja wetu ni mpenzi wa shanga ama anajua kuzitumia vema na akaburudika.

Shanga hazivaliwi tu kama kuvaa, kuna rangi kuna idadi... Mara nyingi huwezi kukuta binti kavaa shanga nyeupe.... Shanga kwa uchache huvaliwa 3 na kwa wingi kabisa 32.

Si kila kiuno cha mwanamke kinafaa kuvishwa shanga, ni lazima kiuno kibebe umbo la kike hapo ndio shanga zitaleta maana na hasa zikipata fundi wa kuzichezea (kama jr[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85])

Na si kila mpenzi ni mpenzi wa shanga kwahiyo shanga hazivaliwi kama fasheni kama tunavyowaona mabinti wengi siku hizi wakiwa na ushanga mmoja wa gold shaba ama madini mengine.

Mwanamke mtundu na mwizi wa mahaba anajua vema kuziviringa chini ya kiuno cha mwanaume na mwanaume akachanganyikiwa kabisa! matumizi ya shanga ni sanaa ya aina yake kabisa ni ufundi ni utundu.

Usivae ushanga/shanga kama hujui matumizi yake utatia aibu na wewe kama hujui jinsi ya kucheza nazo ziache kama zilivyo kaka utajikuta umezikata zote na kupewa adhabu ya kuziokota na kuunga zote.

Kitu kingine muhimu kabisa kwenye shanga ni usafi mwanamke mchafu daima havai shanga zitamnukia azidi kuonekana wa hovyo.

Je wako anazo kiunoni? Ngapi? Unajua kuzitumia?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ya Tanga waachieni wajuzi wake asijekwambia anataka kunku ukajua ni nyama ya kuku[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mkuu ungekuja na uzi mwingine namna za kuzitumia plz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom