Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Unakutana na dada anateremka kwenye gari kiuno kinabaki wazi kapanga shanga mingi zile zenye rangi za Maraster unajiuliza huyu naye raster ama ndo combination ya rangi tu..Hadi anaonekana mchafu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji38] [emoji38] Eti zimkute anaejua kuzitumia kama Mshana. Hili ni pande la mwisho kabisa wadhungu wanaita asisst
 
[emoji38] [emoji38] Eti zimkute anaejua kuzitumia kama Mshana. Hili ni pande la mwisho kabisa wadhungu wanaita asisst
[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 

Umetoa tu maelezo ya kawaida kabisa kuhusu shanga bila kufafanua jinsi ya kuzitumia. Baadhi ya maswali kuhusu jinsi ya kuzitumia ni ka ifuatavyo?
1) Zinavaliwa? Na nani na wakati gani?
2) Ni za rangi gani? Kwa sababu gani?
3) Ziko ngapi? Kwa ajili ya nini?
4) Zinapapasika? Kwa jinsi ipi?
5) Zinahesabika? Kwa namna ipi?
6) Zinahamasisha? Kwa njia ipi?
 
Yaani mimi nikiona kiuno cha Mwanamke kina hayo madudedude mnayaita shanga, huwa natoka mchezoni kabisa.

Siyapendi kama nini.
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Ninekata sana shanga za wasichana, ila ukweli kuna ambao wanajua kuzitumia utafurahi sana
 
Ninekata sana shanga za wasichana, ila ukweli kuna ambao wanajua kuzitumia utafurahi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…