Hapana ni sehemu ya uremboKimsingi huwa nakutana na wanawake wakezivaa lakini matumizi sijui huwa nazihusianisha na umalaya ni tafsiri yangu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
AiseeYaani siku hizi ziko nzuri balaa, yaan nikienda madukani lazima nichukuwe rangi mpya.nametishia na nguo za ndani.
Kiufupi mimi matumizi yake siyajui nilijikuta nazipenda kuzivaa all the time. Nzuri zaidi ni hizi za kisasa unakuta ziko sita au tisa zimefungwa pamoja weee kwakweli ni nzuri.
Yaani usiku nikiwa naandaa nguo ya kuvaa kesho basi naandaa na shanga inayoendana[emoji23][emoji23]
Kuna mzungu mmoja alienda Tabora akakutana na mwanamke wa kinyamwezi shanga kama zote sasa kwenye mbilinge mavuzi ya mzungu yakajisokota kwenye shanga basi mzungu akaanza kupiga kelele... Majumaaaa shanga shika buji, sasa mama juma akawa haelewi yeye anaongeza uno tu... mzungu anazidi kupiga kelele majumaaaa changa shika buji[emoji16] hadi mama juma kushtuka mzungu ameshaiva mavuzi yameng'oka!Usiombe shanga ikashika vooooz, utatamani kuita watu
Majumaaaa shanga shika buji, sasa mama juma akawa haelewi yeye anaongeza uno tu... mzungu anazidi kupiga kelele majumaaaa changa shika bujiKuna mzungu mmoja alienda Tabora akakutana na mwanamke wa kinyamwezi shanga kama zote sasa kwenye mbilinge mavuzi ya mzungu yakajisokota kwenye shanga basi mzungu akaanza kupiga kelele... Majumaaaa shanga shika buji, sasa mama juma akawa haelewi yeye anaongeza uno tu... mzungu anazidi kupiga kelele majumaaaa changa shika buji[emoji16] hadi mama juma kushtuka mzungu ameshaiva mavuzi yameng'oka!
Duh!Kwangu huwa naziona ni kama hirizi za waganga wa kienyeji.
Mkuu lengo ni kufungua codeUmeandika kwa jazba Sana mpk umepoteza mantiki nzima ya Uzi wako[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app