Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Nyekundu: ukimkuta mwanamke amevaa shanga ya rangi hii unatakiwa kuelewa kwamba mwanamke huyu yupo kwenye hedhi, kwahiyo wewe fanya mengine lakini sio kutumbukia unless yeye mwenyewe amekuruhusu na wewe uwe na uwezo wa kutumbukia hata akiwa kwenye hedhi (kitu ambacho kiafya akishauriwi).
Nyeupe: ukimkuta mwanamke amevaa shanga nyeupe hiihumaanisha hana tatizo lolote litakalomfanya asikupe raha ya sita kwa sita, kwahiyo ukitaka tu muda wowote unapata.
Nyeusi: ukimkuta mwanamke amevaa rangi nyeusi hii humaanisha ya kwamba yupo tayari kukupa raha za sita kwa sita lakini uwanja wake haujakatwa majani, kwa hiyo chaguo ni lako kama unataka kutumia siku nzima kutafuta goli haya, ama kama utamsaidia kumkatia majani uwanjani vizuri zaidi ama kama huwezi yote basi mpe muda akate mwenyewe

Nk: pia shanga hulainisha kiuno na kukifanya kiwe kilain pia hushepu kiuno hupendezesha kiuno nimoja ya kivutio unapo kua chumbani na mwenza wako langi so tija ni mapendeleo yako tu kama unapenda rangi gani
 
Wewe mwanaume ujue maana ya Shanga, halafu mwanamke asijue kweli fani ya ukungwi na unyakanga zimevamiwa Mpaka na wanaume .
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Wewe mwanaume ujue maana ya Shanga, halafu mwanamke asijue kweli fani ya ukungwi na unyakanga zimevamiwa Mpaka na wanaume .
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
HUU MCHEZO NILIACHA MIAKA 20 ILIOPITA!

HAUNA FAIDA WALA MANUFAA NI SAWA NA KUVAA SHANGA SHINGONI WAKATI MPENZI/MUMEO ANAKUPA RAHA CHINI!

HAVIINGILIANI!
 
HUU MCHEZO NILIACHA MIAKA 20 ILIOPITA!

HAUNA FAIDA WALA MANUFAA NI SAWA NA KUVAA SHANGA SHINGONI WAKATI MPENZI/MUMEO ANAKUPA RAHA CHINI!

HAVIINGILIANI!
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Karibu Tanga mapz, yalipozaliwa. Wanaume wa dar hawazijui hz wanakuona kama mganga lakini wenyewe tunajua habari zake
Sawa tutakaribia, watoto wa Tanga mna mbwembwe bana na mnajua maana ya mapenzi
 
Binafsi nazipenda ila sijui matumizi yake... kaka jr ningeomba kama inawezekana japo ka clip tuu cha jinsi ya kuzitumia... I real wish jaman mana kiuno kipo[emoji85] [emoji28] [emoji28] ila sasa matumiz sijuiiiiiii
Aiseeh naomba somo hili nimfundishe mm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…