Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Na shanga lundoooo, ila sipendi kuvaaa vikorokocho korokocho mwilini.
Mume wangu hajaweka kichwani kabisa, mambo haya, asante mungu.
Labda akifika miaka 60.

Nawashangaa wanawake wanao vaa shanga, kabla ya kuolewa.
Sheria inasema kama hauja olewa hautakiwi kuvaa shanga...............hahahaha, hiyo ndio mila ya kwetu.
Kama wazungu, huwezi kuvaa pete ya ndoa kama hauja olewa.

Wanawake wengi ambao hawajachezwa hawajui maana yake kabisa.


Vile vile huwezi kuvaa shanga kwa kila mwanaume............unaweza kuvaa shanga kwa mwanaume anae jua maana yake, hasie jua maana yake atakuwa haelewi.

Mfano mwanamke akivaa shanga nyekundu kiunoni ni sign, anavuja damu, ana menstruation.

Hauitaji kumwambia mumeo kwa maneno, (oh bwana wewe mimi leo nasiku zangu, sitaki).

Na akivaa shanga nyeupe shingoni, maana yake menstruation isha kwisha. Unaweza kuosha kirungu, hahahaha, ndio maana yake.

Kama mwanaume hajui maana yake, yote inakuwa aina maana yeyote ile. Utapoteza time tu. Bora husivae.

Samahani kwa nitakao wakera,
natambua hairuhusiwi kusema mambo kama haya, lakini sijasema mengi, mawili tu
Wafaa kuwa kungwi wangu ngoja nikufate pm😀😀 sijua a Wala b ya hizi vitu na Niko kwenye ndoa muda mrefu 🤔🤔
 
Binafsi nazipenda ila sijui matumizi yake... kaka jr ningeomba kama inawezekana japo ka clip tuu cha jinsi ya kuzitumia... I real wish jaman mana kiuno kipo[emoji85] [emoji28] [emoji28] ila sasa matumiz sijuiiiiiii
Labda nkushauri jr yupo tabata mtafute mkafahamishane jinsi ya uvaaji na utumiaje
 
Halafu mbona Mimi sizipendi!!!? Yaani nikiona demu kavaa naona kama miuchafu tu.....afadhali cheni
 
Juzi juzi hapa nilikuwa Club naenjoy muziki mzuri mara nikaona mashoga watano wamevaa shanga ndo kila nikiziona sina hamu nazo tena..
 
Wanawake wa kanda ya ziwa,ya kati na kidogo mbeya na pwani ndo hupenda kuvaa.Ila Arusha, kilimanjaro, manyara hamna kitu.

Kidogo Massai huzitumia
 
Back
Top Bottom